JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hi JFs'. kumekuwa na kasumba ya watu au kuwa na hadhi katika jamii kwa sababu ya kazi wanazo zifanya hasa kutokana na elimu waliyo nayo. Kwa mfano daktari ataheshimika tu kwa sababu ni daktari...
2 Reactions
5 Replies
289 Views
Hivi ukiambiwa leo ndosiku yako ya mwisho duniani, utaimaliza vipi? Utaiishi vipi hiyo siku yako? Utafanya nini? Utaacha nini?
1 Reactions
14 Replies
760 Views
Namba 1. Pikipiki Namba 2. Gari Mpo namba ipi?
5 Reactions
37 Replies
1K Views
Hi! Naomba kuuliza wakuu, Kuna Waukraine waishio Ukraine watanyanduana leo usiku? Maana sio kwa mabomu haya ya Putin.
0 Reactions
5 Replies
535 Views
Haya jamani, tujikumbushe kila mmoja wetu, mwanafunzi aliyesoma naye ambaye kwa ukorofi, vituko na kadhalika hutakuja kumsahau, ambaye hata walimu na jumuiya nzima ya shule walimnyoshea mikono kwa...
0 Reactions
2 Replies
389 Views
Nothing last As we get older We lose our Mothers We lose our fathers We lose our teeth We lose our hairs We lose our siblings Nothing is permanent
3 Reactions
3 Replies
327 Views
Ni ajabu watu wanataka kubadilisha mboga wakati hawamudu. Watu wagumu kuelewa, utandawazi umeongeza mahitaji ya binadamu, bando, usafiri, simu nzuri, saluni, kodi ya pango na mengine mengi huko...
0 Reactions
1 Replies
360 Views
Nakutakia Ijumaa njema na wikiendi njema mwana JF mwenzangu. Weka msemo wako mkali wa kuisindikiza wikiendi ya kwanza mwezi wa kumi.
3 Reactions
42 Replies
2K Views
1. Uhasibu 2. Bank 3. Urubani 4. Udaktari 5. Uaskari 6. Mfanyabiashara
7 Reactions
87 Replies
5K Views
Tuliosoma Pugu boyz kuanzia miaka ya 2000 kuja juu njooni tupigeni story, kwanza mi nauliza kila Mara nipitapo ile njia kuelekea Kajiungeni huwa hali yangu inabadilika. Huwa nahisi kama narudi...
0 Reactions
2 Replies
803 Views
Wakuuu, Habari zenu, Binafsi nimejifunza mengi hapa Jamii forums kupitia machapisho au Nyuzi za hapa JF, ziko nyingii za miaka na miaka, nyingine zina burudisha, kufundisha nk. Leo hebu tutajiane...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Pale unapo mfukuzia mwanamke fulani ambaye unampenda sana halafu awe anakuchomolea nje! Ujumbe wenu huu wazee wa tafuta pesa. Siyo kila mwanamke anahitaji pesa zako wengine wanaomba bidii yako na...
2 Reactions
2 Replies
640 Views
Nawakaribisha watu wote wenye wapenz mbali watume Salam zao za ucku wa mahaba kwa wapenzi wao Karibuni
0 Reactions
43 Replies
7K Views
Kuna msela wangu leo kafukuzwa kazi kisa kamjambia boss wake wa kazi. Msela kachukulia poa tu ila kitu ambacho amekitowa hakika ni zaidi ya Yusufu. Eti yeye katoa rwakatala, mbaya sana...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Dear Anko, Naomba msaada wako nifanye nini? Mimi ni mke wa mtu, na mume wangu tunapendana sana. Juzi niliondoka kwenda kazini nikamuacha mume wangu anaangalia TV. Sikufika mbali gari ghafla...
7 Reactions
5 Replies
714 Views
Hao magenius wawili ambao ama kwa hakika 2021 wamefanya vizuri kuliko vijana wengi katika suala zima la uandishi wenye tija na maudhui bomba yenye kufikirisha na kubadilisha.wote Wana maarifa...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Huyu jamaa zamani alikuwa serious mtu kazi. Mnapeana kazi kila mtu anamaliza kwa wakati mnafanya majumuisho mnasonga mbele. Hapa katikati amebadilika sana.mnaweza peana majukumu nyie mkamaliza...
24 Reactions
58 Replies
4K Views
Mpenzi wangu amefiwa na mjomba wake. Je natakiwa kumpa sh ngapi kama rambirambi?
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Habari wadau. Kuhusu huu uzi naomba tuongelee sentesi ya hapo katikati muendelezo ie, Jana nilikaa maeneo ya pale Picaso hapo katikati akaja jamaa kuniletea mazoea nikamkataa! Niliitwa kituoni...
0 Reactions
9 Replies
510 Views
Leo nilienda Sauna ,siipendi maana ule umoto unanishinda japo nilivumilia hivyo hivyo ,hapa nilipo nimechoka nasikia usingizi. Kuna wakaka wazuri wazuri wa kila...
12 Reactions
254 Replies
21K Views
Back
Top Bottom