JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu, Nipongezeni basi kwa kutimiza miaka ishirini kadhaa ya kuzaliwa kwangu na wenye tuzawadi mnizawadiepo hata m pesa napokea.
1 Reactions
40 Replies
3K Views
WanaJF wengi wana avatar zinazowabainisha hapa Jamiiforums. Nyingi ya avatar hizi ni sura za watu, passport size. Kinachonitokea kwangu ni kwamba nisomapo thread ya mtu, na mtu huyo ana avatar ya...
2 Reactions
116 Replies
6K Views
Jana, shemeji yenu aliniomba ruhusa aende na watoto wakasalimie kwa shosti yake mitaa fulani. Nikawaruhusu kwa roho nyeupe tuu, mimi mwenyewe sikuwa na mishe yoyote ila nikaona nibaki kwa sababu...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Ushauri kwa wanaume... Dear men, 1. Kuwa na wanawake wengi hakukufanyi uwe mwanaume halisi, bali inakufanya uwe mvulana na kuna tofauti kubwa kati ya mwanaume na mvulana. 2. Mwanaume halisi anae...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
😆😆
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama wewe ni mwana kiungani wa tazama mbali zaidi naomba uingie hapa,tujuzane mengi zaidi
0 Reactions
6 Replies
987 Views
Hakika Sina Cha Kumlipa Mwenyezi Mungu Zaidi Ya Kumwambia AKHSANTE Kwa Kunipa Miaka Yangu Hii Niliyonayo Huku Nikiwa Nipo Salama Kabisa Na Sina Tatizo Lolote Lile. Pia Napenda Kuchukuwa Nafasi...
3 Reactions
60 Replies
4K Views
Kama unataka kuwa milionea badilika ufwate mfumo huu wa maisha Ni furaha kila unapo pokea mshahara au ujira wowote baada ya kazi Fulani, lakini kila ukitazama idadi ya madeni yanayokusubiri...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Embu wadau tujuzane ....iam sick and tired of this napenda kuendesha my PVT car kuanzia spidi 100kmph kwenda juu... chini ya hapo naona gari kama haitembei ...can anyone help. ..wewe unawezaje...
0 Reactions
7 Replies
939 Views
Habari za asubuhi wana JF mimi nashukuru nmeteuliwa tena Na Mungu kuiona siku hii ya leo, lengo langu kujua wana JF wenzangu mmeteuliwa kuiona siku hii?' Na r.i.p kwa wote wasioiona siku hii.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Eti kila unapoenda hawakosi cha kukuagiza,ukienda mwanza utasikia tuletee samaki, ukienda mbeya tuletee mchele, ukienda tanga tuletee nazi,mtwala tuletee korosho, dodoma tuletee zabibu, bukoba...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mahitaji yenu yamesababisha mafuriko kwenye gym...... Vijana wapo busy kujenga miili ya mazoezi.... Vifaa vya mazoezi kama raba, vyuma, kamba sasa vinauzika.... Vijana wanakimbia na kupiga...
7 Reactions
57 Replies
6K Views
Madomo zege na watu wengine wa kawaida technolojia inazidi kuturahisishia mambo kila kukicha, sio katika maisha ya kawaida ya kila siku hadi kwenye utongozaji. Nakumbuka zamani ulikuwa unatongoza...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
....................................
2 Reactions
5 Replies
828 Views
sitak mniulize umerud canada? nmechoka kujib . niliwaaga nkirud ntasema lakin siwez nkarud coz family haina mpango wa kurud. usiniulize swal hli kuanzia leo pls nmechoka
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Jamani tuwe wakweli tu, ndio kila mtu analo jambo ambalo akilikosa ndani ya kipindi fulani bac hawezi kuwa sawa mpaka akipate kwanza! Kwa kweli mimi ikipita siku sijaingia humu Jamii forum, ni...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Je mliwahi kujaribu kufanya mkate according to recipes nzuri lakini matokeo yako ni tofauti sana kulingana na zilizochapishwa mtandaoni? Picha hizo zitakuchekesha! Kama mnataka fuara zaidi Kabla...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Bado unasema Kiswahili ni lugha nyepesi eti kwa kuwa tunaelewana tu!!!? Tazama....... KIINGEREZA------KISWAHILI Device-------------Kitumi Photocopier------Kinukuzi... Duplicating Machine...
5 Reactions
6 Replies
5K Views
Am still trying to figure out what teachers in the primary schools we attended wanted from us. When they caned u and u didn't cry, they would again cane u for not crying. When they caned u and u...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…