JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Eti kama hizi stress za mapenzi zingekuwa zinaua wewe ungekuwa marehemu tangu mwaka gani? Aah yaani mimi ningekufa mwaka jana yaani ningekuwa sasa hivi nimebaki mifupa ila Alhamdulillah...
9 Reactions
52 Replies
2K Views
Leo katika harakati za kupiga vitu vya mbugani achana na akina john mtembezi, nikabidi nifuatilie kuhusu maandishi ya maokoto. Naona ni stail mpya ya kubet hii. Maelekezo nilopewa na kutafakari...
2 Reactions
4 Replies
570 Views
Hakika nafarijika mno NALIA NGWENA na sura langu hili Kama nazomea lakini Kuna totozi kutoka mitaa ya washua Tena pisi Kali kweli kweli haziogopi kunifata PM. Hicho kitendo kimenifariji sana tena...
22 Reactions
238 Replies
7K Views
Muda mfupi uliopita, kulikuwa na mwanamke ambaye alitaka kujua jinsi mume wake angefanya ikiwa angeondoka bila kumwambia alikokwenda. Aliamua kumwandikia barua akisema amemchoka na hataki kuishi...
12 Reactions
18 Replies
1K Views
Heri ya siku ya uhuru wadau. Nikikumbuka siku ya tarehe 09/12/1961 naona ni kama juzi tu kumbe ni miaka kibao imepita. Nakumbuka siku hiyo tulivyochinja mbuzi nyumbani kusherekea uhuru...
14 Reactions
167 Replies
4K Views
Binafsi mimi sijawahi kupata mchongo nikiwa Baa.
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Nawaza tu kwa sauti, hivi wanaume wanaoringia six pack zao kwa kuvaa nguo zinazobana ili waonekane wana tofauti gani na wanawake wanaoringia sura (uso) na makalio makubwa (msambwanda)?
1 Reactions
0 Replies
245 Views
Ni vizuri pale unapokosa kuona "uzi" wa mwana/wana JF katoka "ukumbi" huu tuliouzoea, tuulizane mko wapi? Mpo lakini mmetingwa na shughuli au mmetoka kabisa kwenye ukumbi JF? Mfano mzizimkavu...
1 Reactions
169 Replies
9K Views
Hivi ukipewa nafasi ya kuishi katika nchi moja wapo tajwa hapo juu wewe kama mtafutaji unaweza kukimbilia nchi gani?. Na toa maelezo kwanini unaipenda nchi hiyo.
0 Reactions
54 Replies
8K Views
Kwanini unachukua namba ya simu ya mtu ambaye hautampigia? Eti wajameni?
2 Reactions
4 Replies
360 Views
Natumaini mu wazima. Ni takribani week mbili sasa napokea sms katika mtandao wa whatsapp na namba ngeni tofauti tofauti nyingi zikiwa ni za pisi tofauti wakijitambulisha mimi ni flani tuko...
28 Reactions
74 Replies
3K Views
Wadau hasa nyie mnaokaa uswahilini, hivi kwanini watoto au mademu wa uswahilini wanaturingia sisi tunaoishi kishua katika mitaa yao. Yaani unaweza kumuita anaringa balaa ila sasa ukicheki...
11 Reactions
49 Replies
3K Views
Kuna wakati tunatimba ishu ambazo hata shrletani mwenyewe anasanda na kushangaa.. Lakini kwa akili nyepesi za kibinadamu tukamsingizia yeye...! Je ni kufanya matusi? Wizi? Ukafiri? Ulozi...
5 Reactions
49 Replies
2K Views
Huyu jamaa siku hizi yuko wapi?? Mzee wa mayai ya malkia, ni wachache sana humu wanaofikia akili ya yule jamaa. Super Genius. Wengine nao wamekuja humu wanajifanya fanya wachambuzi uchwara...
6 Reactions
44 Replies
2K Views
Dah ukisikia maajabu basi ndio haya, nimekuwa najiuliza kwanini watu Wakiona kivuko lazima wakikimbilie Kama vile wameona pepo? Utashangaa watu Wanakimbia Kama vile wame sikia dunia Imefika...
10 Reactions
85 Replies
2K Views
Vijana nendeni shambani mkalime Vijana msisubiri kuajiriwa Vijana hawatumii akili Vijana wamaliza oxygen [emoji23][emoji23][emoji23] Vijana hawajitambui
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Leo nataka nikale bata mazingira ya Mbezi - Kimara. Sehemu nzuri classic yenye music na totoz wasafi wasafi sio machangu. Nile na kunywa na kutengeneza connection. Wenyeji nipeni suggestion ya...
3 Reactions
42 Replies
3K Views
Tukiwa tunaenda kumaliza mwaka 2023. Mpe hai memba wawili Jf kwa kuwatag. Nianze mimi. GENTAMYCINE To yeye Karibuni
5 Reactions
40 Replies
2K Views
Ni habari za ujinga ujinga tu. Habari za nani anatoka na nani? Nani kalala na nani? Sijui tunatengeneza taifa la namna gani huko mbeleni. Acha mwarabu achukue nchi aisee.
2 Reactions
15 Replies
506 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…