Wakati nasoma nilienda likizo kwa kaka yangu, na pale akawa yupo mdogo wa shemeji, yaani mke wa bro.
Siku moja mwisho wa wiki waliondoka kwenda matembezi tukabaki nyumbani na mdogo wake shemeji...
Tuwasiliane tasavali Leo sijaja Kwa kificho niko Kwenye hiki kipub karibu na makaburi... Nimekaa pekeyangu nakunywa Malta nimevaaa kanzu nyeusi kilemba chekundu na makubadhi ya kahawia
1:Anaye weka majani ya chai kwenye sprite ili iwe cocacola. 2:Anaye fikiri mzungu ana kivuli cheupe. 3:Aliye mkimbia simba porini wakati alikuwa anaenda kujinyonga. 4:Aliye...
TUZO ZA MWAKA JF ( TMJF)
Vifuatavyo ni vipengele vitavyogombaniwa katika tuzo za watu mbalimbali
NB: Kila memba ashiriki
1. tuzo ya mchekeshaji bora wa JF
2. tuzo ya mwanamke mrembo wa JF
3...
MZEE moja alifika kijiji flani akakuta
mtandao unashika vizuri.
Akamwandikia mke wake sms
aliyemwacha mjini.
Bahati mbaya alikosea namba akatuma
kimakosa kwa mtu mwengine ambaye ni mwanamke mfiwa...
3 Fs that every man should bear commitment to his love....should https://jamii.app/JFUserGuide her,FEED her,and FINANCE her....out of that,cheating is a must
Nikichoka napitia thread za ajabu ajabu......humu JF
Basi nikakutana na ya Wanaume wa Dar.......Imechambuliwa weeeeeeeeeeeeeee
Halafu wamechoka wameanza Wanaume wa Nairobi.............
Najua...
Habari wanajamvi?
Ikatikea bahati mbaya katika pita pita zako maeneo fulani hatari,ukakumbana na kibaka akakukwapua kimkoba chako kina laptop na kama laki tano hivi.
Kwakua umejaaliwa mbio,katika...
1. Atakua na simu yake mpo nyumbani dakika hiyo anakwambia umbip hajui kaiweka wapi.
- Tuhurumie Baba
2. Ana Nguo zimejaa makabati mawili lakini hajui avae nini ukimwambia mtoke!
- Baba, ni...
Wakuu,
Leo ni birthday yangu Mungu kanijalia nimefikisha miaka 22. Happy birthday to me happy birthday to me happy birthday dear K 4 LIFE happy birthday to me.
MAKE A WISH K 4 LIFE
Unakumbuka ilikuaje? Unakumbuka ulivaaje?Je walikupokeaje?
Nimeenda na ndugu yangu juzi alikaribishwa ukweni kwa mara ya kwanza....wiki nzima alikua restless,trying to do everything to impress...
Ni muda mfupi uliopita television ya EATV katika sehemu yao inayojulikana kwa jina la Cheche mama mmoja na kijana mmoja wanafurahi kwa Wema Sepetu kuhama mtaa wao kwa madai alikuwa anawakera kwa...
Nipo naangalia BBC Swahili, Dira ya Dunia, kipindi ambacho nakipenda sana.
Hawa Blue Band nadhani wana mkataba wa tangazo lao na Star Tv, napenda yule mama anavyokiendesha kile kibaiskeli cha...
Hi guys,
Nimeona nilete swali hili kwenu wanajamvi.
Hivi kati ya wanawake na wanaume ni kina nani wanaongoza kila kukicha kuwaacha wenzi wao?
Nimekuwa naona malalamiko mengi hapa ya wanaume...