JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimemuona mchawi namjua Ingekuwa ww ungemfata asubuhi !?
0 Reactions
3 Replies
486 Views
Maisha ya wanachuo huwa yana Maigizo Mengi hasa kwa Dada zetu, leo nakumbuka tukio Moja la Mwaka 2010 Pale Hosteli za Mabibo za Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Block D Nikiwa Pale Hostel ya udsm...
6 Reactions
52 Replies
10K Views
Kwa waliokuwa majirani zake enzi hizo hawatashangaa sana maana hata yule mke wa mwingine kipindi hicho jamaa akiwa choka mbaya sana alikuwa anamvurumishia makonde na matusi mazitomazito juu yake...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
NANI JEMBE; Nyumbani kwa mlevi, kwa nje kuna kisima kirefu Siku moja Mume alirudi usiku amelewa top, Mambo yakawa hivi: MME: Fungua mlango MKE: Leo sifungui Nimechoshwa na ulevi wako MME: Kama...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa wale wenye usafiri mtupe mbinu, je mlianza anzaje kumiliki chombo chako cha usafiri? Siku ya kwanza kumiliki ulijisikiaje?
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Yaan naumia sana kwa sisi wavulana/wanaume kuona wadada zetu hawawezi kujitegemea mpaka now tuna wadharirisha mitandaoni 😭 ili sio vizur na aileti picha nzuri katika jamii serious. Please tuache...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Hbr ndugu zanguni wana JF? Leo Nilikuwa nimekaa Sehemu fulani Hivi town,nikamsikia mama mmoja ni hawa wafanya biashara ndogo ndogo za kutembeza, akisemesha kuwa amebanwa sana na haja, na...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Vijana wengi ndani ya da'slam hujiita watoto wa mjini na wengi ukikutana nao popote pale wao hua ni Kama wameshamaliza Kila kitu kwenye haya maisha. Na ndani ya vichwa vyao bongo zao zimebeba vitu...
8 Reactions
34 Replies
6K Views
Natambua uwepo wa mabaharia wote mliosoma Kiswahili na Language kwa upande wa Olevel Wale wa HGK, HKL, KLF, HGL Elimu ilitulazimu kusoma baadhi ya vitabu, binafsi nilisoma kitabu kinaitwa "BARUA...
3 Reactions
39 Replies
4K Views
Unatongoza unaparangana hadi unakubaliwa. Ila mahusiano hayaendelei mbele shida nini hapa? Je hua mnaongea nini na mademu zenu baada ya kukubaliwa??
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Ukiwa Una pesa Wala michongo ya pesa, ukivaa kandambili/ndala lazima sikukatikie katikati ya mji hili mradi tu uteseke😥
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Kama ndo wewe ulipoteza fahamu ukapelekwa ICU mwezi February.. Ukafanikiwa kutoka na kupona mwezi wa nane...yaani miezi sita ulikuwa hujui Nini kinaendelea nchi hii.. Ghafla unatazama TV ..Rais ni...
25 Reactions
30 Replies
2K Views
Nimekuwa na hulka ya kupenda kumpikia mpenzi/girlfriend. Japo kwa sasa sina ila nikiwa naye huwa namwacha akae halafu mimi napika yeye ale tu.
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, hivi zile simu za zamani bado zipo madukani kweli? kama zipo kwa dar zipo maeneo gani? na pia bado wanazalisha au ndio viwanda vimekufa kabisa? kama kuna mtu anafahamu...
1 Reactions
0 Replies
683 Views
Nimeupenda sana huu msemo wa Ali Kamwe. Kamsemo kana ukweli eeeh!
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Palikuwa na mtu mmoja kichaa katika kijiji fulani. Basi huyo mtu likuwa akipita na kelele sana kila siku akipiga kelele alikuwa anasema maneno haya "Ukitenda mema unajitendea mwenyewe na ukitenda...
8 Reactions
19 Replies
4K Views
Habariza weekend wakuu, Natumaini mko poa kabisa. Wazo langu japo ni la kibwege, Ni kwamba mnaonaje wakuu kama tukianzisha channel (hall) ya JF kule Clubhouse?? Najua dhima kuu ya If Ni kumaintain...
1 Reactions
2 Replies
500 Views
Viongozi tukemee huu ujinga unaoendelea Kambini Morocco. Ni aibu watu wazima kugombea mkorogo. Iwe ni kweli aliiba au kasingiziwa but sidhani kama ni jambo la busara. Kambini si sehemu ya kwenda...
10 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanajamvi! Hivi umewahi ku-experience kulia kisa tu mkeo amekusema kuhusu kitu fulani? Au amekukanya kama mama amkanyavyo mtoto wake? Tuelezane ilikuwaje?
1 Reactions
49 Replies
3K Views
Wakuu Ukweli lazima usemwe, Jamii forum ipo kwaajili ya wanaDaslam, watu wa mikoani wako bize na facebook Wamikoani wachache waliobahatika kusoma elimu ya vyuo vikuu na wale waliowahi kufika na...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Back
Top Bottom