JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Alinimbia kuna ku chat.. Nafikiri ndo hapa..wadau..
1 Reactions
60 Replies
3K Views
Aliwafanyizia wazungu na wakambeba kwenye machela (kama wazungu walivyokuwa wanabebwa na Waafrika enzi zile!)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haya ndugu watazamaji wa kituo chetu bora cha habari,ile mechi kali kati ya serikali na madaktari karibia kipindi cha pili kinaanza. HALF TIME ndo inaisha leo,timu zote zinajitaarisha kutoka...
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Wadau sijui ni ushamba wangu, au ni kutokuelewa. Suala la vinywaji kuendana na tukio, mlo, wakati au sehemu, linanipiga chenga. Inawezekana mezani tumemaliza kula, kila mtu akiwa na glass yake...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Pepo za umeme zitavuma taratibu kutoka upande wa kusini mwa Dar es Salaam kuelekea upande wa Kaskazini. Hivyo kutakuwa na umeme mchache maeneo yote ya Jiji na ngurumo nyingi za Jenereta pande za...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
1. The nice men are ugly. 2. The handsome men are not nice. 3. The handsome and nice men are Gay. 4. The handsome, nice and heterosexual men are married. 5. The men who are not so...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini za jioni, Leo nataka wababa, tukae tupige story laini laini, si za kuumizana migongo, vichwa wala moyo. Kama mjuavyo, leo akina mama si siku yao. Uzunguni, labda wamepelekwa...
2 Reactions
128 Replies
7K Views
Anamtambulisha mdogo wake kwa rafiki zake'," Rafiki jangu,nyie kummona uyu bwana ndogo, yeye wa kunifatia mimi. Baada ya kuzaliwa mimi,na ule nchezo kumnogea mama,basi ndo kumpata huyu ndogo wangu...
0 Reactions
0 Replies
944 Views
"Nafungua Facebook account yangu, nakuta kuna notification ya friendship request kutoka kwa mtu nisiyemfahamu (Male), nacheck kuna kama common friend 10 hv kati yangu na yeye, naamua ku accept...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Ndio Udaktari ni Wito! Lakini Wito usiothaminiwa ni zigo la misumari! Halibebeki! Ubabe na longolongo za nini? I SUPPORT DOCTORS!
0 Reactions
4 Replies
666 Views
ni vitu vitatu lakini..muhimu sana kwa binadamu...na haiwezi kuviruka 1..N.j.a.a 2.N.y.e.ge 3.M.a.ra.dhi kama vipi ongeza vingine
0 Reactions
31 Replies
3K Views
He's like pain in the as* He's only been a curse He's made my life worse Now i'm looking for a better nurse He's brought me so much pain He's taken away my sun and brought me rain He's...
5 Reactions
486 Replies
17K Views
Katika pitapita zangu nimewahi kuona mapacha wengi wakiwa na maadili na kuwa na tabia njema,ila sijawahi kuona mapacha wamekuwa na maadili mabovu kama uwizi,ubakaji etc Hivi ni mimi tu sijawaona...
1 Reactions
32 Replies
2K Views
Leo ni sikukuu yebu kila mtu achagua chake hapo, then ananunuliwa on the spot. ni zawadi hakuna pay back.
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Dogo mmoja alifanya kazi ya ubaharia kwa miaka mitano then akaacha kazi. Siku moja akiwa matembezi na baba yake, akawa anatembea kwa ku"swing" sideways. Baba akamuuliza: What hell is this my son...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kila anapozaliwa binadam ataitwa jina kama utambulisho wake. Hata Mwenyezi Mungu alipomaliza kazi ya kumuumba mwanaume alimpa jina la Adam na mwanamke akamwita Eva! Majuzi kuna muumini wangu...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Foleni ndeeeefu kwenye daladala, Jamaa kaona heri amtumie SMS bosi wake kumtaarifu kuwa atachelewa. Ile kumaliza kuandika tu, kibaka kakwapua simu. Jamaa kwa kujua kitakachofuatia...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Tunaambiwa na madokta kwamba maziwa ni mazuri kwa afya na yanaleta nguvu mwilini.Okay,nenda kanywe lita 5 za maziwa halafu kajaribu kusukuma ukuta,hutaweza kamwe..........................Hebu piga...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Leo ni birthday ya mmiliki wa Calabash, hivyo saa 12 watu 50 wa mwanzo kinywaji cha kwanza bure
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Padri mmoja alipoteza jogoo wake. Siku ya jumapili kanisani baada ya mahubiri akauliza, nan ana jogoo? wanaume wote wakasimama. Akasema hapana nasema nani kamuona jogoo? Wanaweke wote wakasimama...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom