JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
luckyline , asante sana kwa dua, sala na maombi haya. Mungu Baba katika jina la mwanao Bwawa wetu Yesu Kristo nakuja kwako kwa maombi maalumu. Nawaombea wanaume wote ulimwenguni wanyime vyote...
8 Reactions
26 Replies
836 Views
  • Closed
Your smile makes me feel special you always make me happy.... You do not know how much special you are to me. I want to do everything to make your birthday a special one.... You are always with...
17 Reactions
89 Replies
7K Views
Habari wadau Huyu mwamba labani og namkubali sana humu jf, jamaa comments zake ndo zinaniacha hoi na kunivunja mbavu na hata nyuzi zake, Nimesoma uzi wa umughaka nikaona posts zake akijifanya...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Mwanaume anayetoa hela na mwanaume anayejali bora yupi?
0 Reactions
20 Replies
707 Views
👋👋 Kama huna cha kuangalia wikendi hebu itazame hii series natumaini utaipenda. Nimeishia Season10 nasubiria mwakani season 11 ikiwa Complete ndio niendelee. Ni mzuri sana haiboi haichoshi...
7 Reactions
48 Replies
3K Views
~ Kuna mtu ametuma nauli na mhusika amekaribia kufika [emoji16]. ~ Halafu kuna wale tangu walipotuma nauli simu hazipokelewi kabisa. ~ Kisha kuna wale wanaosafiri kwa kutumia nauli zao na...
5 Reactions
30 Replies
1K Views
Naona muda wa kulala unakaribia na wengine bado wanapiga safari moja huanzisha nyingine. Umewahi kukaa jirani na mtu mahali mnasubiri huduma labda kwenye taasisi fulani hivi halafu huyo mtu...
0 Reactions
1 Replies
562 Views
Mshikaji mmoja yupo jela kwa kesi ya mauaji. Alimuacha mke vizuri na kila kitu sasa mke wake akawa anakitembeza sana, anachapwa sana mtaani na vijana jamaa. Stori zikampata ikamuuma sana. Siku...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
1. Visirani sana na hii inatokana na kutokua na mzigo ( kufungasha) 2. Unaweza ukawatumia nauli alafu kuja magetoni changamoto, Ni wajanja sana 3. Wanapenda zawadi za kitoto kama Pizza...
3 Reactions
68 Replies
4K Views
Habari . Twende na haka kamchezo. Nenda WhatsApp Messenger, screen shot emoj zako unazotumia mara kwa mara wadau tukuambie tabia zako. Naanza na mimi hapo kwa picha
0 Reactions
3 Replies
455 Views
Mambo Zenyu. Mimi salamu zangu ziwaendee watu wote wa JF ambao wanajitambua. Je, salamu zako alasiri ziende kwa nani?
8 Reactions
106 Replies
3K Views
Hakuna kitu kinaleta msongo wa mawazo kwa sisi madomo zege kama kuona washikaji wanavyoraluwa pisi kali for free. Yaani unaona pisi inastahili kuhandle with care ila wahuni wanaitreat kama gari bovu.
0 Reactions
7 Replies
532 Views
Wanawake wote mnaoshinda na kanga kipindi hichi cha joto popote ulipo nchini Tanzania amini kwamba you do right thing for the right time.
2 Reactions
6 Replies
663 Views
Binadamu huwa kwa masaa 24 tunawaza mambo mengi sana ndio maana katika saikolojia watu wanasema binadamu wote ni vichaa. Ndani ya masaa 24 lazima kuna wazo la kijinga litakujia au linalochekesha...
0 Reactions
5 Replies
531 Views
JamiiForums ni jukwaa nililotokea kulipenda sana toka nijiunge nayo mnamo mwaka jana. Jukwaa hili nimetokea kuwa na uraibu nalo kabisa, kiasi kwamba haiwezi kupita siku bila kutupia jicho. Tokea...
14 Reactions
81 Replies
3K Views
Nataka nifungue Kanisa langu nipige mpunga. Naona future ipo huko. Siku hizi watu wamekata tamaa sana wanahitaji maneno ya faraja tu kidogo alafu wanakupa sadaka. Hebu mwangalie Pastor Mgogo...
8 Reactions
37 Replies
2K Views
Hili swali nimejiuliza muda mrefu Sana lakini nimekosa jibu. Yaani mama amejaa tatoo mwili mzima baba pia amejaa wino mwili mzima lkn Mtoto anazaliwa Hana hata tone la tattoo. Wataalam wa sayansi...
3 Reactions
29 Replies
1K Views
Hello dears, Mwenzenu leo hii hali siielewi, sijisikii kuchangamka, kuongea, kula, wala kutoka outing! Yaani kifupi nipo nipo tu kama mtu aliyekosa sera. Nyie wenzangu huwa mnafanyaje katika...
8 Reactions
112 Replies
3K Views
Habari wakuu. Kuna waungwana huwa wanatuaminisha kuwa wanawake wote ni sawa na suala la uzuri lipo kwenye macho ya anaetazama. Nimegundua kuwa huwa tunatiana moyo tuu, ila hili jambo sio kweli...
0 Reactions
8 Replies
459 Views
Back
Top Bottom