Unapoenda sehemu yoyote labda kwa uzuri na ubaya na ukifanikiwa kutoka eneo hilo ukiwa salama basi unashukuru sana , lakini hautakiwi uache mambo yale nyuma , kama mambo hayo ni zawadi kwa...
Aisee nimetoka kucheka sana muda uliopita
Nilikuwa kwa mangi nakunywa soda ya pepsi akaja msichana mmoja na rafikiyake ambaye ni mama kijacho
Sasa bhana huyu mama kijacho alikuwa anaogopa siku...
Haruc ishapita mwezi, Bwana na bb haruc wakawa wanataka kupata mtoto lakini hawajui tendo gani wafanye ili mimba itokee wakaenda kwa dokta!.
Dokta akawapa picha waangalie,
Wakadai hawaelewi...
Ilikuwa ni siku moja Kibaha na
mimba ikatungwa sawia.
Mama akaiba redio nikimwona,
asubuhi akasema ni binti.
Picha ikaletwa kimzaha, lakini
hali ikabadilika ghafla
sana...
Kuna mzee mmoja aliishi miaka mingi baada ya kujiona keshakua mzee akawaambia wanawe nitakapokufa mimi vunjeni hii nyumba nimeweka mali nyingi hpo chini
Baada ya kufa watoto walivunja ile nyumba...
Mwenyekiti wa kamati ya mazishi akainuka na kuanza kusema ‘kinachofuata sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya marehemu tuliyemzika hapa leo, karibu ndugu...
Kama ishara ya upendo wangu kwake, nimedhamiria siku ya kusherehekea kumbukumbu ya nchi yetu kupata Uhuru kwa kuelekea kagera ambapo pamoja na mambo mengine nitadhuru eneo maarufu ambalo...
*Msichana unamtembelea Mwanaume wako na Mkoba mkubwa umejaa vitu mbali mbali isipokuwa nauli. Kwann lakini??.........[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumechoka*
Habari za jioni
nimekosa kuingalia hii isidingo kwa mwaka sasa. leo sasa nimeingaliaa, katlego kaenda wapi mbona linc ana babaika linapokuja swala la kat, brad na sam kuna nini mbona na rajesh...
Unaruhusiwa kupendekeza majina manne tu, watakaotajwa zaidi ndio watakaopitishwa kwenye mchujo wa 16 bora.
Anza sasa, mimi naanza na wafuatao:
1 Lady doctor
2 Chocs
3 AshaDii (No excuses...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.