JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
NEW NATIOANL BABU HOSPITAL (LOLIONDO) Inatangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo 1. Kuchochea kuni nafasi 50 2. Wabeba ndoo za maji nafasi 15 3. Kubeba mizizi na majani ya dawa toka porini nafasi 3...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mchaga mmoja alidondoka kwenye kisima cha maji akapiga kelele huku anatapatapa mkewe akaja na kamba mpya akamrushia; mume akauliza umenunua sh.ngapi? Mke akamjibu, buku; akamwambia, irudishe nenda...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
siku moja JK, na Tambwe Hizza pamoja Rostam, walikwenda Bilicanas kustarehe walivyofika wakaagiza vinywaji, Tambwe akatoka nje akaja na mademu watatu wakakaa meza moja wanakunywa pamoja, JK akatoa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Picha ya leo Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Mawasiliano ya Simu Bwana Hamadoun Toure Ikulu mjini Dar es Salaam. Bwana Toure katika ujumbe wake...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Source: Yahoo friends Labda ulishaiona, kama ndivyo skip it. Vijana wawili katika harakati za kutafuta kazi, waliingia kwenye quiz ya kuongea, marafiki wawili hao walikuwa wakisaidiana mambo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu sangu Wachagga acheni unyanyapaaji, nji hii ni ya wote acheni kuwabeza ndugu sangu wa Kishumundu.
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Mida ya jioni jioni,watoto wawili,Tim naTom walikuwa wakicheza nje ya nyumba yao.Katika mchezo huo,Tim alichafuka usoni na Tom hakuchafuka.Mama yao aliwaita ndani ili wakalale.Kabla ya kwenda...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
HABARI NLIZOZINYAKA SASA HIVI ZINABAINISHA JINSI OSAMA ALIVYO MISS STEP NI HII HAPA Login | Facebook
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimeshuhudia live jamaa akimuuliza mwenzake, eti leo ni besdei ya wamama wote duniani? Mwenzake akajibu, hapana leo ni fesibuku yao.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Familiya ya Sir ALEXFARGASON iliyopo UK inayofurahakubwa ya kukualika bw/bi mr/mrs mh,Dr................. katika harusi yamtoto wao mpendwa aitwaeMANCHESTER UNTD atakapo fungandoa na bint...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kama unahudhuria mikutano na maandamano ya chadema utagundua kuwa watu wanaohudhuria wengi wao ni wanaume! Najiuliza ni kwa nini? Hata ukiwahoji wanawake m1 m1 wanasema hawaipendi...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Baada ya Pauline kupotea kwenye hili jukwaa nimeamua kupitia makala zake 10 ambazo nimependezwa nazo kwa dhati..............................sijui ninyi ni zipi mlizipenda.................Here is...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Naishi maeneo ya Ubungo nikaona itanigharimu kidogo ikiwa watoto wangu nitawaandikisha shule za chekechea maeneo ya Mbezi (Kimara). Tulipoanza uongozi wa shule walikubali kuwa ikiwa mtu ana watoto...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyie ndio machizi wanguuuuuuuuuuuuuuuuuu............................................... The one and only NILHAM RASHED, The Finest, afrodenzi, hashycool, X-PASTER, Michelle, Husninyo...
0 Reactions
177 Replies
12K Views
Dad to son: When I beat you how do you control your anger? Son: I start cleaning toilet. Dad: How does that satisfy you? Son: I clean it with your toothbrush.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
my teacher pointed at me with her ruler & said "at the end of this ruler is an idiot!" i got detention after i asked her; "which end?"
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Dulugu! Adundulu! Adulugudu! Gudugudu adulugudu!! Di di di di di diiiii. Hivi sasa ni saa za njaa kamili,ifuatayo ni taarifa ya habari kutoka radio jf stereo. Msomaji ni mimi jf senior expt...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
A mother took her little boy to church. While in church the little boy said, "Mommy, I have to pee." The mother said to the little boy, "It's not appropriate to say the word 'pee' in church. So...
0 Reactions
2 Replies
819 Views
Methali: Aliye juu mngoje chini. Je akigoma kushuka inakuwaje? Badili hii kwa kiingereza; Mtoto wa nyoka ni nyoka.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Teacher: "Who can tell me what 7 times 6 is?" Student: "It's 42!" Teacher: "Very good! - And who can tell me what 6 times 7 is?" Same student: "It's 24!"
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom