Kuna sadaka zaidi ya tano, tena hamna usiri, watu wanaambiwa wa elfu kumikumi njooni mbele, kisha anakuwekea mikono na kukuombea.
Mbona Biblia inasema tukiwa tunatoa sadaka hata mkono wako wa...
jamaa mmoja alikwenda kwenye mazishi ya jiran yake.maada ya kumzika marehemu ,watu bado walilia xana .axa jamaa yule alilia kuliko watoto wa marehemu .watu wakashangaa xana alivyoonahivyo...
Sseh?
I wonder kinanda kina nini, yaani kikipigwa unafeel high ile mbaya, very touchfull, regardless tune inamopigiwa. Kiwe cha umeme au kile cha kawaida...
Kuna yeyote mwenye anafahamu siri ya...
nilipita shule moja huko morogoro katika wilaya ya MATOMBO, nikakutana na mwl mkuu, akanipeleka kwake..
ndio hapa,...
tanzania kuna sehemu ukifika unaweza kulia kabisa...ukiwa mjini huwezi jua...
Nakukumbuka ulivyokuwa mkuu wa wilaya arusha,nlikuwa form one,uli2saidia wanafunzi ktk suala la usafiri.kweli umeacha legacy.NAKUONA UNAVYOJIBU MASWALI KWA UFASAHA unaijua vyema jiografia ya...
Mimi sio mzee lakini napenda nyimbo za zamani kupita maelezo kuanzia za akina Mbaraka mwishehe,Marijani,Cuban marimba wengineo utaongezea.Unajua kwa nini nimezikumbuka leo? kuna wimbo umepigwa...
Aiseeeeee
Yapo majina ya kufikirisha hapa zanzibar, Ukiacha Uzini yenyewe kuna Mgenihaji,na Tunduni.Huu ni msikiti wa Tunduni katika jimbo la Uzini
Mdau wa Mjengwablog, Zanzibar
Hello Wanajamii.................
Nilikuwa kimya kidogo nikifanya utafiti kuhusiana na hili gonjwa hatari la ukimwi. Nimegundua kuwa kuna aina mbili za HIV/AIDs namely ANALOGY and DIGITAL.
1...
(MWALIMU);John,haya majibu ya mtihani wako yanaonyesha ulikuwa unatazamia kwa jane. (JOHN);Kwanini mwalimu unadhani nimetazamia?. (MWALIMU);Swali la Rais wa kwanza wa Tanzania,Jane amejibu ni...
Kuna kijana alikua anataka kuoa akamwabia baba yake kaniposee msichana fulani babake akamwambia tafuta kwingine yule ni dadako ila mamako hajui usimwambie, Kijana akatafuta mwingine baba...
Hahahahaha wacha ni cheke miye mtoto wa Pozi,nicheke ni nenepe ni Konde nina Mke?ebwana niaje wa Zee wa ChiTChaT?dah!kitambo kidogo sija Post maujanja humu.Ok hapa nimeshiba Urojo mwenyewe na...
Hii ni kwa wana jf member tu
tunawakaribisha wakati huu wa kuelekea valentine day kutoa booking yako ya keki nzuri utakayoipenda
mwenyewe tunaifikisha mpka mwenzio alipo kwa 40,000 tu...hii ni...
kila nikikumbuka vituko vya lodilofa huwa nacheka...kimojawapo ni hiki hapa...akiwa ndani ya kigari chake alisimamishwa na traffic wa kike...maongezi yalikuwa hivi....
TRAFFIC; Washa indicator...
jamani ee kuna threads nyingine nashindwa kuchangia kutokana kutokutambua jinsia zao
mfano;
kongosho huyu nimeambiwa ni genderles mimi niko puzzled na pia
kabakana. Uyu sina detail hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.