Jamaniii..nini kimetokea hapa!??????
Nimepita maeneo ya Break point ya posta naona kibao cha "Samahani kwa usumbufu" yaani wamefunga kabisa aisee..
Sasa mimi Ijumaa nitajiliwazzia wapi...
Baada ya miaka hamsini ya kusema tuko huru katika bendera yetu kuna rangi kubwa nyeusi.nimefikilia sana na sasa nimepata jibu ya kua ni giza na tanesco wanadhihirisha hilo kwa kukata umeme na kwa...
Jamani mimi sina muda mrefu humu JF lakini tangu nimejiunga nimeona manufaa yake...kuna mambo mengi nlikuwa siyajui na sasa JF imenisaidia sana. Ama kweli JF inaleta maana kamili ya kujamiiana...
Sishangai sana kwa mh.jk kwa yale majibu aliyoyatoa alipokuwa akihojiwa na bbc.7bu huyohuyo mh.jk alishauambia uma wa watanzania kukatika umeme itakuwa historia baada ya mitambo ya richmond...
Nape Nnauye ambaye ni katibu mwenezi wa CCM amekuwa hodari wa kughushi katika maisha yake. Kijana huyu alighushi kuwa CCM wakati akiwa na mbinu za kuanzisha chama cha CCJ huku akitumia nyaraka za...
Kitendawili wanaJF ... bila shaka mtaitikia tegaaa:
Ni handsome boy
Anapenda safari za nje
Chukua akili za kwako changanya na za mbayuwayu.. eh
sizihitaji kura za wafanyakazi
hata nyoka akizeeka...
Wadau kwa heshima na taadhima naomba kukopa maneno ya mamaa wa Kericho; JF is beyond keyboards!!!!!!!!!!!
Kwa namna ya pekee kabisa naomba niwashukuru wanaJF wote wa Arusha na wengine toka mikoa...
Wadai mtanisamehe, hali inatisha jamani. Ningekua na uwezo ningepiga fumigation system nzima ya utawala, ianze tena upya. Huu si utani, inaumiza hali ni mbaya na hakuna anaewaza kuhusu hali za...
Mtoto kamuuliza babake:eti baba,unataka kuanza tena shule?baba akauliza:kwa nin umeniulza hvyo?mtoto akamwambia:"jana uthiku niliskia ukimnong'oneza mama,eti kama anapenda muende la pili...!"hvi...
HOW TO ORDER :: Click - http://high-system.miiduu.com
Bose® Lifestyle 235 Home Entertainment System
Bose® Lifestyle V25 Home Entertainment System
Bose® Lifestyle V35 Home Entertainment System...
Kwamba kuku-jike anapofukuzwa na jogoo jeusi tii au jogoo lenye rangi mbaya hukimbia sana kuliko pale anapofukuzwa na jogoo jeupe au jogoo lenye rangi nzuri!
Ni kutoka iringa-Tanzania.Baba mmoja wa kihehe akiwa na mwanawe wakitoka machungani walikuwa wanajaribu kuwavusha ng'ombe wawili (mama ng'ombe na ndama) kukatisha mto.Kila yule mzee alipojaribu...
Hivi ndivyo walivyo anaongea sana uongo na kujisifu ,kupeleka umbeya kwa mabosi utafikiri ndicho alichosomea ,sijawahi ona mwanaume mwongo kama huyu mgoni hapa,kwa style hii wangoni wapite mbali nami!
Nimeiona hii sehemu.. Nkaona si vibaya nikiileta hapa...
Ugeni Mzito. Nina furaha kuwatangaz​ia watanzania​ wenzangu kwamba tuna ugeni mzito siku 2-3 hizi tumetembel​ewa na...
Do you have the guts of telling your thoughts??
Hapo ulipo unawaza nini??
Please share.Iwe kweli lakini.lol
oh!! And Please usishangae... This is Chit Chat...
P.S: Vigezo na Masharti ya JF...
Ilikua ni majira ya saa 12:30 jioni siku ya ijumaa ambapo mimi na familia yangu tulipoamua kwenda kwa yule mchungaji anayetibu maradhi sugu kwa njia ya upako kutoka kwa Mungu kwa gharama ndogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.