JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakati nikiwa mdogo,nilikuwa nikisimuliwa Hekaya mbalimbali kuhusu Kifimbo cha Hayati Baba wa Taifa-Julius Nyerere. Kwamba kilikuwa na Maajabu ambayo baadhi ya watu waliokuwa wakifanya kazi nae...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Jana kuna mchungaji mmoja katika mahubiri yake huwa anachangamsha sana waumini wake,kwa mfano utakuta katikati ya mahubiri utasikia "..Muambie jirani yako..Yesu anakupenda!" basi kwa furaha na...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Jamaa 1 alikuwa akisafiri akapumzika chini ya muembe. Alipoangalia juu alisema moyoni "mungu kwel amekosea kuweka maembe madogo juu wakat maboga makubwa yako chini ardhini" Akapitiwa na usingizi...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Leo hii watu mnalalamika kuhusu wachaga na tabia zao. Amini nawaambieni tamaa za hawa jamaa hazijaanza leo au jana. Tangu enzi za mangi mareale alimsaliti mwalimu wakati wa kupigania uhuru...
0 Reactions
55 Replies
4K Views
Jaza mapengo kwa ku2mia neno {zi} naamka asubuhi nina usingi... nakunywa chai na maanda... Kwa mchu... wa na... na ndi... ninae soma sms hii mimi ni chi... pia mshen... niliekosa ra... za waza...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Tsup great thinkers. J3 ndio inayoyoma hivo, kama huja"make" mpaka mida hii kaza buti mwanawane. Naomba niwaulize swali la "kizushi".. Hivi ni nani yupo responsible kumpa mtoto jina pindi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Sala ya kuombea kabati ya mume baada ya kuifua. Naiombea kabati ya mume wangu anapotoka ktk nyumba hii ivaliwe hapa na ivuliwe hapa tu, kama ataivua sehemu nyingine tofauti na nyumbani kwangu basi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nasikia ati kipimajoto siku hizi hakiwekwi chini ya ulimi wa mgonjwa baada ya mmasai mmoja kukimeza kwa kuzani muuguzi anempa dawa amese. Jambo hili lina ukweli gani wajameni?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari, baada ya kumalizana na kina Nshomile leo niko kwa kina mami na kina Ngosha, Mpo?? naomba tujuliane hali wana JF wa Geita.
0 Reactions
66 Replies
4K Views
Machizi wawili katika pitapita wakaokota kioo. Kichaa wa kwanza kujiangalia kwenye kikoo,akashtuka, baada ya kujiona. "Aloo huyu nani kwenye kioo mbona simjui ?!" KICHAA WA PILI: (Akimpokonya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Umewahi kuwa na mtoto mdogo <---5 sehemu ya public, akawa analia alafu watu kibao wanaopita au waliopo karibu wakaanza kukwambia anachohitaji huyo mtoto (kulala, kula, kubebwa, kucheza) bila kujua...
1 Reactions
47 Replies
4K Views
Kwa dar..wapi nitapata caps kali za MMG,ymcmb n.k....nikitajiwa na bei pia itakua poa,anayejua naomba msaada! eg..Last Kings Tyga Snapback ymcmb snapback MMG Edit Post Reply...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Jamani mimi nashindwa kumuelewa huyu jamaa na hiyo style yake ya kuvaa? Ni kwamba ni shoga au?
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Viongozi wahusika mpooooooooo ? Ikiwezekana libatilishwe na kuundwa baraza Lingine litakalokuwa kwa ajili ya wananchi wa kata ya Mzimuni na si kwa ajili ya maslahi ya watu fulani na hasa wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwalimu aliingia darasani. Akaagiza wanafunzi watege vitendwili! Juma akasimama "kitendawili?" Mwalimu "tega!" Juma "NIVUE NGUO nikupe UTAMU!" Mwalimu kwa hasira "pumbavu" mshenzi nani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii inatokea kwa kina dada. Hivi unajisikiaje upo njiani una mishe zako huku nyuma unaanza kusikia miluzi. Psiiiii.... oyaaaaa.... mremboooo..... Tena hamna cha maana wanachokuitia zaidi ya...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Duu hapa nilipo namajanga kibao. Kiukweli hili ni neno majawapo ambalo kila siku iendayo kwa mwenyezi MUNGU. lazima nilisikie masikion mwangu. Je wadau neno hili lina maana gani?? Au umekwisha...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari zenu, mkiwa kwenye Jumapili inayoelekea I. C.U kwa kasi sana. Nimekua naguswa sana na wanawake wenye upevu wa kiakili na maarifa na hasa yale yanayoendana na mahusiano. Hidaya (22...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
There was big news in Heaven. Micheal ran to Heaven's gate and said "Whitney what are you doing here?" and she said "I came to sing a duet with you", Aaliyah said "I wanna be in it too"...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
The other day I went to the local religious book store, where I saw a HONK IF YOU LOVE JESUS bumper sticker. I bought it and put it on the back bumper of my car, and I'm really glad I did...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom