JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Good morning fellas, long time no see Jana majira ya saa kumi nimeenda Bar fulani ambayo ni hot sana mtaani kwangu, nilikuwa na miadi ya kukutana na jamaa yangu ambaye alikuwa semina so nikawa...
21 Reactions
92 Replies
5K Views
Jamani nimekuwa niko nyuma sana na inaniuma sana ninapokuwa club na kwny sherehe halafu washikaji rika langu wanacheza vizuri wakati mimi najifaragua tu.. Sasa nimechoka kuwa left out na kufeel...
0 Reactions
43 Replies
10K Views
You really are too good to be true.My life wouldn't be the same without you,so here's to you!To your brilliance,your kindness,your strength,and your everlasting charm....I LOVE YOU SO MUCH mi amor...
10 Reactions
72 Replies
3K Views
JF Napenda kuwakumbusha wanaume wenzangu kama mimi, hakuna kitu kinakaba koo kama mwanamke wako kugongwa na wanaume wengine. Ukiona mwanamke anamiongoni mwa tabia hizi huyo ni cha wote, wachana...
4 Reactions
34 Replies
5K Views
Lastborn wana raha utasikia mwacheni mtoto. Hata akila mkate mzima wengine mkose hata hafokewi sasa kula wewe ambae wa pili kuzaliwa utaona cha mkutema kuni [emoji2][emoji2]
43 Reactions
346 Replies
22K Views
No. 14: Kipanga WA darasa No. 15: Kilaza WA darasa. No. 16: Mchafu WA darasa No.17: Jamaa anae piga darasa Zima. Na. 18: Ronaldo wa Darasa. No. 19: Msanii wa darasa No. 20: mvuta bangi WA...
0 Reactions
33 Replies
2K Views
Ukweli ni kwamba mkiachana. Sio kwamba mmeachana. Ni kama mme pumzishana Sasa akitokea ni mwanamke ameringa kabisa Cha kufanya 1. FUTA namba yake ya What's App asione Picha zako 2. Kama...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mimi si mbea kiasi hicho kama warumi (Mungu amtangulie) ila mimi ni kidogo sana. Mwanzo nilikuwa nimezoea kuona mdau wetu mstaarabu kuwahi kutokea humu ndani aitwaye Smart911 akiwa anamtaja mwana...
25 Reactions
507 Replies
28K Views
Wakuu salam, Naomba kufahamishwa ni sehemu gani sahihi kukutana na mpenzi wako kwa mara ya kwanza? Ambayo wote mtakuwa comfortable na kuji feel secure? Je, ni bar? Mgahawani? Nyumbani kwa...
2 Reactions
52 Replies
6K Views
Jumapili ndio narudi zangu Dar nliwamisi sana washakaji wangu wa Dar, tukutane mnadani Kibamba Chama. Kwa sasa bado nipo Dodoma hapa Rainbow soon ntakua Bambalaga tupe location Upo wapi saivi...
5 Reactions
140 Replies
8K Views
Nyanja: Mahusiano (tukio siyo halisi) Mjaluo Mwl. James Okulo NyakwarChanga wa Kowak (a.k.a Home of Intellectuals) Rorya na Mhaya Rugumamu Ruguyamheto Rutabanzibwa wa Rubya wanalewa kwenye...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
1. Usiingilie wala kuamulia ugomvi wa watu hasa wa mwanaume na mwanamke. 2. Usiingilie na kucomment mazungumzo ya watu usiowajua. 3. Usiwe unatoatoa ofa hovyo. siku ukipigika utaona aibu kwenda...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Je, wewe mdau wa JF upo kundi gani? Bata: Kujivutavuta, hufanya kazi polepole na kuendekeza uvivu mpaka mambo ya kikundi yanazorota au kufa kabisa. Bundi: Mtu anayefikiria ana akili kuliko wote...
1 Reactions
0 Replies
572 Views
Je ni baa gani zenye mademu wazuri ambao unaweza kuondoka nao wakati wowote mradi makubaliano? Ka vipi naoa kabisa
1 Reactions
174 Replies
49K Views
Jaji: wakili upande wa utetezi mpo tayari kuhoji? Kibatala : nipo tayari Jaji.. Wakili kibatala anaanza kuhoji. Kibatala: shahidi umekula? Shahidi: sijala Jaji: embu mpeni shahidi chapati na...
3 Reactions
4 Replies
779 Views
HOME | WHAT IS GPS? | GPS DEVICES | COMPANY BENEFITS GSM mobile phone tracking system...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu Leo Club yetu pendwa (Temu ya wananchi) Dar es salaam Young African itashuka dimbani kuchuana na Rivers United. Lolote linaweza kutokea wakati wowote. Yanga ipo na inaua...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wanaJamiiForums. Poleni na majukumu na hongereni pia kwa utaftaji. Mungu azidi kuwabariki. Lengo la Uzi huu ni kumtakia tu yeyote umpendaye usiku mwema Cha kufanya, tag yeyote umpendaye...
5 Reactions
305 Replies
16K Views
Salamu wakuu! Sio kila siku maisha magumu. Leo nipo hapa kurahisisha maisha ya watu, japo kwa kiasi kidogo cha vocha au bucket ya bia. Jitokeze, jishindie, furahia wikendi. Vigezo na masharti...
3 Reactions
173 Replies
7K Views
Habari za muda huu Wana Jf! Dunia hii imejawa na changamoto mbalimbali lakini leo tuongee kuhusu kusingiziwa Mambo ya aibu. Karibu tushee uzoefu huo na jinsi gani uli-recover. Binafsi mwaka...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom