adriz, mwanausangi, Frank Wanjiru, Sky Eclat, KISIWAGA, Daudi Mchambuzi, cocastic na Bila bila kumbe nyie na 'Ujiniasi' Wenu wote mnaishi huko Uswahilini Bongo na ndiyo maana mwisho Wenu wa...
Sehemu pekee ambayo unaweza ukamtembelea mwanaume wako na ukatoka salama bila kuguswa popote Ni hospitalini akiwa mgonjwa.
Tofauti na hapo, aisee hutotoka mzima mzima😂
Uzi tayari.
Kwa sasa Dom bata zimekuwa kibwena kutokana na serikali kuhamia huku.
Kuna platinum 4G
Kuna Royal village.
Kuna waswanu pub ,chimbo linalokuja kwa kasi hapa utamkuta baba mzazi Ushimen anatafuna...
Unakuta mtu anajisifu kuwa yeye hapendi mademu kumbe ana kiwango kidogo cha testasteron mwilini. Sisi wenye kiwango cha juu cha testasteron tunaonekana wahuni kisa tuna michepuko mingi.
Mtusamehe...
Eh, basi leo nimekumbuka changamoto za nyumba za kupanga kwa kiasi mpaka unatamani kulia.
Nakumbuka nilishawahi ambiwa na mwenye nyumba wangu kuwa nisiwe natandika mashuka meupe na kitanda...
Jamani naomba kuuliza namna gani unaweza kushugulika na toxic people, toxic people ni watu ambao mnaweza kuwa mnafahamiana sana kwa karibu au kidogo lakini huwa wanakufanyia vitu fulani vidogo...
Kulingana na ukweli kuwa iko starehe katika kufanya tendo la ndoa na ni starehe hiyo huwafanya binadamu na viumbe wengine kukimbizana usiku & mchana kusaka mbususu
Je ni mbinu gani angeitumia...
I see wanasema Wabongo tunaongoza kwa comment za kuchekesha zaidi mitandaoni...Sijui ni kweli?
Embu tupia comment ya kuchekesha ambayo umewahi kukutana nayo kwenye mitandao..
Sent using Jamii...
Wakuu samahani huu uzi ni mfupi sana.
Sijaja bar kunywa bia ila nimeagiza tu kwa lengo la kuzoom yupi barmaid atanifaa na hili baridi la Makete. Pesa ninayo lakini kila muhudumu yupo busy hatari...
Wakuu natumai mu wazima wa afya ndugu zangu...
Natafuta guest house ya bei rahc maeneo ya karibu na Kigamboni Mji Mwema au maeneo ya Chekechea ambayo gharama ni haizidi 15000 per some hours.
Kwa unyenyekevu kabisa Wana JamiiForums walioko Mafinga naomba mnisaidie Blanket la kujifunika usiku wa leo mwili wangu una changamoto na baridi.
Nimeenda kuulizia madukani bei yake sio rafiki na...
Wana Chitchat habari ya mchana
Kama kichwa cha habari kinavyojionyesha hapo juu, nataka nianze kunywa bia, kwa maana sijawahi kunywa pombe yoyote ile, sasa naomba mnishauri ni bia gani ambayo ni...