JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu salaam, Nimejikuta nawaza laiti mahusiano tuliyonayo sasa au yalopita yangekua kitabu tungeyapa tittle gani? Kwa upande wangu ningeyapa tittle zifuatazo Yalopita: BOMU LA MACHOZI Yasasa...
2 Reactions
13 Replies
873 Views
Waa na jamii leo naleta mada ambayo ni kero yangu na nina imani wapo wengine. Ni kuhusu polisi na vyombo vya moto vya raia, gari na pikipiki. Inapotokea umepata ajali au tatizo mfano umegonga na...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Waswahili wanasema Fuja Mali Kufa Kwaja, Kama kawaida Santana leo nimetua Babati Manyara, Nasikia Huku Kuna totoz za Laana. Wazoefu nitonyeni Chimbo za Starehe zenye watoto safi wa Kimbulu. Ova!
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Habarini wakuu? Kwa wenye ujuzi wa tafsiri za ndoto naomba tafsiri ya ndoto hii; Ukiota uko bar eneo la kaunta unapiga kinywaji, kampani yako ni mwanamke wa kaunta. Hii tafsiri yake nini? Au...
1 Reactions
7 Replies
648 Views
Vijana tusitafute maisha Bali tuyaishi maisha Tusitafute vyeo tuache vyeo vitutafute Tusitumikie pesa tuache pesa itutumikie. Tusimiliki pesa Bali tumiliki vanzo vya sisi kupata pesa Pesa Ni...
7 Reactions
15 Replies
1K Views
1.Jeff 2.Matt 3.calvin 4.Alvin 5.Sydney 6.cliff 7.James or Jimmy 8.Brian 9.Dan 10.Erick
6 Reactions
73 Replies
6K Views
Hivi kwa nini wanawake asilimia kubwa wafupi wanapenda kuolewa na wanaume warefu?
6 Reactions
344 Replies
25K Views
Kuna vitu sielewi unalitoa lidada out unalipa bata full mahenessy manyama choma, mnaenda zenu kulala linakusachi. [emoji57][emoji57]
10 Reactions
66 Replies
3K Views
Habari wadau. Siku yako ya kwanza kufika mjini ilikuwaje ,weka comment tuone jinsi kila mtu alikuwa anapaonaje hapo mjini kwake alipofika.
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Nawasalimu wana JF! Jiji la Dar kwasasa lina majengo mengi marefu, yenye kuvutia sana pia kufanya Jiji kuwa na muonekano mzuri. Miaka ya nyuma kidogo jengo la MAFUTA HOUSE (BENJAMIN...
1 Reactions
90 Replies
54K Views
Naomba tuelezane kuhusu vijiwe hivi, Nimeshiriki vijiwe vya kahawa lakini nimeambulia kusikiliza majungu,kusemana ,na watu walikuwepo wote ni walonzi na mada zao, wabishi na kujitenga na wenye...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Dharau haziwezi kukufikisha mbali, matokeo yake utadharauliwa na kutopata msaada wowote. Ili ufankiwe unawahitaji watu na Mungu huwatumia watu wewe uende kwenye kesho yako. Goodmorning.
3 Reactions
7 Replies
1K Views
KARIBU MUSOMA MJI WENYE UTAJIRI WA MAJUNGU !!! Mji Wenye Wivu Mji Wenye Baraka Ya Uongo Kijiji Chenye Kiu Ya Umbea Kijiji Cha Unafiki! Ukipata Freemason Ukifulia Wanakucheka Ukiwaomba Hawakujui...
8 Reactions
115 Replies
12K Views
Mke: Kwa jirani kuna nini? Mume: Kutakua na birthday Mke: Ya nani? Mume: Itakua ya Tuyu Mke:Tuyu ndio nani? Mume: Sijui ndio nani nimesikia wanaimba "happy birthday TUYU"
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Muhali gani mabibi na mababu kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji marafiki wa kuchat nao jinsia yoyote tuwe tunabadilishana mawazo mbalimbali kama kiuchumi, kijamii, kielimu,na kiroho...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tukio siyo halisi. Mtanzania mkazi wa Kijiji cha Kowak (a.k.a Home of Intellectuals) Wilayani Rorya Mzee Sebastian Obaso Ogutu (70) amedakwa na Polisi Migori–Suna County Kenya kwa kosa la...
1 Reactions
10 Replies
904 Views
Rajesh Ajay Baghwanji amekuja toka Punjab India kuja kusimamia shamba la mikonge Tanga. Alipofika alikuta viranja wa vibarua toka Songea ambao ni Hyera, Mapunda na Komba. Kufuatia ugumu wa majina...
0 Reactions
0 Replies
478 Views
Hakuna wanaume watoaji mapesa na wapenda sifa kama wanazo kama wa humu JF. Ukilia kidogo tu mapesa ntawataja kwa majina hapa tukianza na babu yetu mzee mwenye utoaji wa hali ya juu Asprin na mzee...
3 Reactions
102 Replies
6K Views
Samahani wakuu kwa kuwasumbua naomba nijuzwe kwanini askari wanapendelea kunyoa style ya kupunguza nywele pembeni na kuziacha kwa juu kidogo?
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Salamu sana wana CC wote. Leo nimekuja na ujumbe maalum kwa shangazi yangu miss chagga; Nasikia uko kwenye pilikapilika za kufunga pingu za maisha; Je, blanketi la shangazi ni nani kachukua?
4 Reactions
50 Replies
4K Views
Back
Top Bottom