JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Amani na upendo kwa wote. kuna kipindi nilikuwa nachukia sana siasa baada ya kuona migongano,mifarakano,viini macho na mambo kemkem yasiyoeleweka huku mengine yakiwa hayana kichwa wala miguu...
0 Reactions
2 Replies
563 Views
Habari zenu,, Ilikuwa majira ya saa nane mchana, nilikuwa nipo kwenye treni ya umeme nikitokea mbagala ambayo ilikuwa mithili ya jiji la washington d.c nikielekea zangu k. koo ambayo ilkuwa...
0 Reactions
0 Replies
515 Views
Pale unapomlipia mwanao karo ya shule ya mwaka kwa M-PESA ya Tsh 15,000,000 na kuletewa majibu haya Ahsante kwa kujiunga na kifurushi cha voda-voda umepata dakika 350,000 /sms 750,000 na GB...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
*Msichana unamtembelea Mwanaume wako na Mkoba mkubwa umejaa vitu mbali mbali isipokuwa nauli. Kwann lakini??.........[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumechoka*
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF, habari, Mwaka ndio umekwisha hivyo, Tunakutana wapi Kusheherekea na kutathimini? Pendekezeni na Kamati pia. MODS chukueni mawazo UPDATES; 1. Mbaamwezi Beach Hotel 2. South Beach Hotel
1 Reactions
54 Replies
3K Views
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Timuatimua ya Trump imemfanya aje nyumbani kujipanga upya.
0 Reactions
1 Replies
757 Views
ASALAAM ALAYKUM MARAFIKI ZANGUNI TODAY IS MY HAPPY BIRTHDAY SIKU YANGU YA KUZALIWA NINAWAKARIBISHA KWANGU MULIOKO KARIBU NA MIMI. NA MULIO MBALI NA MIMI MUNIOMBEE DUA NINAWAPENDENI NYOTE ASANTENI...
2 Reactions
30 Replies
13K Views
Kwa muda mrefu sasa yapata mwaka mmoja nimefanya utafiti na nimejiridhisha baada ya kupata matokeo yaleyale kila ninaporudia kufanya utafiti wangu. Hii ndiyo list ya top ten yangu ya vitu...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Uzi special wa kufunga mwaka kushare kazi za ma photographers Kwa mwaka mzima Uzi special wa kufunga mwaka kushare kazi za ma photographers Kwa mwaka mzima Changia chochote na kuonyesha picha...
0 Reactions
2 Replies
913 Views
Hii tabia jamani sijui imetoka wapi, nimekuwa nikijiuliza ni yetu au tumeletewa na wazungu? Yaani kwenye mziki iwe wa mduara au wa Taharab ni lazima ukute wanaume hawakauki kufwata nyuma nyuma...
1 Reactions
47 Replies
22K Views
Nakumbuka kipindi naendaga kuogelea na wenzangu nikishavua nguo naingia dimbwini na wenzangu sasa tunajifanya tunazama kumbe mle mle namshika mwenzangu namfanya dyu dyu[emoji85] wakati huo huo...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Pale unapomlipia mwanao karo ya shule ya mwaka kwa M-PESA ya Tsh 15,000,000 na kuletewa majibu haya Ahsante kwa kujiunga na kifurushi cha voda-voda umepata dakika 350,000 /sms 750,000 na GB...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Wote mshasoma namba?
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Source: ITV Mizengwe
1 Reactions
0 Replies
635 Views
Wavuta bangi watatu wamevunja duka la dhahabu ili waibe, Mmoja kachukua dhahabu, wa pili kachukua pesa , wa tatu kakaa dukani, Mwenye duka kaja na polisi kufungua mlango wakamkuta jamaa kakaa mguu...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Mashabiki wa Clouds hivi media inaweza kufanya Trolling katika official Twitter Page?
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Watoto wa kota wa korogwe ttc kigurunyembe TTC mpwapwa TTC tukutane hapa
0 Reactions
0 Replies
983 Views
Pale unapolipia kodi ya nyumba kwa M-Pesa Tsh. 1,800,000/=.Kisha ukiwa umejipumzisha baada ya kumaliza kutuma hela kwa 'fazahausi', unapokea meseji ya uthibitisho: Usiulize uchizi unaanzaje...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
JAJI: Nakuhukumu kwa kukutwa na mitambo ya kutengenezea gongo. MTUHUMIWA:Lakini ni mitambo tu siyo gongo mheshimiwa! JAJI:Hicho ni kithibiti tosha kabisa. MTUHUMIWA:Basi nihukumiwe...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Back
Top Bottom