JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Arushaone niandalie toto la kiarabu huko!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
MUNGU awatangulie mfike salama japokuwa mimi binafsi nilipenda sana kuungana nanyi kwa sababu zisizo zuilika nimeshindwa safari njema.MUNGU ATAWALINDA MTOKAKO NA MUINGIAPO AMINA.
3 Reactions
17 Replies
1K Views
kama hujabahatika kufungua zawadi . . . . ... . . . . . . . . . . . . . . . . Fungua hata mlango
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu nawaletea Risala fupi ya marehemu SSM kama ambavyo nilipita katika kikao kimoja cha Wazee na kusikia haya: 1. Marehemu alizaliwa 5.2.1977 2. Enzi za uhai wake marehemu alijishughulika na...
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba boti yenye abiria 250 na mizigo tani 16 iliyokuwa inatoka Pemba kwenda Unguja asubuhi ya leo Imefika salama bandari ya Unguja.. tehe tehe tehe cheki...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
kuna tetesi zimenifikia punde kuwa walioshinda MMU na CC ni nyumba ndogo. Hii imetokana na Nyumba Kubwa kukaba hadi penati leo siku ya sikukuu, wahusika wamekosa visa za kutokea. Sehemu ya...
0 Reactions
45 Replies
3K Views
....leo nimekuona unakula nyasi za wizi pale Chekereni wakati natoka Dar. Bahati mbaya sikuwa na camera na kamchina kalikuwa kameishiwa charge. Otherwise ningekutoa live hapa ukumbini!
0 Reactions
5 Replies
854 Views
Kwa kipindi kitakatifu kama hiki cha kumaliza mwaka na kuanza mwaka mpya, sioni dalili yao ya kumaliza tofauti zao pamoja na kuanzisha thead ya kutapishana NYONGO. Nakuomba AshaDii, Mtambuzi...
3 Reactions
53 Replies
3K Views
Kuna baadhi ya wabeba box hapa JF wamejaa dharau sana nakuwaona kama waliopo home hamnazo ila wao washavuka maji ndio wana akili acheni tabia za kipuuzi hizo kuishi nje ya nchi sio kuwa unajua...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Hi! mimi ni member mpya katika hii safu.
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Paka ana misuli 32 kwenye sikio lake moja Mende anaweza kuishi kwa wiki kadhaa bila kichwa Twiga anauwezo wa kukaa mda mrefu bila kunywa maji kulinganisha na ngamia ..........:::wekeni na zenu...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Ndugu wajumbe na wadau wa jukwaa hili maalum la watu wasio na msongo wa mawazo, Ninawaandikieni waraka huu kuwatakienyi nyote NOELI njema na heri ya mwaka mpya 2013. Nawaombeni safari hii tupeane...
12 Reactions
89 Replies
6K Views
Wametengeneza simu na kuziweka Lugha ya Kinyakyusa, ambayo zitakuwa zinasomeka kama ifuatavyo hivyo msije mkastuka sana. 1. INGAMU (Phonebook). 2. AMASIMBO (Messages). 3...
1 Reactions
2 Replies
992 Views
A young man and his date were parked on a back road some distance from town. They were about to have sex when the girl stopped. “I really should have mentioned this earlier, but I’m actually a...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
(((((MMACHINGA)))))))) Hapo zamani kulikuwa na MMACHINGA mmoja hivi ,alikuwa anauza Kofia ,na kila akirudi nyumbani yeye hupita njia moja polini , kutokana na uchovu wa safari yeye Mara nyingi...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Kwa MARA ya kwanza nimeanza kampeni za safisha njia to My arabela kuwa Miss chit-chat mwaka huu,.. nawaomba wote mjitokeze kumpgia kura My wife. Sifa zote anazo,na nitoe onyo kwa wanaopanga...
3 Reactions
8 Replies
902 Views
1. Mvua ikinyesha wakati jua linawaka……….simba anazaa 2. Ukinywa maji ya nazi……utapata busha 3. Mtu akikuruka…..utakuwa mfupi 4. Usiokote chakula kilichodondoka…..shetani amekila 5. Mtu...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
[B]jamani! nani anaejua vizuri
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu.....muda unasogea na bata tunataka kula.....bila kuwezesha itakuwa maneno mbofumbofu..... hivyo basi......kamati kuu imependekeza....tarehe ya mwisho ya kupokea mshiko ni 21st Dec...
6 Reactions
173 Replies
8K Views
Wapendwa wa chit chat naona bado jinamizi la magonjwa linaendelea kuliandama jukwaa letu! Naomba tujumuike pamoja kumwombea mwana chit chat mwenzetu Erickb52 kwani yu mgonjwa kitandani...
17 Reactions
371 Replies
15K Views
Back
Top Bottom