Yaani unadate na mtu anakutumia
msg,Babe naomba unisaidie kitu kimoja,unajua Baba
ameishiwa hela kabisa hapa
home hapaeleweki please nisaidie hela' Khaa!sasa
mimi nilikutongoza wewe au nilitongoza...
Ati ukitaka kujua dem ni wife material,, mpeleke shopping supermaket, akichukua ice cream kabla ya unga,, ,,,rudisha kwao [emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Juzi juzi nilitoa uzi hapa baada ya kumfungia nyumba mchepuko na kumtimua nikaona nitembelee Ud pale nione kama ntapata katoto kalikokosa mkopo nisaidiane nako
Niko mawindoni UDSM
Kwa bahati...
Hii ni kwa wale wote wanaoisoma namba mtaani toka utawala wa awamu ya tano umeanza.......
Ile kauli ya Rais ya kuwageuza baadhi ya malaika waishi kama mashetani sasa nataka kila mtu ambaye kauli...
Wakuu...!
Mimi ni mpenzi mtizamaji kwa muda sasa ila nimeiona hii sina budi kuwasaidia wanaume wasiopenda vibomu. Kuna staili moja matata mno ipo mjini sasa hivi, iko hivi:
Unapata text yenye...
Aisee jamani mod hizo ban zenu muwe mnaangalia
Sio mnapiga ban tu bila sababu za msingi
Alafu sio kwa uzuri huu
[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
Ndio nimerudi hivyoo
Richaabra ndio...
-Ni pale unapo mkopa hela alafu uki mdai.... Ana kuuliza chakula unacho kulaga humu ndani uwa unalipia..?
Huyo mbongo
-Ni anapo kuachia kazi alafu anaenda na remote kazin.......usisubiry...
Umeamka mzima siyo kwa sababu ulitaka, siyo kwasababu ulikuwa na mipango yako Leo wala siyo kwa sababu mlinzi wa kimasai amehakikisha ulinzi wa nyumba yako, Bali kwa sababu MUNGU mtakatifu...
[emoji95]MIZIGO TULIYOIBEBA AMBAYO HAINA ULAZIMA WALA FAIDA[emoji95]:-
1.[emoji95]Umejipa jukumu la kuwa "mpelelezi" wa
maisha ya wengine na umesahau maisha yako.
2.[emoji95]Umebeba vinyongo na...
hepu tiririka hapa...mimi nakumbuka niliulizwa na rafiki yangu wa kike "unatangaza biashara au zipu ni mbovu?" nilitoka nduki balaaa...noma sana hii kitu
Nimepata taarifa kua Ngabu na wabeba maboksi wenzake wanafanya kikao cha dharura alfjiri hii (USA) time, na kujipanga namna ya kuondoka huko haraka iwezekanavyo!!!
My take: Dont be too hard on...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.