JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Enzi zetu haikuitajika Peugeot, Nissan Wala Datsun ila ukiwa na Phoenix, Swala, frying pegeou au Raleigh unang'oa walimbwende na ndoa zilidumu sana tofauti na Sasa.😂 Sio maneno yangu alisikika...
7 Reactions
123 Replies
3K Views
Msanii Konde boy Kila nyimbo lazima ajimwambafai na kiitikio cha "jeshii". Tukielekea pasaka nikaona niangalie filamu ya yesu iliyotafsiriwa kwa kiswahili. Kuna kipande Fulani yesu akiwa na...
2 Reactions
3 Replies
374 Views
Shukrani za dhati kwa Mwenyekiti cha wasiliti bwana Yuda kutuletea pasaka. Na kuanzisha mtindo wa usaliti.leo tuna mayuda wengi duniani kila Kona. Tumebakisha siku chache tumkumbuke Yuda maana...
1 Reactions
4 Replies
491 Views
Yaani unakuta mtalii tena mgeni yuko mbugani na mikamera yake alafu akikuta mnyama anaekula mnyama mwenzake kama fisi simba au chui anataka kula mnyama badala ya kumsaidia huyo mnyama anaeliwa...
2 Reactions
96 Replies
2K Views
Tupeni siri mliofanikiwa watu tunakufa kwa njaa huku mpaka 10,000 inatushinda kupata 😭😭😭 twende wapi kuomba omba kwa mwanaume haiwezekani.
3 Reactions
36 Replies
1K Views
Kwa wale wenzangu na mie ambao siku haiwezi kupita hasa kipindi hiki cha joto bila kushusha kinywaji baridiii hebu tukutane hapa tupeane mikakati na mbinu za kuendelea ku enjoy hiki kinywaji...
15 Reactions
94 Replies
18K Views
Sabato njema. Sitaki porojo la kuandika maneno mengi, weka bundle wasikize mwenyewe. No. 1
10 Reactions
21 Replies
1K Views
Katika pita pita zangu mitaa ya Kariakoo ' Nikakuta Jengo kubwa Kama Ghorofa Nane linabomolewa...Nikauliza why nikaambiwa Mangi mmoja Kanunua Anabomoa Ajenge upya lingine maana site Hakuna. Bei...
8 Reactions
10 Replies
944 Views
Yani kifupi nikinywa kidogo najikuta napiga table hatari ...nikishika stiki basi naweza kuwabadilisha wachezaji hadi nikachoka Uzi tayari
1 Reactions
4 Replies
240 Views
Mke wangu amesafiri kwenda mbali mkoani, nipo na watoto peke yangu, sisi familia yetu hatuna wasaidizi na kwa kuwa maisha tulishaandaa yaaani tulishawekeza mila mwezi pesa inaingia ya matumizi...
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Hapa siingilii uhuru wa mtu, unakuta dume limeenda egi kabisa eti linapiga picha msosi anaokula kisha anapost na kuweka emoji ya 😋😋. Hivi vidume wenzangu huwa mnafikiria nini?
16 Reactions
64 Replies
3K Views
Habari za asubuhi ndugu zangu wa JF, Leo asubuhi tarehe 29/03 ni siku ya furaha kwangu kwa sababu kuu mbili. Kwanza kabisa ni siku ya kuzaliwa mke wangu mpendwa, ametimiza miaka 29🙂. Namtakia...
37 Reactions
163 Replies
5K Views
Wakulu wa nchito, nipo Zanzibar kama 2 weeks hivi, ila sasa naona kabisa kama kuna ka kampani ka manzi kanamiss afu kuimport ndio miti yote imeteleza nyani wote chali. Mwenye code nzuri tafadhali...
3 Reactions
6 Replies
513 Views
Kwema Wakuu! Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo. Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora. Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia...
28 Reactions
176 Replies
4K Views
Nipigie Basi mpenzi, nimesubiri sana simu yako dia
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Nita Trend Kwa lipi? Just wait and see..
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Hey ni vyema mjue SABABU ambazo wanaume wa kabila la Kichaga walizonazo na uweze kuchukua tahadhali nao hata kama unataka kuishi nao angalia vipengele hivi: 1. Wanaume wa kichaga ni wepesi...
1 Reactions
26 Replies
14K Views
Back
Top Bottom