JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Chukua tahadhari, unywaji pombe kupita kiasi hupelekea upungufu wa kumbukumbu na matatizo mengine mengine......... ambayo siyakumbuki vizuri!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Imefika mahali tunatakiwa kurudisha mazingira katika ubora wake. ...Itafutwe siku iwe maalum ya kupanda miti .
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Hivi ni kweli kuwa kila binadam huwa na dakika tano za ukichaa kila siku katika maisha yake? Naombeni mchango wenu katika hili
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Yaani wanaume mnakera sana, yaani mnaomba number kila mtu, yaani unakutana na mtu online, kitu cha kwanza ni kuomba number. Hivi hizo phone book si zimejaa number za watu wa online tu.Tamaa...
3 Reactions
121 Replies
10K Views
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hili bango lipo pale opposite na Ofisi za Multichoice(Dstv). Lina ujumbe mzuri sana.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salamu wakuu, Hapa mtaani ninapoishi kuna kabinti nimekasotea sana kukatongoza mwisho wa siku kakanikubalia tuwe wapenzi, nikaanza kukomaa nako tukapatisha kama one week hivi kakaanza mara ooh...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna jamaa mmoja mkoani Mwanza, alikamatwa kwa kosa la kuwa na silaha aina ya gobore kinyume cha sheria. Siku ya mahakama kabla ya kesi yake kuanza, kulikuwa na kesi nyingine ya wizi wa ng'ombe...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Siku hizi mitaa ya insta kumejaaa matangazo ya bidhaa za kuongeza makalio. Wenyewe wanakwambia mwezi tuu unapata mshepu wa kina Masogange. Pia kuna mikanda inauzwa wanaiita booty lifter hii kazi...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
KUNA WATU MAKAUZU ila huyu ana Phd!! Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa.... mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli. Mshkaji kajikunja...
5 Reactions
40 Replies
4K Views
KUNA WATU MAKAUZU ila huyu ana Phd!! Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli. Mshkaji kajikunja...
0 Reactions
1 Replies
864 Views
3 Reactions
1 Replies
7K Views
A teacher's letter to a parent: "Dear Parent, Katongole, your son, doesn't smell nice in school. Kindly encourage him to take his bath." Parent replies: "Dear Teacher, Katongole is not a rose...
6 Reactions
3 Replies
2K Views
I attended a burial ceremony yesterday. The tradition there demands that at every burial ceremony, an old man who is "sangoma" must come out and tell the people who will die next. And so the...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Baada ya kujifanya mie kidume mtaani na kupiga baadhi ya mademu waliokuwa wananiletea shobo sasa naona bwimbwi linanishinda Nilihamua kuachana na vishankupe hao baada ya my wife kugundua na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ushauri kwa wanaume... Dear men, 1. Kuwa na wanawake wengi hakukufanyi uwe mwanaume halisi, bali inakufanya uwe mvulana na kuna tofauti kubwa kati ya mwanaume na mvulana. 2. Mwanaume halisi anae...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…