Binti mmoja mwanafunzi wa chuo akiwa ndani ya pantoni akivuka kutoka Magogoni kuelekea upande wa Kigamboni alimuona mwanaume Handsome akiwa ndani ya gari yake nzuri. Bila wasiwasi yule binti...
Unapigia ex wako simu anakataa kupik.. After few minutes anaupdate status kwa whatsapp... "I knew one day you will remember me" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... Na wewe ulikua unampigia...
Kuna group imetupiwa hii basi wamekuwa wakali vibaya kabisa
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Mzumbe Secondary
Ilboru Secondary
Kibaha Secondary
Tabora Boys Secondary...
Nimekuja kikazi mkoani Mbeya wilaya ya Tukuyu aisee tembea uone wanawake wa huku kama wanaume na mie ninavyopenda shombeshombe sijaona mwanamke mweupe au mwenye kiuno cha nyigu tatizo nini.
_KWA TAARIFA YAKO_
*Nyuki dume akifika kileleni, korodani zake hupasuka na kisha ufariki dunia.*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] *ingekuwa na ss binadamu ndo tunakuwa hivyo kuna watu...
VISA VYA MADENGE.
tabia ya madenge kukopakopa mitaani kulimfanyisha kukosa raha kabisa akawaza.
madenge:dah kulaleki wallahi hili lishakuwa balaa dingi akijua itakuwa jau.
akapata wazo...
Hey..naomba kuambiwa ni perfume/spray/unyunyu (kama ilivyozoeleka) gani ni mzuriii na unanukia safi nikipita mtaani kila mtu mpka avutiwe za kiume na za kike nazo mniambie ni wanunulie wapenzi...
Upo club kidogo kidogo pale club unadance solo...Mara gafla kademu kanakusogelea kukutabasamia.... Unaanza kushukuru sir God umepata wa kucheza nae....mnacheza Kaka 30 minute then kanakunongoneza...
*Mzee mmoja aliagizwa sidiria na mke wake, alipofika dukani akawa amesahau size gani. Mama muuzaji akamwambia: "Usijali, njoo unishike matiti yangu ulinganishe na hayo ya wife yako labda...
Ting'a
Yap, Ting'a , mating'a yako Mengi, mengine ya kijanja, mengine ya kifala na mengine bab kubwa.
Yote ni mating'a na una get high
Wapo ambao Konyagi inapigwa na safari larger , wengine zanzi...
Nyerere: Kama vile nakufananisha?
Mandela: Hata mimi naona sio sura ngeni?
Nyerere: We ndie Mandela eee?!
Mandela: Ndiyo mimi haswa miaka 14 ni mingi.
Nyerere: Sana!!.
Mandela: Sasa nitakaa wapi...
Hallo Magufuli, nipo hapa karibu na mpaka wa Tanzania, kwa spidi ya Magufuli nimemaliza barabara hadi Tanzania.
Upo wapi leo? Kama upo geita njoo tuonane hapa [emoji28] [emoji28]
Machizi wawili walibahatika kupanda garimoshi lililokuwa linaelekea Kigoma. Huko walikuwa waenda kwa ajili ya matatizo ya kifamilia yaliyokuwa yamewakumba ya kufiwa na chizi mwenzao mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.