JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ni pale shemeji na wifi yenu alipokamata njumu mifukoni kwenye suruali yangu! Macho yalinitoka kigugumizi mate kukauka kutaka nimezwe na ardhi! Ilibidi tu niwasingizie wakina Trab na Trat! Za...
1 Reactions
2 Replies
538 Views
Wakuu habari za majukumu ya utafutaji Mimi sina mengi zaidi ya kuomba kufahamishwa kuhusu nini kinahitajika kwa mtu anayetaka kwenda kutembea Zanzibar Naomba kujulishwa kuhusu aina ya Usafiri...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Majibu ya vijana wa hovyo yanachekesha sana πŸ˜‚πŸ˜‚
4 Reactions
11 Replies
758 Views
Huenda baada ya kuhitimu masomo ulimpoteza rafiki au mpenzi wako ama mtu wa muhimu katika shule uliyokuwa unasomea Uzi huu utumike kumtafuta aliyekuwa mwanafunzi mwenzako katika shule husika. Ni...
4 Reactions
53 Replies
3K Views
Mimi naanza nilikuwa darasa la kwanza. Haya twende tiririka.
6 Reactions
46 Replies
2K Views
Habari Wadau, Kwa kawaida katika swala zima la mahusiano ya kimapenzi aidha baina ya wanandoa, au wachumba wanaoishi pamoja au wale wana waliovuta mtoto wa kike (demu) na kuishi nae geto. Kwa...
0 Reactions
35 Replies
2K Views
Kuna habari nyingi sana za uchawi wa kila kabila Hapa nchini, Kule Tanga milimani kwa wasambaa kuna aina nyingi za uchawi lakini aina hizi Hapa ni noma acha kabisa 1; Zongo- uchawi huu unakaa...
19 Reactions
158 Replies
40K Views
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika. Ndugu zangu nimepata taarifa kutoka kwa baadhi ya ma homeboyz kwamba kuna baadhi ya vijana wa...
18 Reactions
60 Replies
3K Views
Hongereni na kongoleni MC wote wa Mwanza na vitongoji vyake vya jirani, mfano Kisesa, Magu na kwingineko kwa kazi kubwa mnayoifanya. Kwakweli kazi iendelee bila kusita. Hata hivyo, mnakumbushwa...
0 Reactions
1 Replies
451 Views
Kwa mara ya kwanza Mwenye enzi Mungu akipenda nitawasili Mwanza siku ya kesho. Gari wakati wa kwenda nitapanda basi la lampuni ya Kisbo halafu nitarudi na basi la kampuni ya happy nation. Kwa...
20 Reactions
196 Replies
7K Views
Kaka Mshana mambo yako haya usogee hapa tafadhari.
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Nimetumiwa hii message ya trophy point cjui award sasa nauliza kwa wataalam humu ni nn na ina maana gani kwa mtumijaji wa jf?
0 Reactions
2 Replies
656 Views
Tabu,shida na changamoto zako ndio sababu ya wewe kutafuta mafanikio zikubali alafu zikabili...na kumbuka mshukuru Mungu kwamba amekuwa mwenye fadhila, Rehema na kukupendelea kipekee. Neno gani...
1 Reactions
12 Replies
403 Views
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’¦
3 Reactions
4 Replies
333 Views
Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana . Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy . Nimeitwa mamy Katoto kangu mwaya 😊😊😍😘 Kakue chimamy wangu mwaya.
16 Reactions
179 Replies
7K Views
Kifupi ni kwamba, kwa sisi watumiaji wa vilevi vya aina mbalimbali huwa inakuwa ni sehemu ya kustarehesha ubongo na pia kupeana mawili matatu katika changamoto za kila siku. Kumwagilia moyo...
5 Reactions
54 Replies
4K Views
Mambo ni ajee Basi bwana Leo tarehe 23 ni birthday yangu... nijitakie heri ya siku ya kuzaliwa.... Huu mwaka kwangu ulikuwa wa majonzi na kilio sana....kifupi nilipitia mazito so nilikuwa na...
8 Reactions
12 Replies
499 Views
Hey guys, its been a decade tangu mara ya mwisho kulog in humu ndani, Jaman wale mabwana zangu na mashoga zangu wote nimewamiss saana i wish ningekuwa na muda wa kuzogoaa kama zamaniπŸ₯² all in all...
4 Reactions
13 Replies
433 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…