JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mmehabarikaje Wandugu, Nimerudi niliandika uzi kuomba uzoefu kwa waliozoea kusafiri kupitia Mbuga ya mikumi na mimi nilikuwa nataka kupita na Mwanandama wangu. Niliondoka Moro saa 8 kwa speed ya...
11 Reactions
133 Replies
14K Views
Sina muda mrefu toka nimejiunga humu, kitu nilichogundua humu Jf kuna misamiati inayotumika humu inafurahisha sana ambayo kuisikia sehemu nyingne ni kazi. Mfano 'kuchakata mbususu', hili neno kwa...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Sina haja ya kusalimia, Kama Manchester City tukifungwa na Arsenal naomba nipigwe ban ya mwaka mmoja. WE ARE CITIZENS. Moderator Moderator Mkuu @Mexence Melo Active naomba mnizingatie.
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Haijalishi unatoka wapi unafanya nini au wewe ni nani Mungu akikuinua hata sisi tutashangaa. Tusichoke kusali, na kufanya kazi kwa bidii.
8 Reactions
16 Replies
547 Views
VITU USIVYOVIJUA KUHUSU SIKU MOJA. 1. Ipo siku utafunga mlango wako lakini utashindwa kuufungua. 2. Ipo siku utafua nguo zako lakini hutaweza kuzivaa 3. Ipo siku chakula kizuri kitapikwa lakini...
0 Reactions
10 Replies
836 Views
Pombe kiasi, utamu wa wife na nyama choma ni tiba tosha. Kitimoto na konyagi, huku natomaswa na mama watoto huku naye akiwa na glass yake ya Amarula, aiseee, usiku unakuwa mfupi sana, tunasahau...
12 Reactions
75 Replies
4K Views
Kuna watu wanalaumu matajiri kwamba wanawadhurumu Maskini. Lakini kimsingi maskini ni mtu asiejiweza kwa lolote, sasa itakuaje adhurumiwe? Au kutomsaidia ndio kumdhurumu?
1 Reactions
9 Replies
638 Views
Tanzania inatafunwa kwa kasi ya ajabu, lakini viongozi wa Dini wapo kimya wakisubiri SADAKA na mialiko ya kwenda IKULU kufaidi mema ya Nchi.
0 Reactions
6 Replies
329 Views
Ushauri wangu kama uko Nyumbani na una Housigeli ambaye ama Wewe Baba Unambandua au Mwanao Anambandua au Nduguyo hapo Kwako na hata Shemeji yako Anambandua tafadhali tumia Condom au Waambie Wavae...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Ukisikia watu wana maisha ndo kama hivi!Tupambane jamani
3 Reactions
7 Replies
634 Views
Nimeamua kuiweka wazi orodha ya wanaCC ambao nina bifu nao. 1. Mamndenyi. Huyu mwanamama nimejitokeza kwake maranyingi kumpiga mistari, ameshindwa kunielewa. Nimetumia mbinu...
7 Reactions
269 Replies
12K Views
Kwann aiache ikawa na hali mbaya hivi? Nimeondoa picha Kwa sabab za kisheria Inaudhi sana
1 Reactions
6 Replies
481 Views
Nipo home leo na kifurushi cha decoder kimekata nkasema ngoja niangalie hizi local channels, ghafla nipo ITV nakutana na hicho kipindi. Sikuwahi kujua msemo wa "kula chuma hicho" umeanzia wapi...
1 Reactions
13 Replies
910 Views
NI jambo la kawaida kwa wanaume kutojali mambo yanayohusu urembo wakidhani ni kwa ajili ya wanawake tu, kitu ambacho si sahihi. Muonekano mzuri usoni kwa wanaume husababishwa na kujali vizuri...
0 Reactions
22 Replies
33K Views
Hizi sare za wafungwa wa kike zilizozinduliwa wana Yanga tunanyanyaswa kiaina USSR
4 Reactions
19 Replies
940 Views
Nirudi kwangu kwanza, kipindi nikiwa nasoma mkoa kama umefika Dar ulionekana bonge la mjanjaa! Sasa nikiwa shule ya msingi chini ya 2000 huko mwalimu yoyote akiuliza swali la nani anajua Dar es...
0 Reactions
5 Replies
517 Views
Huu mji una maajabu mengi sana i never knew. Nitahamia kahama soon
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Timu juzi kule Nigeria imecheza Mchezo mbaya mno na inaonyesha Nabi siyo Kocha mzuri hivyo tumtimueni tu. Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said hatufai kabisa kwani Katusajilia Michezaji isiyojua...
1 Reactions
12 Replies
746 Views
Happy birthday to me
7 Reactions
19 Replies
591 Views
Nimefungua uzi huu mahususi kabisa kutokana na uchovu unaotupata kwenye mida flani hivi makazini. Mara nyingi ikiwa bado masaa mawili au moja kutoka. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane...
1 Reactions
5 Replies
521 Views
Back
Top Bottom