JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
bajeti nishapanga, nishapitisha na kinachoendelea sasa ni utekelezaji
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kisa cha mwanamke wa ziwani – 1 Aliuawa, mwili ukazamishwa majini kwa miaka 21 Ulizamishwa kwa kufungashiwa vitu vizito usiibuke AGOSTI 12, mwaka 1997, majira ya mchana katika Wilaya ya Lake...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
mama mmoja mlemavu wa mguu kaja jijini kumtembelea bintiye ambaye ni mkurugenzi wa kampuni fulani,binti hakufurahishwa na ujio wa mamaye kwani kwa hadhi aliyonayo aliona kama fedheha kuwa na mama...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Ilikuwa ni wakati wa Bw na Bi harusi kuingia ukumbini hebu angalia hapa:
0 Reactions
3 Replies
3K Views
kwani huyo wema ndona nani wakuteka media sasa kwani yeye akipata mchumba wengine ina wahusu nini hayo si maisha yake binafsi yaani mpaka bbc nao wanakaa kuitengenezea habari eti wema kapata...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani tataizo wana jf mnatumia majina ya utani!! a.k.a nickname bac naomb wana greencity tujuane bac
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TUCHEKE KIDOGO John Massawe alikuwa kanisani, kapu la sadaka likaanza kupitishwa, lilipofika kwake akatoa noti ya shilingi mia tano akaikunja kisirisiri akaitumbukiza kwenye kapu. Mara ile ile...
5 Reactions
4 Replies
2K Views
Mzee mmoja mwenye heshima zake alipita mtaa fulani uswahilini akakuta vijana wamejipanga barabarani kwa furaha. Mzee akauliza, "Vijana kuna nini hapa?" Kijana mmoja akamjibu, "Tumeambiwa kuna...
9 Reactions
14 Replies
3K Views
Jamaa mmoja bausa alikuwa kapumzika mahali fulani anakula upepo. Mara akatokea dogo mmoja akamuuliza, "Bro, saa ngapi?" Bausa akajibu, "Ondoka hapa usinisumbue!" Dogo akamwambia, "Siondoki mpaka...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
hawa watoto ni wacheza filamu wa kinigeria,nimeanza kuwaona kwenye tasnia hii kwa kipindi kirefu sasa hata zaidi ya miaka kumi na tano.ajabu ni kwamba taswira na muonekano wao haubadiliki,hawakui...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Find a word which is singular, add an 's' and it becomes plural, and add another 's' it becomes singular again? Hint :only 2 words
0 Reactions
8 Replies
2K Views
"Miaka michache iliyopita nilikutana na mwanamke mjane aliyekua na binti mkubwa tu na mimi na huyo mjane tukaamua kuoana. Baadaye baba yangu akamuoa binti yangu wa kambo (yaani binti wa huyu mke...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
History Ya Valentine Day ★★★★★ Asili yake ni sherehe ya kipagani iliyoanzia mjini Rome Italy.Ikaingia kuwa ya kidini na sasa imekuwa ikitumika kama ni msimu wa kufanya biashara huria ambapo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu yamenikuta huku, Leo usiku mida ya saa 8 nilipigwa vibao na mtu nisiyemuona yaani haonekani kabisa, nadhani ni jini lile. Naombeni msaada je nifanye nini kujiokoa na dhahama hili wakuu?
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Sorry for writing in English but my Swahili is below average :(;) I want to know if there are other large African forums like this one to discuss all kind of topics? I hope someone can help me...
0 Reactions
2 Replies
606 Views
Wasalaaam ndugu zangu, Wale wakubwa shikamoo, wadogo marahaba. Leo nimeamini ule usemi unaosema UGUMU WA MAISHA NI KIPIMO CHA AKILI. Katika vyote cheza na woooote siyo mtoto wa kike. Bwana kifupi...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Unashangaa nini ndio nishaamua mwenzenu nimejichanga na pesa za kudunduliza kwa mwaka mzima sasa ndio nimeamua kufungua hazina hii. Sasa sijui nile bata na my valentine au ndio niongeze mtaji...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Iwapo mtu aliyefariki mwaka 1980 akiamka unadhani ni neno/jambo gani litamshangaza? eg smartphone, mpesa tupiamo zingine
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za majukumu.... natumaini wewe ni mhusika ndomaana umefungua post hii, swalilangu ni Je, umewahi kwenda kuwanga ukiwa na smartphone au tablet yako? Kipindi unasafiri na ungo kuelekea huko...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…