JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jaribu hilo zoezi utagundua kitu. Sijui Kuna kauchawi gani!
0 Reactions
7 Replies
420 Views
Miongoni mwa stressful days hasa likija swala la msosi ni leo. Wakristo wengi hasa wa madhehebu ya Katoliki leo nyama ni marufuku. Iwe kuku, kitimoto, mbuzi, ng'ombe, kondoo etc leo hawali kisu...
10 Reactions
91 Replies
4K Views
Kama utoi sadaka hauzikwi? Kweli nyumba za ibada ni kuzikana, Imani yako ndio itakayokuponya!
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Waruka na ungo usiku mnafeli wapi? Kwanini ungo usitumike mchana na sio usiku kwanini umsiungane ukafanye sayansi yenu ikawe bora maana sayansi yenu bado ni duni means bado haina maboresho...
1 Reactions
2 Replies
974 Views
Ndoto yangu ilikuwa nifikishe likes 1,000 kabla ya Pasaka ya mwaka 2023, hatimae leo nimefikia. Pongezi nyingi kwangu, sasa hii pasaka nitakula vizuri sababu nimetimiza lengo langu kuu hapa JF...
16 Reactions
45 Replies
2K Views
Hawa miamba walijuana Kibaha Secondary. Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK...
32 Reactions
117 Replies
6K Views
  • Closed
Za usiku wapendwa Nimegundua humu ndani watu hawana uvumilivu kabisa hususani na hizi ban zinazoendelea😄 Antonnia kapigwa ban hata sijategemea
28 Reactions
539 Replies
28K Views
Jf member wote nawatakia kheri ya sikukuuu ya pasaka karibu nyumbani ila ukija uje na nauli yako na hela ya soda Nawatakia watu wangu wa nguvu kheri na furaha tele Punguani Gily mrembo Lenie...
5 Reactions
63 Replies
1K Views
11 Reactions
69 Replies
4K Views
Waislamu tukae pembeni kidogo Leo ni siku ya Ijumaa kuu, tukumbushane vitu gani muhimu vya kuzingatia katika siku hii?
0 Reactions
1 Replies
618 Views
Rais mwenzako sifi Leo ndo napita Ikulu zote mbili yaani Magogoni, na apo DODOMA nikiwa na Ungo wa Babu ila nikwambie ukweli ndio maana nchi inaibiwa. Inakuaje muda huu ikulu muda huu hakuna...
0 Reactions
0 Replies
242 Views
WABONGO TUNAGAWANA MAJUKUMU KATIKA JIJI LA DARES-SALAAM KAZI KWELI IPO HAPO............... DAR bwana Tunagawana majukumu tuu "Wizi" MBAGALA "umbea" MWANANYAMALA "mapenzi" KIGAMBON "vibaka"...
2 Reactions
9 Replies
968 Views
Wakuu, Nafurahi leo mtani wangu kikabila GENTAMYCINE ameweza kunitumia zawadi, maana baada ya ushindi wa JamiiForums majuzi, nilimuomba walau akipata zawadi anitumie kidogo. Sasa kisa kinaanza...
4 Reactions
29 Replies
1K Views
Niliitoa sehemu, JF tycoon mmoja anunue. Naomba mnunue jamani ntie wanaume tafadhali
4 Reactions
26 Replies
982 Views
African dont sleep wake up Tuanze hii challenge una andika namba mbili za mwisho wa mwaka wako wa kuzaliwa mpaka umapate mdogo wako au kaka yako au dada yako au mchumba wako Naanza mimi 06...
4 Reactions
80 Replies
2K Views
Mtalii na mtafsiri wake bongo hotelini. Mtalii: Do you have vegetables here. Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa. Waiter: Vijimeza vidogo hatuna. Mtafsiri: No sir, they don't have. Mtalii: OK, fine, do...
2 Reactions
5 Replies
313 Views
Hakuna Mwanamke mwenye hisia na mwanaume Mzee. Je Ni njaa tu na kukosa adabu?
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Kutokana na wabongo wengi kutuonea wivu sisi waishi ulaya nimeona nifungue huu uzi ili nyie mlioko nchi za maziwa makuu mje humu mumtaje mwana ulaya mmoja mkimtaka atoe uthibitisho wa yeye kuwa...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Hellow Watani zangu watu wakigoma wahaa Kwanini mwapenda sana kufanya kazi za kusafisha kucha hakuna kazi nyingine? Dar mmekuja kusafisha kucha wazaramu au uko kigoma inatolewa ujuzi wa...
3 Reactions
13 Replies
535 Views
Daah sio poa aisee Sema nini, nshaelewa. Kweli nyumbani ni nyumbani tu. Angalizo: Tuwe makini sana tunapoingia kwenye nyumba za watu, office za watu, majengo ya watu, mashamba ya watu, mitaa ya...
0 Reactions
3 Replies
524 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…