Hili neno ORIGINAL naona wabongo wameamua kulichakachua.Ninamaanisha kwamba,mara nyingi utasikia mtu anakwambia nenda duka fulani wale wanauza lace wig au brazillian hair original.
Kusema ukweli...
Katika hali ya kutatanisha na kuwashangaza wapenda soka wengi,kocha wa timu ya mpira wa miguu ya SAMBLICHOLE ya KIPUNGUNI-KITUNDA Joseph Mnanka 'aka'SIR ALEX FERGUSON' amebwaga manyanga asubuhi...
Siku moja mchaga alikwenda soko la mbuzi,vingunguti na kununua mbuzi. Kabla ya kumchinja mbuzi yule kabla ya kitoweo,akamuachia maagizo mchinjaji na mpishi;
"Ukisha mchija kwanya damu tengeneza...
Chuo maalum kwa ajili ya kutoa ajira za chapchap kimefunguliwa hapa Kiborloni. Chuo Kimesajiliwa na VETA na kina waalimu waliobobea katika nyanja zote.
Chuo kinapokea maombi kwa wanafunzi...
Inasemekana kuna watu wa aina nne,kuna wale ni rahisi kuzoeleka na pia rahisi kuzoea watu.Watu wa namna hii ni wacheshi na wachangamfu mno.Aina ya pili ni wale awazoeki haraka,inawezekana akakaa...
wakazi wa DAR napenda kuwashirikisha hili: leo naenda KIMANZICHANA nasikia kuna mashamba yanauzwa bei poa...afu nitarudi niende MADALA...nako kuna deal la viwanja bei ni poa pia!..
tushirikiane...
Njemba moja ilifumaniwa huko Morogoro. Aliyefumania hakuwa na makuu aliwasabahi wagoni wake na kisha kutoka na nguo ndogo ya ndani ya yule njemba na kuondoka. Huku nyuma njemba lilikurupuka mbio...
Hii nimekuta kwenye madaftari yangu ya jiogorafia shule ya msingi. Nakumbuka nilikula fimbo kwa kumsabahi mwalimu kwa maandishi nikiwa nimeketi huku wenzangu wamesima.
Yahusu: ombi la mapenzi...
Nguo inauzwa sh. 10,000.00 wewe huna pesa ukaamua kukopa kwa dada sh. 5,000.00 na kwa kaka sh. 5,000.00 ukapata sh. 10,000.00. Ukanunua ile nguo kwa sh. 9,700.00 na ukarudishiwa sh. 300.00...
Habari zenu wote......
Hapa nazungumzia sauti kwa wanaume (Msinipige mawe)
Napenda kupata maoni yenu may be mie nakosea
kufikiria hivyo.......................
Nimekuwa nikiona mwanaume mwenye...
Mimi siku ikipita bila kuchungulia yaliyojiri ndani ya hili jukwaa letu huwa nahisi kama nimekosa kitu muhimu sana ktk maisha yangu. Huwa najihisi mkiwa, mnyonge na nakosa furaha siku hiyo. Je...
Msanii wa Bongo Movie, Kajala Masanja amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashitaka matatu yakiwamo ya kutakatisha fedha haramu kosa ambalo halina dhamana kisheria na...
Ni jambo la kumshukuru Mungu sana kwani amenibariki mimi na mke wangu mtoto wa kwanza mtoto wa kiume.
Thanks GOD for this blessing. Jamani sisi sote ni ndugu karibuni mnipongeze na tufurahi pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.