JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mvuvi mmoja karudi kwake na samaki mkubwa aina ya chewa(anaishi kwa muda nchi kavu) akamwabia mkewe afanye haraka wamkaange ana njaa, mke akamjibu mafuta dukani yamepanda bei, akamwambia mbanike...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
mtaani kwetu kuna mpemba anawatoto wawili, mkubwa wa kike(7) mdogo wa kiume(5), siku moja mi na rafki angu tukamwita yule wa kiume tukamuuliza hivi we ni mwanamke au mwanaume..!! akasema mwanaume...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuku jogoo, anamkimbiza Kuku jike huku akiwaza 'Nikimkosa nitazuga nafanya mazoezi ila nikimpata nampa vitatu vya faster faster!' Kuku jike anamuona jogoo anakuja anawaza 'Ngoja nijifanye nakimbia...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Msomi mmoja alikutana na mvuvi moja katika chombo yaani mtumbwi walikuwa wakivuka kuelekea ngambo ya pili. Yule msomi akamwambia yule mvuvi ndugu yangu wewe umesoma? yule mvuvi akamwambia duu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ilimradi Tufike Tu, Usalama Mmajaliwa!
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Utawezaje kumtambua mwenzio kwamba huyu ndo labda bujibuji, maralia sugu, dena amsi, hmaster nk bila ya kujitambulisha. Mi ntaangalia lafudhi zao tu, je wewe!:majani7:
1 Reactions
75 Replies
6K Views
A dog asked a Cat: Dog: Why do you hide when having sex…? Cat replied: Because we don't want human to copy our style. They have already copied yours!
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Msomi mmoja alikutana na mvuvi moja katika chombo yaani mtumbwi walikuwa wakivuka kuelekea ngambo ya pili. Yule msomi akamwambia yule mvuvi ndugu yangu wewe umesoma? yule mvuvi akamwambia duu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kijana mmoja wa kichaga alimueleza rafiki yake hali ya nyumbani ilivyo, kuwa siku 1 alitaka kumuibia baba yake wallet, vile alipofika kuichomoa akakuta ndani yake kuna wallet yake baba ameshamuwahi.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wavuta bangi 2 walisimama kituoni kusubiri daladala, mmoja akamuuliza mwenzake tutalijuaje? akamjibu litakalo simama hapa ndio hilo, akamuuliza tena na konda tutamjuaje? akamjibu atakae kugusa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
nasisitiza haya ni mawazo yangu. nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nitachelea kuwapongeza wabunge wa kigoma kupitia chama cha cdm na nccr kwa kuonyesha mfano wa kujali wananchi wa jamii yao kwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Baada ya kupima ngoma maongezi ya daktari na baunsa yalikuwa hivi. Baunsa: mbona unanishangaa tu badala ya kunipa majibu? Dk. Naogopa utanidunda nikikupa majibu yako.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tangazo la kazi Kama uko tayari kufanya kazi yoyote mahala popote -- kuna kazi imetangazwa -- huko India vijijini -- kazi ya kunyonga watu. Maafisa wa gereza la Jorhat, karibu maili mia...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
minaona hawa watu hawatofautian sana, wote matajiri kutokana na matunda ya siasa na wote wanalipwa mshahara mkubwa wakifisadi,wote hawajakataa pesa za posho zao ila wanaomba bunge libadilishe tu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamaa alimkuta mvuta bangi na kumwambia kuwa moshi wa bangi utamuua polepole, mvuta bangi akamjibu kwani nani alikwambia nataka kufa haraka?
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Jamaa watatu mabakhili sana, wakaelezana waondokane na tabia hii mbaya. Mdosi: "mimi tachora duara, tarusha pesa juu, takazoingi dani ni za maskini takazo toka nje ni za kwangu bana"...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
mr na mrs waligombana mr kalala kitandani mrs kalala chini,mr akawa anupiga piga uume wake anauambia wee hebu tulia hujui tumegombana na tumenuniwa?mrs akasikia akajibu,tuliogombana ni sisi siyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kikwete alienda kwenye mtaai fulani marekani nakukuta umeme umekatika.ikambidi aulize, hivi hata marekani kuna mgao wa umeme? kikwete akajibiwa kuwa huu mtaa ambao umeme umekatika ni mtaa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Your medicine is in the kitchen
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Upo nje ya chumba ambacho ukiwa nje huwezi kuona ndani.Ndani ya chumba kuna 'tungsten bulbs' tatu,X,Y,Z.Nje ya chumba kuna switch tatu,A,B,C.Kila switch moja inawasha bulb moja kati ya X,Y na Z...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom