JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
mhhh niliwamiss charminglady na Elizabeth Dominic , afu nasikia kuna dereva wa daladala la msuto Nicas Mtei anahonga faranga tu, angalia sana mwenye mji nimerudi, yasije kukupata yaliyo mpata...
0 Reactions
35 Replies
2K Views
Mwanamke zuzu alikuwa na mchumba wake zuzu kama yeye, lakini mwishowe uhusiano ulivunjika. Sasa huyo jamaa alikuwa akimsumbua sana kumpigia na kumtumia sms na yule mwanamke kwa simu kila siku...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
inavyosemekana ni kwamba xmass imepoteza jna lake, hii imetokana na zamani hadi poverty people walikuwa wako active wakiremba pamoja na kupamba ndani pamoja na kula ubwabwa, also watoto kuvaa nguo...
0 Reactions
0 Replies
947 Views
A man in Newfoundland calls his son in Calgary two days before Christmas and says, "I hate to ruin your day, but I have to tell you that your mother and I are divorcing; forty-five years of misery...
0 Reactions
2 Replies
996 Views
MOSHI = Mungu Onyesha Hela ilipo ROMBO = Ruhusu Ongezeko la Mapesa Bila Ombaomba HIMO = Hata Ikipungua Mungu Ongeza MARANGU = Mungu Angalia Raia Ngawira Utuhakikishie MAMBA = Mungu Ahidi...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Bila shaka mie mzima, mie ambae nipo ktk kamati ya ufundi naona mambo sio mabaya.kipipi nitafutie paka mweusi nataka nimtume akanichimbie mzizi mkavu.arabela lazima awe king ast. Naona vigagula...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Kama ingetokea Mungu akakupa nafasi ya kupata jicho la tatu ili kukurahisishia shughuli zako, Je ungependa liwekwe wapi?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Usiku mwema. Naona wengi mmesha kimbilia ukumbini kusuguana humo. Mie napanda kitanda changu cha kamba. BYE.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mazee nipo ndani ya Mbeya, ni mpana kupita maelezo,itakuwa poa kama tutaonana japo kwa wale itakaowezekana, pamoja sana full love. I LOVE MY MOTHERLAND
0 Reactions
36 Replies
2K Views
It’s the most beautiful time of the year Blessed is Justin Bieber for this wonderful song. Nimedediketiwa, na mimi nalidediketi kwenu kama lilivyo. Haya na wewe hebu lidediketi hili lisongi kwa...
0 Reactions
4 Replies
792 Views
Kulikuwa na malecturer wakija lecture theatre wanawauliza, HIVI NYIE WOTE MNATAKA KUITWA GRADUATES??? Kwenu hakuna mashamba? Haiwezekani! Lazima wengine mpungue!! Anawafundisha kidogo aafu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
yaani sikukuu yote imeishia kitandani. jana nimetoka kibaruani nikafungua box la overmeer nikanywa kama lita hivi. kutoka hapo nikajisogeza maeneo nikapiga dompo mbili. baada ya dompo ya kwanza...
0 Reactions
1 Replies
650 Views
Habarini za siku wapendwa wote na members wa chit chat? Nilikuwa mbali nanyi bila kuwaaga, mnisamehe kwa hilo,ila ni mwingiliano wa majukumu tu. Nimewamiss sana na nawatakia heri ya x'mass wote.
2 Reactions
19 Replies
2K Views
A
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mwelekeo ninaouona hapa MNDENYI mvua imeongeza baraka ila chonde chonde jamani nataka kujirusha mimi, ila nawapenda wote na hakuna mtandao utakaonitenganisha na JF.
0 Reactions
4 Replies
694 Views
Habhari yenu bhana,wana chitchat. Ni kwa mara nyingine tunawadia katika zile pilikapilika na shamlashamla za kumsaka miss chitchat wa kila mwezi.nikukumbushe tu kuwa shindano hili lilianza mwezi...
2 Reactions
93 Replies
5K Views
Wakuu habari za sikukuu! Taarifa za utani toka Mwanza zinadai, Wanaharakati wanaotetea haki za wanyama jijini Mwanza, wameandamana kuelekea ofisi za umma kushinikiza serikali iingilie kati...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamaa analeta usanii
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Merry Xmas Merry Xmas Christmas wishes Faith makes all things possible, Hope makes all things work, Love makes all things beautiful, May you have all the three for this...
0 Reactions
9 Replies
879 Views
X mas ndio hiyoooo! sijapata mwaliko hadi hivi sasa jamani, umri wangu ni wa kutosha tu,uzoefu wa muda mreeefu wa kuutandika mpunga, nakuja na pilipili yangu(sio chili) ni ile ya asili! na ndizi...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom