wana jamii nilikuwepo pale quality juzi..! jamani mimi ninaona pako juu sana..! yani theater ni balaa mazee..! na misosi sasa yani ni balaa wazee..! wewe unadhani kati ya pale na mlimani wapi pako...
A man is walking around New York with his wife. They find a perfume shop, the wife goes in, and he waits outside. A hooker comes along and says to him, "Like to come home with me, buddy?"...
Kuna jamaa mmoja alikuwa anataka kwenda ktk kisiwa cha maraha na mazungumzo yalikuwa hivi:-
Jamaa: Naweza kupata nafasi ya usafiri
Mhudumu: Ndio nafasi ipo
Jamaa: Malipo ni bei...
Hivi ni kwanini bei ya superglue haijawahi kupanda ktk kipindi chote tangu enzi ya mkapa bado bei ni Tsh 500 wakati vitu vingine bei ziko angani kila siku au ndo uchumi wetu uko imara kwa kupitia...
Chagua kuishi kwa amani na upendo, upuka migogoro isiyo ya lazima. Chagua kuishi vizuri kwa kufanya kazi kwa bidii. chagua kuepuka ajali za barabarani kwa kuepuka kunywa pombe na kuendesha...
Kimya changu, hakika kinamshindo,
Msijedhani nikimya, milele hata dahali,
Kuwa kwangu kimya, ni sawa na ada ya mja,
Ukimya wangu
Ada ya mja hunena, walisema wahenga,
Kwa muungwan ni vitendo...
Kiukweli na malaika ni mashaidi mimi ni mtu wa upendo sana kwa watu ila kuna mtu humu yaani amenikaa kooni i hate him with all my heart yaani nikiona id yake ,hata mapigo ya moyo yanaongezeka...
Habari wana jamii...
Naomba kuulizia wasifu wa wasichana/wanawake WAKISIMBITI kutoka kanda ya ziwa, tafadhali sana pasipo hisia,tetesi, kupakana/kudhalilishana n.k.
Ya umbea and all other entertainment......
Mnapata wapi udaku wa 'nyumbani' ???
Na wa nje je???
Naomba mlist 'sources' zenu za umbea fashion na entertainmentz zooooote kny thread hiii...
There is a train that is empty and there are 10 stops,if at the first 5 stops it carries 7 passengers and at the last 5 stops it releases 1+4-5+2+3+2-7+1+2 and 4 passengers.How many...
nimesikia tetesi hizi mara kadhaa ya kuwa popote pale utakapoona kuna ishara/alama za kupanda ngazi,cheo,daraja kutokana na aidha mchango wako (mfano hapa jf kutoka member to senior to member to...
helo Jf hivi hivi hii kitu mtima katika mwili wa binadamu unapatikana sehemu gani?
pia ni mfupa, mshipa au msuli coz ni kawaida mtu kusema yule dada kautikisa mtima wangu!!!!
msaada wa ufafanuzi.....
Hongereni kwa kuingia mwaka mpya.
Nina jambo limetokea leo ambalo ni mfululizo wa mambo mengi yaliyokua yakitendeka siku zilizopita.
Ni story ndefu ntajitahidi kuifupisha.
Ninaishi kwenye...
1. Dont let someone become a priority in your life, when you are just an option in their life
Relationships work best when they are balanced.
2. Never explain yourself to anyone...
Jamani yaani hapa mfukoni niko empty, chai sijapiga, nawaza mchana itakuwaje hlf hata mwelekeo wa maisha bora niliyoahidiwa na Mh. siuoni kabisa si ni upumbafu huu? Ngoja nikavizie mtu akikatiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.