JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habarini wadau wa humu. Toeni ya moyoni kuhusu kujulikana Je kwako mwenzangu KUJULIKANA kuna raha au karaha? TIRIRIKENI WADAU hapa. Mimi kujulikana naona raha sijui wadau mabestito. Wasalamu Ladyf
4 Reactions
52 Replies
3K Views
Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu unaweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo: 1. Unalia sababu umechapwa, utachapwa tena 2. Umechapwa ukulia utachapwa tena 3. Ukijililia tu bila kupigwa...
17 Reactions
685 Replies
57K Views
Safari yangu ilinzia Lindi , Dar, Moro, Dodoma now nipo Tabora natalajia jion hii niende Nzega,but sina uzoefu SANA na Nzega napenda nijue eneo la kula lorge nzuri na watoto wabichi. Asanten.
0 Reactions
8 Replies
394 Views
Tafakari ya babu na Swaleh Mdoe "Nikiangalia kopo langu la mkono, lasema ni saa moja na dakika takribani kumi na kenda." Tafakari ya babu... "Mtoto mmoja alianza kujipaka mate kichwani katika...
0 Reactions
0 Replies
479 Views
Habarini za muda huu wakuu, Leo nimeona tuzungumze jambo moja hasa kwa sisi WANAUME. Nimeanzisha thread hii kwa ajili ya sisi kujadili "mambo yetu" kwa lengo la kufundishana, kuhabarishana...
8 Reactions
72 Replies
6K Views
Mtoto mmoja aliibiwa Baiskeli yake akaenda Police, akaulizwa unahisi ni nani aliekuibia? Mtoto akajibu: = Nahisi ni WAZAZI wangu, Police wakamuuliza kwanini unawashuku? Akajibu: = Jana usiku...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwanini usipooa/olewa ni ngumu kupata chumba cha kupanga? Lakini sio chumba tu; hata nyumba, ajira, na heshima?
3 Reactions
36 Replies
3K Views
Njoo wasomi wa chitchat
4 Reactions
5 Replies
681 Views
Wadau hebu tupeane A ,B C za ma ex wetu
2 Reactions
11 Replies
704 Views
Kwenye hii chemsha bongo...uzoefu wako wa mapoz ya wachezaji mbalimvbali..taja uliyemtambua
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Vijana bhn yaani anatoka kwao ushaagoo kule ndani ndani anakuja Masaki anashangaa zile nyumba anaona kama kafika New York city 😂😂😂 Aisee ushamba mzgo Wanashangaa vijana wadogo wenye magari makali...
1 Reactions
21 Replies
910 Views
Huyu mchoma Mahindi mwenye bunduki anapatikana kijiwe gani? Niko njiani naenda Dodoma nataka nimpitie aniuzie muhindi choma moja. Zicomedy Show
5 Reactions
19 Replies
870 Views
Asilimia 97 ya walio tumia sabuni hii wana kesi ya kujibu siku ya hukumu, nawakumbusha kutubu ile dhambi waliyo itenda. Kama hujaelewa basi.
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi sina noma na huyu mzee, lakini bwana father kazidisha kwakweli. Yeye hakuna meme au video ya kuchekesha inampita lazima ataiweka status tu, yaani hadi sometimes watu wangu wa karibu wenye...
31 Reactions
77 Replies
4K Views
Ramadhan kareem Kwanini Mtu ukinyoa sharubu sura inabadilika na unazeeka ghafla? Hii imekaaje?
1 Reactions
3 Replies
520 Views
1. Key holder ya JamiiForums 2. Handbook ya JamiiForums 3. Cello Pen ya JamiiForums 4. Flyer ya JamiiForums 5. Kupiga Picha na Jengo lao zuri na Nembo yao nzuri kisha kupata nao Lunch na Kuondoka...
9 Reactions
15 Replies
678 Views
Good morning! Weekend yangu jirani yangu aliniharibia sana Ijumaa jioni nilimpokea mgeni wangu kutoka Mbeya huko kijiji cha Galula ambaye ni uncle wangu, kaja kunisalimia nilifurahi sana maana ni...
17 Reactions
86 Replies
4K Views
Hii nyuki🐝 ni nyuki🐝 njia nyuki🐝 pekee nyuki🐝 ya nyuki🐝 kumfanya nyuki🐝 mjinga nyuki 🐝 kushughulika nyuki🐝 Sasa rudia kusoma bila nyuki 🐝
-1 Reactions
17 Replies
908 Views
Halafu Sweety wangu Shunie kuna Wanawake Wenzako hapa JamiiForums siku zote tu Wananichunia leo Kudadadeki zao wameona GENTAMYCINE naenda Kuzawadiwa Mamilioni na Gari wameanza Kunisumbua PM na...
8 Reactions
56 Replies
1K Views
Habarini wana JF, kiufupi mimi shughuli zangu za kutafuta coins nazifanyia tu hapa hapa mtaa fulan huku Dodoma, ila zilipita siku nyingi kidogo kama mwezi hivi sijaenda town. Sasa leo nikaona...
1 Reactions
4 Replies
949 Views
Back
Top Bottom