JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nyie mnaokuja bar kutazama mpira kuweni wastaharabu na muziki wetu, Sio mnakuja kukaa masaa mawili na soda zenu za buku na mnataka mziki uzimwe. Nendeni vibanda umiza.
4 Reactions
30 Replies
1K Views
It's simple wanawake wanapenda mwanamme mpole na mwenye vurugu. Nimemaliza.
14 Reactions
72 Replies
7K Views
Fully Mzuka
0 Reactions
2 Replies
635 Views
Elezea uzoefu wako, mara ya kwanza kusafiri na gari la magazeti ulikutana na changamoto gani? Nini ushauri wako kwa ambao hawajawahi kutumia usafiri huo?
7 Reactions
151 Replies
22K Views
Kaka yangu Mzabzab unalionaje hili? Mshana je? Hivi unaweza kuongeza confidence kwa ke kwa kutumia ndumba? Aisee kuna kiasi naamini, mtoto wa kiume usipokuwa na hela unapoteza kujiamini kabisa...
4 Reactions
41 Replies
3K Views
Habari ya wakati huu Leo katika pekua pekua yangu nikakutana na picha niliyopiga nikiwa olevel zile zenye negative kwa nyuma [emoji1787] Dah nikakumbuka maisha yangu ya olevel. Hasa kundi moja...
1 Reactions
2 Replies
671 Views
Kuna mada mbalimbali ambazo kwa namna moja au nyingine ukikutana nayo mbele yako hakuna atakaye weza kukupindua. Ni mada gani? Nikiri kuwa 'mabishano/majibizano ya hoja' ni sanaa na katika sanaa...
1 Reactions
6 Replies
697 Views
1. Kumfata mtu pm na kuomba msaada kwakwe na hapo ataamua mwenyewe kusuka au kunyoa 2. Kusema ile hela tuma kwenye namba hii Naomba kujua kati ya vitu hivyo hapo kama kuna namba nyingine ongezea...
0 Reactions
21 Replies
959 Views
Nakumbuka kama mwaka mmoja ama sio miwili kabla ya kujiunga JF kulikuwaga na couples kama mbili tatu hivi za hatari, nimesema za hatari kwa sababu walikuwa wanapendana kiasi cha kwamba ukiwa mgeni...
8 Reactions
120 Replies
7K Views
Nakumbuka kipindi nikiwa mdogo nilikuwa msumbufu Sana na mama yangu alikuwa mnoko Tena mkali ajabu.Kipindi hicho wiki isingeweza kuisha kabla sijachezea mabakora ya mama kutokana na ununda wangu...
2 Reactions
6 Replies
706 Views
Okay, Siku nyingi sana nilikuwa natamani nianzishe thread na mada nilikuwa nayo lakini sikufanya hivyo hadi leo hii. Nakumbuka back then nilikuwa advance nafkiri ndipo nilipo kutana na...
28 Reactions
326 Replies
17K Views
Tafiti zilizofanywa na wataalamu wa elimu ya jamii wanashauri: ● Kutokuhangaika na Mjinga bali Ujinga; na ● Kutokushughulika na Mkosaji ila Kosa lenyewe. Maana yake ni kwamba wengi wetu...
0 Reactions
1 Replies
427 Views
Asante Mungu kwa kutimiza miaka kadhaa cku ya Leo..
2 Reactions
29 Replies
14K Views
Kuna picha kadhaa nimeziona zinazohusiana na video ya mwanafunzi wa UDSM ila wengine mjini hapa hatuna connection za kutosha kupata zile clips. Embu wadau tusambaze upendo basi.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwanza nimejikuta nachukia sana barakoa baada ya watu kukataa kuwa mtu niliyepiga naye picha siyo Diamond. Jana nilikuwa namsikiliza redioni asubuhi na akasema anaenda kuonesha watu hotel yake...
4 Reactions
31 Replies
4K Views
Nimechukua stanza yangu moja tu no.2.... naona mkeka unaelekea kutiki hapaa. Shairi ni moja beti sita na kila moja na hadhi ya pisi unayotaka. Sasa kazi kwako.
0 Reactions
12 Replies
764 Views
Kwa hali ya maisha jinsi tunavyoiona ambapo kila kitu kwasasa bei juu je bado unaamini kwamba elimu ni bora kuliko pesa au ushabadiri mawazo yako ?
1 Reactions
5 Replies
773 Views
Wakuu, nmehamia kwa sista hapa near sea clif zile vilas and apartment ile barabara inayoenda sea clif baharin huku.aisee wakuu. Niko hapa mwez mzima nalinda nyumba...hahhah yaan namaanisha naamkia...
8 Reactions
47 Replies
4K Views
Mimi leo nikiwa nimelala nimeota naendesha gari yangu aina ya BMW mara Ghafla ikakwama kwenye Tope. Ikabidi nishuke kuisukua Loh! Ile kuamka nakuta nimesukuma kitanda hadi sebuleni. Ni ndoto gani...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za mchana watu wangu wa nguvu..ni matumain yangu nyote mko salama na mnaendelea kuimalizia jumapili mwanana kabisa...🧚‍♀️🧚‍♀️ Maisha ni mafupi bhana waaaahiii..😅😅tujifurahishe tu hakuna...
21 Reactions
1K Replies
46K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…