JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mimi aliniomba 100K aongeze kwenye kodi wakati me mwenyewe kodi jau enzi za chuo hizo nikamwambia asubiri nipate boom. Akasema mwanaume wa kutegemea boom nae mwanaume...
10 Reactions
85 Replies
7K Views
Kuna huyu Dogo ambaye ukimwekea Noti ya shilingi elfu kumi na Sarafu ya shilingi mia tano yeye anachagua ile sarafu ya mia tano anaacha ile noti ya elfu kumi. Dogo aliwashangaza watu wengi na...
9 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini za jumapili, hii miziki naisikiaga tu kwenye maklabu nikapendezewa na midundo yake. sasa jana usiku nikaingia yutyub na kuandika amapiano nikakonnect blue tuth na hii home theater yangu...
7 Reactions
36 Replies
38K Views
:):)
1 Reactions
1 Replies
602 Views
Profesa alipo ingia darasani alianza na mada nzito sana. Wakati alipogeukia ubaoni, mmoja wa wanafunzi alipiga filimbi. Aligeuka, akatazama darasa na akauliza jina la aliepiga filimbi. Hakuna...
10 Reactions
12 Replies
3K Views
Kulikuwa na mkulima wa matikiti ambaye alisumbuliwa sana na watoto waliokuwa wakivizia na kuiba matiikiti yake. Siku moja akapata wazo zuri la kuwatisha wale watoto wasimuibie, aliandika bango...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Simu gan nzuri smartphone simu janja inatunza chaji vizuri
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Kuna hii tabia ya rafiki au mpenzi,anakuja kukutembelea nyumbani/geto kwako,kisha kuanza kutamani vitu vyako hii imekaaje? Utasikia mara jiko lako zuri, kampuni gani hili,au mara hii tv...
0 Reactions
4 Replies
536 Views
Wewe unayesoma uzi huu mwezi huu unakwenda kushikwa na sms za mapenzi na mke, mume au mpenzi wako. Ehehehehe Utanikumbuka
1 Reactions
2 Replies
422 Views
Mimi naanza.. babalevo namzidi akiyanani
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyojieleza, binafsi naanzia mikononi wewe vipi?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hii kitu usiombe! Tumeumbwa na wivu wa asili, japo sio uchawi ila inapotokea unaanza kuombea mabaya wenzako. Huu unabaki kuwa ukweli mchungu unaotibu kwa kuchoma roho yako...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Nakumbuka Disemba 2017 wife alinifumania lodge fulani (Sinza Palestina) aisee. Nilipaniki na kuona noma kwa wakati mmoja. Alijaza shazi (watu) balaa. NB: Wife anaongea balaa mimi kimyaaa...
12 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari Nipo Mbeya nahitaji muongozo kwa yeyote anaefahamu wapi naweza pata dawa za kimasai
1 Reactions
0 Replies
620 Views
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Umemaliza kupiga zako nyeto vizuri tu, ghafla unamskia mamaako dirishani "Na usishike vyombo vyangu na hiyo mikono yako nakwambia" 😅😅😅🙌
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Waziri Dorothy Gwajima amesilimu na kubadili jina na kuitwa Aisha.
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Mgeni amekuja kukutembelea (siku 3 ) yeye na mpenzi wake.Je wana haki ya kujamiiana hapo kwako au mpaka warudi kwao?
0 Reactions
5 Replies
983 Views
Wana Jamvi nahope mko poa. Hivi hawa itel wanawachukuliaje wateja wao. Aisee nimeletewa itel mpya na mtu nimsetie aanze kuitumia, ile kila kitu tayari akaweka memory card a play music, ebana simu...
1 Reactions
3 Replies
583 Views
NDUGU WATANZANIA NOMAAAA SANAA Picha lenyewe linaanza mi nipo zangu natembea kuelekea kituoni. Hii barabara nayotembea ni ya changalawe na kando yake kuna wigo wa block mrefu sana kwenda juu na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…