JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
kama kuna mtu ana ma ishu aka ma dude aka feki aka cd!ani pm bac au co?tutoane thc z lyf bhana
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Imegundulia kuwa kuna namna maalum ya kuwasaidia akina dada kuondoa upweke, please angalia hapa chini then unaweza kuni PM ili nikupatie bidhaa hizi kama wewe ni mdada na pia ni mpweke ...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wabongo kweli ni noma...check huyu mshkaji alivyokomaa kwenye interview: 5000 candidates assembled in a large room for an interview Interviewer: Thank you for coming. Those who do not know...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Bar moja mtaa mmoja karibu na makazi ya watu siku moja mwanamke mmoja alikua anakimbizwa na mumewe. Ishu ilikua ugomvi wao, mwelekeo ulikua karibu kbs na meza ya wanywaji fulani. Yule mama huku...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani, nyie mmebadili au bado liko la “Honey”? Marriage historical trends: A newly married husband saved his wife's number on his mobile as "Honey My life" After one year of marriage...
1 Reactions
50 Replies
5K Views
1. Je wajua kuwa kunguru na njiwa ndio ndege pekee wanao2mia mchanga kwa kuoga. 2. Je wajua kuwa treni/gari moshi ndio chombo kinachodumu muda mrefu? Lakn kilitengenezwa kwa mfano wa nyoka...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Jamaa mmoja alioa mwanamke aliyekwisha kuolewa na kuachika na wanaume wawili.Cha ajabu huyu mwanamke alikuwa bikra bado.Jamaa akaamua kumuulizia,imekuwaje aolewe na kuachika mara mbili na bado ana...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
1. At least one of the identical twins is born evil. 2. If u decide to defuse a bomb, don’t worry which wire to cut, you’ll always choose the right one !! 3. When you switch off light and go...
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Leo ni siku ya wanyama duniani! Kama tungeubwa wanyama ungependa kua mnyama gn? Na kwanini?
0 Reactions
52 Replies
5K Views
No complications!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi majuzi nilipata Admission kwenye chuo kimoja hapa Bongo kwa ajili ya kwenda kusoma masters.Sasa kama kawaida nikarudi kwa wadau wangu kwamba nipeni tafu kidogo niende shule ikawa hivi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya mazoezi mengi na mifano mingi, akakutana nayo hii hesabu jana kwenye pepa ya form 4, dah nikachanganyikiwa sijui kama atafaulu...kweli "Mathematics ni janga la kitaifa"
0 Reactions
8 Replies
2K Views
lazima awe mdogo mdogo hivi.... mume upishane nae umri(awe mkubwa)... nini logic behind ?lol
0 Reactions
7 Replies
2K Views
BAHILI;Ndizi moja sh.ngapi? MUUZAJI;Ndizi moja sh.100. BAHILI;Nipe kwa sh.60. MUUZAJI;Kwa sh.60 utapata maganda tu. BAHILI;Shika hii sh.40,nipe ndizi,hayo maganda ya sh.60 yatoe siyataki!
2 Reactions
29 Replies
3K Views
After 10 years of selfless service, a man realized that he has not been promoted, no transfer. No salaries increase, No any recommendation and that the company is not doing anything about it. So...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mtalii na mtafsiri wake hotelini Mtalii: Do you have vegetables here. Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa. Waiter: Vijimeza vidogo hatuna. Mtafsiri: No sir, they don't have Mtalii: OK, fine, do...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Inasemekana wabongo kwa upole na ukarimu ni nambari wani.cheki hii. Eti m'bongo akifariki na kwenda mbinguni huwa hivi. M'bongo: malaika,mimi ni wa motoni ama mbinguni? Malaika: kaka,wewe ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jana nilitoka Tanga nikachelewa kufika dar,home kinyerez ndani zaid nikaona nienda magomeni kagera karibu na Friends conner Hotel kuna mlolongo wa Nyumba za wageni. Nikiwa ndani kwa kweli...
0 Reactions
44 Replies
9K Views
Mswahili mmoja mvivu sana alikwenda kwa kinyozi, alipokaa tu kwenye kiti kinyozi akamuuliza unataka kunyolewa ndevu au nywele? Mvivu akajibu ndevu, kinyozi akamwambia inua kichwa basi, jamaa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Baada ya kuwapeleka wanaanga wake kwenye safari za anga ya juu na wanaanga kutembea kwenye anga ya juu kwa mafanikio, China imepiga hatua nyingine muhimu katika juhudi zake za kutafiti anga ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom