JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna mtindo wa kuwapa majina watoto kwa kuanza na herufi zinazofanana ,je huu mtindo una faida au hasara au uzungu? Unakuta mzazi anawaita majina mtoto wa kwanza hadi wa mwisho herufi inayoanza...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari, Naomba msaada wenu. Kama wewe ni mzee wa zamani au miaka ya 90 na 2000 ulikua unaenda Disko (Ulikuwa ushapevuka wakati huo), basi naomba uniorodheshee nyimbo zile mlizokua mnazicheza hasa...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Salamu zenu wakuu, Niko kizani kwa takribani wiki sasa bila access ya JF, ni topic gani ilikuwa kali zaidi wiki hii katika jukwaa hili? Nimeingia hapa najiona mgeni vile, loh! miss neddy...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
What kind of a person do you think you are?
0 Reactions
14 Replies
533 Views
Sipati picha kwa vituko na maisha ya facebook. Facebook ina jamii kubwa ya asili tunayo majumbani, mitaani, mikoani na kila aina unayo fahamu wewe. Facebook ni watu wachache sana na mpaka walio...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Unaruhusiwa kuandika chochote ila yasizidi maneno matatu JPM KIONGOZI BORA Haya twende kazi
7 Reactions
946 Replies
58K Views
Najua tupo ambao huwa hatuchaguagi soda zote sisi tunakunywa tukikuta pepsi fureshi, tukikuta mirinda barida,ukituchukulia coka haikatai,ukituleta Kwenye Sprite mzuka tu,sisi soda yoyote...
0 Reactions
91 Replies
48K Views
Alikuwa ni rafiki yangu, akimhoji mchumba wake, Lahaula!, Rafiki, Eti bidada unapenda chakula na vinywaji gani ? Bidada akasema anapenda ugali dagaa na soda ya mirinda nyeusi. Dah! Rafiki...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Poleni na majukumu Naomba mniombee nipate mahusiano ya kunitenganisha na MUNGU tu nioombeni nipate MUME sikupenda kuwa single ila MUNGU anakusudio lake[emoji17],Maombi yenu plz
9 Reactions
72 Replies
4K Views
Wakuu salam, nilisikia kuwa kuna kisiwa bahari ya hindi ukitokea whitesands pale,ni sehem ambayo inasemekana ni nzuri sana kwa refreshment..mnisaidie wanabodi nijue nauli ya boti kwenda kule,je...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Unatakiwa kujua kua nchi hii ina waalimu kibao lakini waalimu ni wawili tu Mwalimu Nyerere na Mwalimu Kashasha hao wengine wavumilie Kuna captain kibao lakini captain nchi hii ni John Damiano...
0 Reactions
3 Replies
411 Views
Binafsi nilitamani kwenda sema kila nikipiga jicho naona madogo wanne wanadai ada january, ikabidi tu niwe mpole maana ukienda Moshi lazima ule ada ubakiwe na nauli tu Wale wenzangu na mimi hebu...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Picha ya pili ni Watanzania tunajifanya kuwa hatujamsikia Samia akidai kuwa amekopa concessional loan ya miaka 20 kwa ajili ya kujenga madarasa, wakati tulishaambiwa kuwa Tozo ni kwa ajili ya...
6 Reactions
0 Replies
1K Views
Msonjo amenunua gari kwa ajili ya biashara ya daladala, ameenda kuomba leseni ya usafirishaji abiria. Ikawa hivi:- Msonjo – wewe mama, mupe mimi laseni (leseni) ya gari. Afisa-Leseni (Nkyekuu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mdada mmoja mrembo sana alikuwa kapewa talaka na mumewe akahamia nyumba aliyokuwa kapanga DEVI. DEVI alipomuona mpangaji mpya roho yote ikamtoka. Akajitahidi kila njia kumuonyesha kuwa nae yupo na...
4 Reactions
2 Replies
2K Views
Jana na kimbelembele changu huyo nikaitiwa mbususu mzee nikajaa ,sasa huko niliko mpk sasa ngoma imekula bao kama kumi hivi na inadai. Mi kesho sijui km ntaamka .hapa natamani askari wa mianvuli...
1 Reactions
3 Replies
404 Views
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi: SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako… Boss...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina plan ya kwenda nzega kikazi this weeked Natokea dom Je n viwanja gan viko poa Bar Restaurant Live band pak?d
1 Reactions
4 Replies
707 Views
Niaje wadau wa JF Niko na mdau mmoja hapa anadai binadamu tuna sura za aina mbili, sura ya mbwa au sura ya paka. Sura ya mbwa anamanisha ni kwa wale wenye sura ndefu hivi. Sura ya paka...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari! Usioe mwanamke wa namna hii; 1. Anayevaa mawigi 2. Anayeweka kucha za bandia 3. Anayeweka kope za bandia 4. Anayevaa shanga kiunoni 5. Ana smart phone na hana kazi 6. Ana ghetto na hana...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Back
Top Bottom