JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Dawa hii ni kiboko imesaidia wengi Inafanya Boss akupende na asikufikirie vibaya na kamwe hawezi kukufukuza kazi, kukushusha cheo wala kukuona vibaya. Dawa hii imesaidia hadi mawaziri wa...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa. Ni mwaka mwingine tena wa Bwana. Sifa na utukufu ni kwa Mungu muumba wa mbingu na nchi.
3 Reactions
37 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, natumai wote mpo salama kabisa, ila kwa mwenye matatizo Mungu awasaidie. Tukiwa tunaelekea kumaliza huu mwaka 2021 nimshukuru tu Mungu kwanza kufika mpaka hapa leo, maana bila...
9 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwa furaha ya kipekee niliyonayo siku ya leo waweza kuniuliza swalo lolote kunihusu na nitajibu kwa usahihi sana. Angalizo: Maswali yahusiane na hapa kwenye jamii forums, na yasiwe sensitive na...
0 Reactions
154 Replies
8K Views
Hello Nilizaliwa tarehe moja mwezi wa kwanza. Wish me brothers and sisters dk chache zijazo itakuwa ni kumbukumbu yangu ya kuzaliwa. Ningekuwa na mpenzi angenipost na caption ndefu yenye maneno...
1 Reactions
11 Replies
925 Views
Tuchukulie kampuni ya McHugh & Co ya London UK wamepewa deal na Bunge la Tanzania waiuze Tanzania yote.......wauze mkoa kwa mkoa hadi nchi yote iishe. Je wewe kama una hela ungenunua mkoa upi?
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Inakuwaje watu wangu wa nguvu Ssa wadau kwakuw wana-JamiiForums tumekuwa ni wenye kupeana msaada mbalimbal kimawazo na kivinginevyo, Leo mwanenu ndugu bwana Fene nimekuja kuchota maarifa ya...
2 Reactions
51 Replies
3K Views
Namshukuru sana MUNGU aliye juu kwa kunipa uzima na mpaka sasa hivi ninaandika. Bila yeye hakika nisingeweza ,naomba anitimizie zaidi ya yale niliyomuomba japo apangalo huwezi pinga. Nami...
5 Reactions
46 Replies
3K Views
Namshukuru MUNGU kwa kuendelea kunipa pumzi hii, kitu ambacho ni adimu kuliko vyote. Sifurahii umri kuongezeka maana siku za kuishi zinapungua bali umri unavyokwenda na uwezo wa kufikiri...
8 Reactions
33 Replies
1K Views
Hello Jamii forum, kheri ya Christmas na mwaka mpya,kazi iendelee Iko hivi katika pita pita zangu humu jamii forum kuna mengi unayakuta yenye kufurahisha,kuburudisha Nyuzi za kuelimisha na...
1 Reactions
1 Replies
918 Views
Joanah Depal Demi Dinazarde Mzigua90 Wangari Maathai mahondaw Shunie yna2 financial services lhera ledada rukia16 Baby Doll Rebeca 83 Paula Paul amu Carleen Makiseo Heaven Sent Hornet Karibuni keki
12 Reactions
79 Replies
4K Views
*🐰🐰 A Rabbit entered a shop and asked: "Do you have carrots?". They said, "no we don't have." The following day the rabbit came to the shop and asked again, "Do you have carrots?" They replied...
7 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa wale wapenda mambo yetu yale huwa una pendelea kutumia kinywaji gani uwapo maeneo ya burudani? Binafsi nikiwa viwanja napenda sana wine ya "saint Anna" ina nipa stata kwa uzuuuriii...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Tukiwa shule ya msingi watoto walikua wanabeba vinywaji wanaweka kwa dirisha .Ikifika wakati wa chai watoto wananywa vinywaji hivo. Kijana mmoja mtundu akaweka mkojo ndani ya chupa akawacha...
1 Reactions
6 Replies
758 Views
Amani ya bwana iwafikie popote ulipo, tumekuwa pamoja hapa jf toka 2016 mpaka Leo, ndugu yenu nimefanikiwa kupata jiko jipya sasa tuinuaneni kwa kunichangia kijiko, sahani, bakuli, sufuria ili...
16 Reactions
142 Replies
5K Views
Count your life by smiles, not tears. Count your age by friends, not years. Happy birthday!
17 Reactions
302 Replies
20K Views
Poleni na starehe za sikukuu. Hatimaye tunaingia mwaka mbaya kuanzia mabidiliko ya tabia ya nchi mpaka maisha ya mtu mmoja mmoja nyumbani. Sipendi kuidanganya nafsi yangu, na pia nawasihi hivyo...
1 Reactions
15 Replies
722 Views
Wanawake wafanye mazoezi and not otherwise, haya mavitambi hovyo kabisa, period!!!
5 Reactions
72 Replies
3K Views
Sasa, tunaishi nyakati ambazo, anayetenda dhambi anakuwa maarufu sana kuliko anayetenda haki. Yesu anarudi, nakuhurumia dunia, kama usipotubu na kuokoka, hutasalimika. Nakuhurumia sana!
3 Reactions
1 Replies
422 Views
Habari zenu wakuu, herini kwa sikukuu pendwa za mwisho wa mwaka. Tukiwa tunaelekea ukingoni mwa mwaka 2021 kwanza tumshukuru Mungu kwa zawadi ya huu mwaka na uhai hadi sasa tukiwa na imani ya...
8 Reactions
49 Replies
3K Views
Back
Top Bottom