JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Sijawahi kufika moshi huwa napita tu kwenda Arusha ila Leo nashuka moshi nakaa kwa siku Tatu naombeni wenyeji mnipe viwanja vitamu vya kwenda kuinjoy. Ninaposema sehemu za starehe nadhani...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Mambo yanazidi kuwa mambo.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Basi mwalimu Edward alipomaliza kuandika maswali, akakaa sehemu yake kisha akawa anasubiri mwanafunzi aliye maliza apeleke daftari ili amsahishie. Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau wa kula bata kesho ni kiwanja gani kitanoga kwa kwenda kula bata?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Watoto baada ya kumaliza michezo yao, kila mtoto anachukua kilicho chake na kwenda kwao. Anabaki mtoto mmoja akilia kwa majonzi, ikabidi aulizwe na majibu yalikuwa hivi (nimeibiwa viatu vyangu)...
1 Reactions
1 Replies
977 Views
asi mwalimu Edward alipomaliza kuandika maswali, akakaa sehemu yake kisha akawa anasubiri mwanafunzi aliye maliza apeleke daftari ili amsahishie. Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida akashangaa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hello guys, good morning! Ukosefu wa nguvu za kiume na ukosefu wa fedha vyote ni tatizo. Je, yupi ni mchawi mbaya zaidi kati ya anayekuroga usipate pesa na anayekuroga jogoo asisimame?
1 Reactions
28 Replies
1K Views
Habari za December Hii ndugu zangu natumaini nyote wazima wa afya kbsà.Nawatakia Heri ya xmass kwa ndugu jamaa na marafiki hasa wale wakazi wa kaskazini Kwa wale wanao safiri kurudi makwao Mungu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwasisi ambao xmas hii hatuna michongo 2po2po bia hatunywi viwanja ha2endi tujuane labda tutaokota madini kwa ambao washapanga timetable yao mtupe mawazo kidogo.
1 Reactions
9 Replies
477 Views
Mwenzenu kuna mdada nilimpenda, siwezi kusema na yeye alinipenda. Nimekula uroda mara moja tu lakini amekula sana hela zangu. Najua ana watoto 2 wa baba tofauti, nimeamua kuwa mbali kabisa...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Top 10 African countries with most beautiful women. 1.Ethiopia[emoji1098] 2.Eritrea[emoji1096] 3.Somalia[emoji1220] 4.Mali[emoji1159] 5.Rwanda[emoji1206] 6.Ghana[emoji1110] 7.South...
4 Reactions
32 Replies
6K Views
Siku moja nilielekea Dar es Salaam, nilipofika kituo cha basi wakati huo ni Ubungo Bus Terminal akatokea kijana Msamaria mwema kabisa akaniomba Begi langu Anisaidie na mimi nikampatia. Ila kwa...
12 Reactions
49 Replies
8K Views
Habari zenu jamani. Natumaini nyote mko salama kabisa. Mimi niko poa kabisa😊😊 Turudi kwenye mada. Hivi mnajua michezo ya zamani ilikuwa inahimarisha akili na ubongo kwa kuwa mwili unakuwa...
8 Reactions
16 Replies
2K Views
Leo naanza safari ya Km 1170...DSM to Simiyu. Saa 9:18 am .....nikipita morogoro.
3 Reactions
13 Replies
602 Views
Mwakani jamani sifanyi mchezo. Nikipata tu naanza kusave kidogo kidogo, sitaki mchezo tena.
2 Reactions
4 Replies
424 Views
Nawasabahi watanzania wenzangu Karibuni Narok Masai Mara Kenya Ni hayo tu kwa leo
3 Reactions
11 Replies
681 Views
Mimi Ni ME, hakuna KE humu anayechukizwa na bikra ya kitanda changu ili tufanye mpango WA kukibikiri?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
'Kaka, elewa kwamba ni zamu yako uwe na yule mwanamke, kesho ni zamu ya mwingine!'
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Niko namtazama anko Philip hapa aisee huyu jamaa hachoshi kumsikiliza. Akiimba wimbo hutamani amalize...Ni video ya live performance show yenye masaa 2+ aliyoifanya mwaka 2003 Uganda Salute kwake...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom