JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
jamani ndugu zangu naomba mtu mwenye contact ya chuo cha ustawi wa jamii cha DSM anisaidie maana nimeangaika kwenye google bila mafanikio.nakama unajua qualification zao pamoja na muda wa maombi...
0 Reactions
5 Replies
900 Views
Yaani nimekutana na jamaa anaeongea hivi hadi nikashangaa maana sikuwahi kuona jambo kama hili anafanya mtu ambaye tayari ana dhamana ya wananchi wa Tanzania wana kazi ya ziada kuhakikisha rais...
0 Reactions
0 Replies
899 Views
kichaa alikuwa ufukwenimwa bahar akiwaza,Jamaa akamuuliza:Unawaza nini?kichaa akajibu:natafakar hii bahari ingekua supu ningeinywa na chapat ngap? Good night ma dias.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
siku kama ya leo mama yangu mzazi aliniambia ilikua furaha sana kwani kijana wa kiume nilizaliwa pongezi kwa mama mzazi kwa kunilea mpaka hapa. sina shaka napokea pongezi zenu pia.
0 Reactions
15 Replies
10K Views
Habari zenu wakuu, Leo ni jumatano ya majivu kwa wenzetu wakristo na wakati mzuri wa kutafakari kufa kwa mwokozi Yesu kristo na ushindi wa kifo chake. Nawatakia wote kwaresma njema yenye utulivu...
0 Reactions
89 Replies
5K Views
rb
:couch2: hi come n chit chat wit meh
0 Reactions
4 Replies
919 Views
Wah. Wabunge kikao kinarejea tunaendelea pale tulipoishia jana, kwako mh. Liverpool
0 Reactions
101 Replies
7K Views
naomba kuuliza swali kwako Nape nauye, je? ulivuta bangi ukubwani ama ulizaliwa na degedege? Nape Nnauye HAKIKA CHANDIMU NA JF WAO WAMECHANGANYIKIWA SANA....hahahaaa MPAKA WANACHONGA...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa maoni yangu,yafuatayo ndiyo maneno maarufu kwenye Vyuo Vikuu vyetu hapa Tanzania: 1.'Boom'(fedha za kujikimu zitolewazo na Bodi ya Mikopo ya Elimu Ya Juu kwa wanachuo/wanafunzi) 2. 'Kuuza...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Kufumania na kufumaniwa.
0 Reactions
67 Replies
4K Views
Juzi nilikuwa katika pub na kulikuwa na wanafunzi (Nahisi wa chuo) wanne (4) wa kike wakijipongeza. Mmoja wao inaonekana kilaji kilikuwa kimepanda kichwani akaanza kujisifu mbele ya wenzake kuwa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
wana jf naombeni ushauri yanikila nkipita psiiii psiiii hata nkiwa nadive na wnaonsumbua wame za watu kisa figa na uzuri nifanyaje
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Nahisi ku-miss kituflani ninapoikosa michango ya huyu mwanadada, kunamtu mwenye habari kuhusu Lizzy jamani???
1 Reactions
57 Replies
3K Views
Mlevi kaingia bar na kumwambia meneja.... "Ebwana daaaah... Unajua mi ninashabaha ile mbaya... Naweza kujaza mkojo kwenye ileeee chupa ya juu kabisa counter bila kudondosha hata tone..."...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu niko hapa kwenye jiji letu la Arusha maeneo ya stand kubwa ya mabasi naendesha gari kuelekea kupata chakula cha mchana, lakini kinachonichanganya mpaka kufikia hatua hii ya kuleta huu Uzi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimegundua kwamba watu wanapokwenda kazini asubui huwa wana hasira ya kazi na wanaporudi majumbani huwa wana stress za kazi na kuanza kukumbuka uvundo uliotokea siku nzima!sasa usiombe ukapanda...
2 Reactions
30 Replies
5K Views
Kuna mzee mmoja anapenda sana mabinti wadogo,siku moja akamuona binti anachati,basi mzee akazuga zuga,mpaka akamuomba yule binti e mail,binti akamwandikia kwenye kikaratasi e mail...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Obama update his facebook status LADEN IS KILLED, JUSTICE HAS BEEN DONE, after some time he get notification OSAMA BIN LADEN LIKES YOUR STATUS.:biggrin:
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF... Hivi usharobaro unaelekea wapi? Maana nimekutana na mtu anajiita sharobaro kavaa pedo lakini me najua pedo wanavaa dada zetu sasa nimeona nililete kwenu jambo hili huku sio...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Khanga moja na kitu Tigo kuwapa raha Arusha Jumamosi ~ Father Kidevu
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Back
Top Bottom