JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kama ni mweusi, mshukuru Mungu kwakuwa mweusi, siyo mara ooh! Mimi ni maji ya kunde... Kunde zipi? Kama weupe wanavyojiamini na weupe wao, na wewe jiamini na weusi wako. Acha kujichubua, Mungu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nipo home toka juzi nakula sikukuu na wazee hapa. Sasa kama mnavyojua family za kiafrika.. Well mimi mzee wangu kawalea ndugu karib wa ukoo mzima..yaan mim toka nakua our house is full, ndugu...
20 Reactions
143 Replies
7K Views
Historia na maandiko yanasema kwamba Sodoma na Gomola ni miji iliyokuwa ina fanya mabalaa kibao, kinyaa kibao, ushenzi kibao... Yaani mpaka ikafikia miji hiyo kuangamizwa Ila nionavyo mimi..kwa...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Chiku yuko njiani kwenda Bongo na ameamua kufanya Transit stop Paris, Ufaransa. Amepokelewa Airport na Powersbongo. Powersbongo amefurahi kuonana na Chiku. Anampeleka Dinner, halafu wanaenda...
1 Reactions
2 Replies
816 Views
Ni aje wana jf sikia nimechoka leo mbaya mbovu hebu andikeni chochote kwenye comment hapo nijisomee comment zenu. Uzi tayari
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Hivi nyie wanawake kawaroga nani?.....na huu ndiyo mwanzo wa mwaka Tu sasa[emoji116]
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimekaa muda bila kuingia huku JF, Nauliza lile jukwaa LA Wakubwa liko wapi??
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Kiukweli tunawapongeza sana jirani zetu wa Mbeya akina Bujibuji kwa mafanikio makubwa waliyoyapata wiki hii. Mungu wa mbinguni awabariki sana!
0 Reactions
2 Replies
569 Views
Jamii forum kwa waliopo Mungu ametupenda na aendelee kutupenda mwisho wa mwaka ndio huo unakatika na sasa inabidi tuulizane kipi umefanya hadi ukikumbuka unafurahia . TUAMBIZANE
4 Reactions
43 Replies
2K Views
Tunga sentensi moja kwa kuanzia neno mwezi January .Usiwe na hasira lakini
2 Reactions
18 Replies
825 Views
Ha ha ha haaaaa! Jamaa 1 alikuwa amekaa zake sebuleni anasoma gazet, ghafla akapigwa kwa frampen uson na mkewe! JAMAA: VP tena darling kulikon? MKE: kwenye surual yako wakat najiandaa kuifua...
10 Reactions
12 Replies
2K Views
Maselaaa eeh eti tukisema ukweli kutoka moyoni demu mmoja anatosha!??? Kama ukijaaliwa kupata watoto mapacha utawaita majina gani?? Wewe kama kijana wa hovyo weka swali lako hapa mavijana...
1 Reactions
32 Replies
2K Views
Hivi Tanzania [emoji1241] nzima tukinyamaza kimya pasipo kupiga kelele, kwani hatuwezi kusikia kelele za Kenya [emoji1139]??
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Mkuu ,Kiranga nmekutana na hii mitandaoni huko Nikaona nikupenyezee hapaa Hawa vijana wana matani sana na nyie😅
6 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimekuwa mlevi Sana kila siku nakunywa pombe.ikitokeaga naumwa nameza dawa ndo nakuwa sinywi.nimeshauriwa niache pombe ila sikomi..Sasa nimefikiria nimeona nitafute ugonjwa wowote ambao utanifanya...
0 Reactions
66 Replies
6K Views
Jeff alikua mvuta bangi siku moja alichota maji ndoo mzima .Akavuta bangi baada ya kuvuta bangi akaamua kupiga mbizi ndani ya ndoo .Aliumia sana ikabidi amelazwa hospitali.Vijana nawaomba tuwache...
2 Reactions
3 Replies
660 Views
Hongereni sana wa mama wa zaman mlikuwa na mbinu sana mkitaka kupata haki yenu ya ndoa utasikia haya kachezeni baba anapumzika hataki kelele. Hapo sasa mdogo kama hataki kuondoka utasikia fulan...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
. Usiombe kukosa pesa, haya maisha unaweza ukajisahau jina.
9 Reactions
237 Replies
9K Views
Nakumbuka nilimtania Mwalimu wangu wa shule ya Msingi nikajificha nyuma ya fensi ya nyumbani kwetu Kumbe aliniona bwana. Kesho yake nafika shule tu akaanza na mimi. Nikala viboko. Wewe...
0 Reactions
7 Replies
884 Views
Back
Top Bottom