naombeni kujua ni nani alienzisha hii social network na inaongozwa vp? na je aliianzisha mwaka gani? anapata mtonyo wowote kupitia huu mtandao?? je ina ma admini na ina member wangapi mpaka sasa...
We have been laughing,crying,joking, playing and supporting each other everyday. It has been a very challenging journey but we are still here standing strong. Now we have this special day to...
*Eddy* offers a drink to *Evelina*.
*Evelina*: No thanx, I don't take whisky, its bad for my legs!
*eddy*: legs? Dats strange, do they swell or hurt?
*Evelina*: No, they open easily...
Kwansa kabinsa nashuruku yote iliyojumuika na sisi....
Musiba hoyeeee....
Jenesa safiiii...
Imependesaa!!!! hijapendesaaa...kwanza nashukuru kwa hii mutu kufa!! Imesababisha tukala ile chakula ya...
Wakuu heshima zenu,
Kuna mambo watu wanafanya kutafuta SIFA au kufurahisha watu wengine,lakini ukichunguza vizuri ni upuuzi mtupu,hebu nikushirikishe baadhi ya mambo/tabia ambazo ni SIFA ZA...
Huyu jamaa anaitwa Ally a.k.a Pwiru au 50 Cent.. Huyu jamaa ndiye aliyenipa jina la Mreno akiwa katika hali hiyo hiyo kama anavyoonekana kutokana na uwezo wangu wa kupachika mabao. Jina likapata...
Are you a Tanzanian aged between 25yrs-44yrs?
Are you a holder of a Bachelor's degree in any field related to Finance, Statistics, Economics, Commerce, Humanities, Social Sciences, Administration...
*Baada ya padri kufungisha ndoa ya mashoga,akawa anashindwa kuwaambia kwamba kuanzia sasa nyinyi ni mke na mume.Akafikiriaa kisha ikabidi aseme kuanzia sasa nyinyi ni MAN UNITED* [emoji23]...
Hivi Savanna na St anna si vinywaji ambavyo vimeingia juzi juzi tu hapa bongo.
Lakini mtu a
nakunywaaaa kama soda ya coca vile..
Mbona hawa watoto wa kike wanakomoa...
Alianza Zakayo sasa ni Messi.
Jamani sitaki Hili lichukuliwe kwa uzito mkubwa, kuna ajenda.
Mwakifuna wa Mbeya miaka ya 80 nae pia tunamjumuisha hapa.
Usilete kashfa, tuijadili hoja.
Kuna jamaa rafiki yangu nilimtembelea kwake nikamkuta amebanika maji ya kusongea ugali yana chenka pembebi kuna unga na mwiko alivyoniona uwezi amini aliyapooza Yale maji akaenda kuyaoga.....
Wakuu ni j!tatu ingine iliotulivu poleni na mishughhuliko ya kutafuta ridhki!!hv inakuwaje mtu uko uwanjani tena unacheza mpira alafu gafla unasikia mkojo tena unatoka kabisa nje ya uwanja na tena...
Pole na kazi wana j.f mi mwenzenu cjui niseme ni mawenge yangu au maluweluwe au ndo uchizi au ni msongo wa mawazo..twende kwenye uzi!!hv inakuwaje mtu unapita sehemu ambaya hujulikani kabisa tena...
Tangu Jana asubuhi nikutane na maajabu haya hadi sasa nashindwa kupata jibu nimeona niweke hapa ili tushangae wote haijawahi kutokea sisimizi wajazane kwenye chumvi na kuacha huru sukari iliyopo...