JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Binafsi naamini kila mmoja ana sababu yake iliyomfanya kujiita hilo jina anatumia hapa JF. Sio mbaya ukitufungulia password za jina lako. Kuna wengine IDs zao zimebeba historia au tukio fulani...
21 Reactions
92 Replies
5K Views
Ninavyo mfahamu Msukuma hufanya yafuatayo; 1- Hapendi makuu ukimchokoza anasema Kaya ya Ng'wobha nayo Kaya ili siku ipite salama. 2- Hapendi Kesi, ukimdhurumu anasema Maguzu Masese ili asipoteze...
17 Reactions
101 Replies
13K Views
Baada ya Mwamedi kuwauza wachezaji muhimu wa Timu yetu na kurudisha pesa yake ameamua kujiuzulu. Tunataka bilioni ishirini yetu mwamedi acha uswahili.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Kila kitu kina siku yake, kwa uchache: Siku ya wanawake Siku ya wakina Mama Siku ya wanaume Kuna Siku ya wanaotumia mkono wa kushoto Siku ya wanaovaa miwani Siku ya wenye vitambi Siku ya wenye...
0 Reactions
8 Replies
694 Views
Hii siku hiii! Hata sijui imewekewa nini. Yaani mambo hayaendi kabisa. Hii ndio siku ambayo naingiza pesa ndogo kuliko siku nyingine ndani ya wiki kwenye biashara yangu. Sijajua kama hii ni kwa...
1 Reactions
3 Replies
545 Views
Kuna makosa hutokea katika maisha na makosa mengine wahusika huwa hawajui kuwa wamefanya Mojawapo ya makosa hayo ni jinsia tofauti kuungwa kwenye group la jinsia tofauti wakidhani wako peke yao...
12 Reactions
97 Replies
11K Views
Duniani hakuishi vituko Japani watu wanalipwa madola kibao kwa kufanya mtu alie machozi kuondoa stress wanaamini mtu akilia stress zinaondoka.Wasanii Muwezao kuliza watu mpo? Asipolia hulipwi...
0 Reactions
1 Replies
843 Views
Habari wakuu! Huu ni uzi wa vichwa vikali vya habari kuanzia mwaka wa 100 kuanzia leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji41][emoji41] Usipite bure, weka kichwa cha habari unachoona kitatokea kwa...
14 Reactions
161 Replies
12K Views
http://youtube.com/watch?v=WV5wmSTWAo0
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwaka 2009 nilikua nasafiri kwenye daladala inayotoka Makumbusho kuelekea Mbagala. Mimi nilipanda hiyo daladala kwenye kituo cha Magomeni. Nilipopanda nilikuta daladala limejaa sana. Basi "Konda"...
0 Reactions
4 Replies
782 Views
Kubali ukatae asilimia 90 ya sisi members wa jf ni stressed people hebu ona. Magret thinkers tunapoangukia ilinujue tuko stressed. 1. Wengi tuna kazi Bora. (Kazi huleta stress) 2.wengi tuna...
15 Reactions
65 Replies
4K Views
We mtu embu log on usome message zako. Sorry mods huyu mtu namtafuta siku ya tatu sikuona namna nyingine ya kumtafuta.
1 Reactions
3 Replies
339 Views
Kuna member humu ndani wao ni kuleta taarifa tu na mupotea yaani hawanaga muda wa kukihusisha kwenye comments hata kama kuna hoja inawahusu, pia nje ya kuleta taarifa hawajawahi anzisha au...
0 Reactions
4 Replies
469 Views
Tunaposema fulani ni chizi au mwendawazimu tunamaanisha kuwa hatumii ipasavyo akili zake. Kila mtu ana akili isipokuwa maiti ila utofauti unakuja kwenye matumizi ya akili. Zifuatazo ni dalili za...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Natafuta ndoo za chuma zile za kizamani. Nitapata wapi kwa DSM?
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari zenu MMU? Natumaini mko poa kabisa na afya njema. Husika na kichwa cha habari hapo juu, Mimi ni kijana wa kitazania ambae nina umri wa miaka 24. Yaani toka nizaliwe sijawahi kufanya...
0 Reactions
138 Replies
19K Views
Naupenda mkoa wangu, nalipenda kabila langu wale wenyeji na majirani zangu wa lindi karibuni tujuane jamani Muchidachi nkati amu muniimuka
4 Reactions
11 Replies
809 Views
Kuna ID mpya inajiita Dodoma Demand yupo Kama mwehu sijui shida Ni kwamba hajui kiswahili au anatafuta Nini anachafua Hali ya hewa kwenye jukwaa la siasa kiufupi haeleweki naomba mods wafanye...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Ni vema kutambuana na kukumbushana mambo ya zamani kama kishoka,beto nk. andika mwaka uliomaliza huenda ukapata mliyesoma naye. angalizo:kama thread hii imerujirudia naomba msamaha kabisa kwani si...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naona account mpya ya Hizbu Sharifu imekuja kwa kasi tofauti na Mshana Jr huyu Hizbu anafunza watu kumbana na uchawi wakati Mshana JR alikuwa na mastory ya kutisha. Kuna haja ya kufungua jukwaa...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…