Mvuvi mmoja karudi kwake na samaki mkubwa aina ya chewa(anaishi kwa muda nchi kavu) akamwabia mkewe afanye haraka wamkaange ana njaa, mke akamjibu mafuta dukani yamepanda bei, akamwambia mbanike...
mtaani kwetu kuna mpemba anawatoto wawili, mkubwa wa kike(7) mdogo wa kiume(5), siku moja mi na rafki angu tukamwita yule wa kiume tukamuuliza hivi we ni mwanamke au mwanaume..!! akasema mwanaume...
Msomi mmoja alikutana na mvuvi moja katika chombo yaani mtumbwi walikuwa wakivuka kuelekea ngambo ya pili. Yule msomi akamwambia yule mvuvi ndugu yangu wewe umesoma? yule mvuvi akamwambia duu...
Utawezaje kumtambua mwenzio kwamba huyu ndo labda bujibuji, maralia sugu, dena amsi, hmaster nk bila ya kujitambulisha. Mi ntaangalia lafudhi zao tu, je wewe!:majani7:
A dog asked a Cat:
Dog: Why do you hide when having sex…?
Cat replied: Because we don't want human to copy our style.
They have already copied yours!
Msomi mmoja alikutana na mvuvi moja katika chombo yaani mtumbwi walikuwa wakivuka kuelekea ngambo ya pili. Yule msomi akamwambia yule mvuvi ndugu yangu wewe umesoma? yule mvuvi akamwambia duu...
Kijana mmoja wa kichaga alimueleza rafiki yake hali ya nyumbani ilivyo, kuwa siku 1 alitaka kumuibia baba yake wallet, vile alipofika kuichomoa akakuta ndani yake kuna wallet yake baba ameshamuwahi.
nasisitiza haya ni mawazo yangu.
nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nitachelea kuwapongeza wabunge wa kigoma kupitia chama cha cdm na nccr kwa kuonyesha mfano wa kujali wananchi wa jamii yao kwa...
Baada ya kupima ngoma maongezi ya daktari na baunsa yalikuwa hivi. Baunsa: mbona unanishangaa tu badala ya kunipa majibu? Dk. Naogopa utanidunda nikikupa majibu yako.
Tangazo la kazi
Kama uko tayari kufanya kazi yoyote
mahala popote -- kuna kazi
imetangazwa -- huko India vijijini --
kazi ya kunyonga watu.
Maafisa wa gereza la Jorhat, karibu
maili mia...
minaona hawa watu hawatofautian sana, wote matajiri kutokana na matunda ya siasa na wote wanalipwa mshahara mkubwa wakifisadi,wote hawajakataa pesa za posho zao ila wanaomba bunge libadilishe tu...
Jamaa watatu mabakhili sana, wakaelezana waondokane na tabia hii mbaya.
Mdosi: "mimi tachora duara, tarusha pesa juu, takazoingi dani ni za maskini
takazo toka nje ni za kwangu bana"...
Kikwete alienda kwenye mtaai fulani marekani nakukuta umeme umekatika.ikambidi aulize, hivi hata marekani kuna mgao wa umeme? kikwete akajibiwa kuwa huu mtaa ambao umeme umekatika ni mtaa...
Upo nje ya chumba ambacho ukiwa nje huwezi kuona ndani.Ndani ya chumba kuna 'tungsten bulbs' tatu,X,Y,Z.Nje ya chumba kuna switch tatu,A,B,C.Kila switch moja inawasha bulb moja kati ya X,Y na Z...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.