...............................Peter na mdogo wake John walikuwa wanalala kitanda kimoja cha spring na wazazi wao.wakati wa usiku wazazi wao walikuwa wanavizia peter na john wamelala na kuanza...
Juzi usiku katika maeneo ya Msasani Bonde la Mpunga....Ndugu Waziri Ally mkazi wa maeneo hayo..alifumaniwa na mke wa rafiki yake akiwa Bar.........
JF Chit -Chat
Kuna siku niliwahi kununua...
Wakuu 2mshukuru mungu kwaku2shugulilisha na miangaiko ye2yote yakutwa nzima, jamani 2mshukuruni kwanza mungu kwani ame2tendea mema. Na pili jamani, wakuu tupumzike japo mudahuu kidogo...
Konda wa daladala akiwa ndotoni........"dereve toa..to..toa" huku akigonga kwa nguvu kwenye mlango............kwa kuwa alikua usingizini ule mlango ukageuka mkewe...........
Wanabodi.
Naomba kuuliza ili suala eti kunuka mdomo kwa mpenzi wako Mume/Mke au Mchumba, kunaweza kuhatarisha mahusiano yakavunjika kwa kero ya kunuka mdomo.
Wadau wa Chit-Chat
Ni leo tu ndiyo nimegundua kuwa kuna member alianzisha thread ya debate juu ya tofauti kati ya maisha ya mjini na yale ya kijijini. Naomba nichukue fursa hii kuomba msamaha kwa mashabiki wangu...
Heri ya mwaka mpya wapendwa wa JF. Leo nipo tena kwenye avatar za Jf. Kuna avatar humu. kila nikiziona zanikumbusha watu, kitu au mahali fulani: Orodha ya avatar na majina ya watu/vitu...
tena wengi wao nimekutana nao humu ndani et mtu anareply with quote sired yenye page mbil alafu anareply hata mstar mmoja haujai et anaandika ''We mkali kwel''
na hamu ya kuanzisha sredi
ila sina jambo la maana
nataka sehemu ya kupiga soga tu
naogopa kuchakachua sredi za watu bure
mwishowe waninunie
kwa anayetaka kijiwe cha kahawa bila stress...
Mashosti.wangu nisaidiene.
jamani am soo down. nashindwa hata kufanya kazi ilhali nina a lot of dedlines to meet.
I cant really tell why am having these feelings.
Jioni Njema mashosti. Let me...
Hebu fikiria mtu anakuuliza 'Waliopewa tenda za ujenzi na kuonesha uwezo mdogo, je, wanyang'anywe wapewe wenye uwezo?' Hilo ndilo lilikuwa swali la kipima joto ya itv leo. Sasa najiuliza hili ni...
Mwanafunzi kajisomea muda mrefu,kachoka na wala haelewi anachokisoma.Akaamua ku-flip coin ya sh.50,akasema;ikidondokea upande wa Mwinyi>nitalala.Ikidondokea upande wa Vifaru>nitaangalia...
Ukiwauliza wahehe wengi hapa iringa wanapendelea chakula gani,wengi watakujibu;ugali kwa maharage.Kwa kihehe maharage yanaitwa dogi.Hivyo wao watakujibu;tunapendelea kula ugali kwa dogi.Mh...
Kuna mdahalo uliendeshwa hapa janvini..
Na wahusika wakuu ni huyo aliyetajwa hapo juu upande mmoja na upande mwingine ni kiranga himself.
Kwakwel mdahalo huo ulianza kwa mbwembwe nyingi, lakini...
vilaza, wenye akili akili kama mm, wachovu, werevu kama mm, wabish, masupar star kama mm, wakali, wapole kama mm, wabaya, wazuri kama mimi, woooote mnakua level moja mkichangia. Bonus kuna watu wa...
Kwanza kabisa naomba nisionekane mimi sina mila ya Kiafrika ya Kupenda wageni, kwa kweli mimi napenda sana wageni tena sana, lakini wageni wa JF wanaboa bwana. Utakuta mada iko juu mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.