JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
adriz, mwanausangi, Frank Wanjiru, Sky Eclat, KISIWAGA, Daudi Mchambuzi, cocastic na Bila bila kumbe nyie na 'Ujiniasi' Wenu wote mnaishi huko Uswahilini Bongo na ndiyo maana mwisho Wenu wa...
11 Reactions
19 Replies
965 Views
Sehemu pekee ambayo unaweza ukamtembelea mwanaume wako na ukatoka salama bila kuguswa popote Ni hospitalini akiwa mgonjwa. Tofauti na hapo, aisee hutotoka mzima mzima😂 Uzi tayari.
1 Reactions
14 Replies
746 Views
Kwa sasa Dom bata zimekuwa kibwena kutokana na serikali kuhamia huku. Kuna platinum 4G Kuna Royal village. Kuna waswanu pub ,chimbo linalokuja kwa kasi hapa utamkuta baba mzazi Ushimen anatafuna...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Unakuta mtu anajisifu kuwa yeye hapendi mademu kumbe ana kiwango kidogo cha testasteron mwilini. Sisi wenye kiwango cha juu cha testasteron tunaonekana wahuni kisa tuna michepuko mingi. Mtusamehe...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwenye kila shule kuna yule mwalimu mnokoo, shuleni kwenu alikuwa anaitwa nani!? Mtaje. Cc Zero IQ
1 Reactions
136 Replies
13K Views
nakumbuka hii ndo ilikuwaga inanikera kuniamsha tu. wenzangu mlikuwa wapi au darasa la ngapi, ata kazini?
0 Reactions
6 Replies
546 Views
Eh, basi leo nimekumbuka changamoto za nyumba za kupanga kwa kiasi mpaka unatamani kulia. Nakumbuka nilishawahi ambiwa na mwenye nyumba wangu kuwa nisiwe natandika mashuka meupe na kitanda...
4 Reactions
48 Replies
3K Views
Jamani naomba kuuliza namna gani unaweza kushugulika na toxic people, toxic people ni watu ambao mnaweza kuwa mnafahamiana sana kwa karibu au kidogo lakini huwa wanakufanyia vitu fulani vidogo...
2 Reactions
11 Replies
973 Views
Kulingana na ukweli kuwa iko starehe katika kufanya tendo la ndoa na ni starehe hiyo huwafanya binadamu na viumbe wengine kukimbizana usiku & mchana kusaka mbususu Je ni mbinu gani angeitumia...
0 Reactions
7 Replies
838 Views
Eti Leo NI tarehe 6 na Jumatatu ijayo itakuwa tarahe 11, kweli Mama anaupiga mwingi mpaka siku zinakimbia.
4 Reactions
11 Replies
361 Views
Fungua kitabu cha waongo 9:10-11, inasema. "Siwezi ishi bila wewe" Mwingine anisomee mstari unaofuata...! Cc Zero IQ
6 Reactions
98 Replies
4K Views
Hivi ni nani aligundua diet ya Chapati MBILI na Supu?[emoji848] Nitumie picha yake na Mwaka aliofanikisha hilo swala.
2 Reactions
12 Replies
1K Views
I see wanasema Wabongo tunaongoza kwa comment za kuchekesha zaidi mitandaoni...Sijui ni kweli? Embu tupia comment ya kuchekesha ambayo umewahi kukutana nayo kwenye mitandao.. Sent using Jamii...
12 Reactions
718 Replies
228K Views
Wakuu samahani huu uzi ni mfupi sana. Sijaja bar kunywa bia ila nimeagiza tu kwa lengo la kuzoom yupi barmaid atanifaa na hili baridi la Makete. Pesa ninayo lakini kila muhudumu yupo busy hatari...
3 Reactions
47 Replies
3K Views
Kuna jamaa anajiita mpwayungu village aisee huyo jamaa ni muongo sijapata kuona kwa kweli. Yaani yeye kila kitu anajua. Uzi tayari
9 Reactions
28 Replies
2K Views
Nimekamata txt hii kwa mke wangu, hivi wanawake mna nini?
4 Reactions
75 Replies
6K Views
Wakuu natumai mu wazima wa afya ndugu zangu... Natafuta guest house ya bei rahc maeneo ya karibu na Kigamboni Mji Mwema au maeneo ya Chekechea ambayo gharama ni haizidi 15000 per some hours.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa unyenyekevu kabisa Wana JamiiForums walioko Mafinga naomba mnisaidie Blanket la kujifunika usiku wa leo mwili wangu una changamoto na baridi. Nimeenda kuulizia madukani bei yake sio rafiki na...
8 Reactions
62 Replies
4K Views
Wana Chitchat habari ya mchana Kama kichwa cha habari kinavyojionyesha hapo juu, nataka nianze kunywa bia, kwa maana sijawahi kunywa pombe yoyote ile, sasa naomba mnishauri ni bia gani ambayo ni...
2 Reactions
140 Replies
18K Views
Mliowah kula wazungu bila Shaka mtaniunga mkono katka Hil Wazungu wanajua Mambo,yaan mpaka unavutiwa na unalizka kabsa kingono Mim Nmebahatka kula mzungu bonge hiv,yaan anajua kumbembeleza we...
5 Reactions
62 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…