JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
(OMBA OMBA):Jamani saidia baba saidia baba,naomba sh.100 (MPITA NJIA):Haya bwana,sh.100 hii hapa....lakini kwa nini umeniomba sh.100 tu,kwanini usiniombe sh.500,sh.2000 n.k (OMBA...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwalimu:Musa nenda kwenye ramani kanioneshe Amerika Musa :Hii hapa mwalimu. Mwalimu:Nani alievumbua Amerika? Wanafunzi wote:Musa kavumbua Amerika mwalimu!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tumweleweje Nape na nguo zetu za Chama tena zile tunazovaa wakati wa Misiba/Maombolezo na wakati wa majozi na shida.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
hivi rambirambi ya marehemu Osama Bin Laden,inatolewa wapi?na maziko yake yatafanyikia wapi?kama kuna mtu anayecoordinate masuala ya usafiri wa kwenda msibani tuwasiliane kama vp!
0 Reactions
17 Replies
2K Views
wanachuo wawili wa chuo flani walikwenda kustarehe huku wakiwa na gari lao,wakazidisha starehe wakajikuta wamechelewa muda wa kufanya test ya somo flan,wakiwa bado njiani wakafikiria saana...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mbunge mmoja wa Tanzania alikua akitaliitalii nchi za uarabuni akiwa ameambatana na mke wake... Mwarabu mmoja akamfuata na kumwambia, ''Niko tayari kumnunua mkeo kwa Ngamia 450'' Baada ya...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Asilimia zaidi ya 93 ya wanawake Tanzania walimwonea wivu Kate kwa kuolewa na Williams. Hali ilikua mbaya zaidi hasa kwa wale waliolewa na wanzungu,,na wengine walitamani hata waachike na hao...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Nawashkruni sana Taswa kwa kitendo cha kuwapa vyeti wanamichezo waliofanya vizuri/ waliozaidia timu zao kufanya vizuri. Jana mimi ni mmoja kati ya wale tuliokuwa tunafuatilia sherehe hizo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JIKUMBUSHE, MCHEKI MZEE WA VICHEKESHO KWENYE HII VIDEOhttp://youtu.be/a4cmrMJul1g
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Anaongea sana hisia zake, anapenda sana atongozwe, anapenda watu wa m pm yaani nahisi kama ni muoga sana wa upweke, hataki midume iche mbali na uwepo wake, huku ndiye nazjaz bwana.nakufagilia...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
NIICHOTA KAMA ILIVO... Wizi wa kupulizia dawa za kulevya kwenye vipeperushi jijini Dar es Salaam Kufuatia ugumu wa maisha, kunawizi umeingia Dar es salaam na inawezekana ukasambaa hata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Brain Transplant In the hospital the relatives gathered in the waiting room, where a family member lay gravely ill. Finally, the doctor came in looking tired and somber. "I'm afraid I'm the...
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Ni muda sasa tangu nisikie ccm wamejivua gamba bt mimi natafuta gamba nilivae manake maisha magumu,magamba nayo siyaoni!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamaa mmoja...
1 Reactions
45 Replies
5K Views
baada ya mwalimu wa sunday school kufundisha kuhusu adam na eva jinsi walivyodanganywa nyoka na hatimaye kula tunda walilokatazwa,na madhara ambayo wanadamu wanayapata mpaka leo kwa sababu ya kosa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Sijui ni kwa nini wanakuita THE FINEST Sijui ni kwa nini wengi tunakupenda.. Sijui ni kwa nini twa taka kukujulia hali..Sijui ni kwa nini tunapenda kufurahi nawe. happy Birthday, The Finest...
14 Reactions
245 Replies
15K Views
sema ukweli wako,hivi dingi yako alikuwa anakuwa wa ngapi darasani?kama yupo karibu muulize!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mother said to her daugher;'didn't i tell you if a guy touches your boobs say DONT! and if he touches your private parts say STOP.' Daughter replied,' but mom he touched both so i said DONT STOP.'
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau najaribu kujiuliza sipati jibu kwanini wazenji wana jeuri na kiburi sana mbele ya serikali ya bara?kwanini wanajiamini kuliko sisi wa bara?kila wanachotaka wao wanapewa?
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kuna tetes kua Osama Ole Laden alikua mshabiki mkubwa wa Man United ali maarufu Mashetani wa Kijani (gamba).Alisema wakati wa fainali ya Uefa Maniu itashinda ila sasa hayupo.Kwa niamba ya JF...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom