JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Haya ni ya kweli? 1. Sio wanaume wote wanaopenda michepuko 2. Sio wanawake wote wana mwanaume zaidi ya mmoja 3. Kuna wanawake hawana Boyfriend kabisa 4. Kuna wanaume hawana muda kabisa na...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Inakuwaje wanajf, home of great thinkers. Moja kwa moja katika mada. Wadau sometimez huwa nikichili yananijiaga mawazo ya ajabu sana. Sometimez huwa nawaonea gere sana ndege na yananijia mawazo...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Mada juu yajieleza. Tukutane hapa kwa updates zaidi. Mimi nitaangalia salio kila baada ya dakika 30, ikitiki tawajuza, ila huko nmb wakiwahi mtujuze pia.
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari JF -Mpaka utakapooa ama kuolewa, vinginevyo ni bado upo SINGLE ! 1. Tumechumbiana kwa kuvalishana pete [emoji849][emoji57](wewe ni single tu). 2. Ninaishi nae nyumba moja...
6 Reactions
19 Replies
36K Views
Hivi unawezaje kutambua pombe Aina ya spirit nzuri kuliko zingine?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
{1}Mtu anakukuta unafyatua matofali,anakuuliza;naona unafyatua matofali au vipi?,unamjibu;[hapana,ninaoka mikate!] {2}Mtu anakukuta unavuta sigara,anakuuliza;na wewe unavuta...
16 Reactions
183 Replies
37K Views
Kisa / Moments Nzuri ambayo huwezi kusahau Maisha yako yote #Share na Wana
1 Reactions
10 Replies
806 Views
Wakuu hii imekaaje? Unakutana na dem mnaongea vzur tu mnabadilishana mawasiliano..baada ya muda unaanza kurusha nyavu ( tongozo) mtoto anaona msg watsap na anasoma (blue tick) ila hajibu chochote...
0 Reactions
16 Replies
742 Views
.
4 Reactions
13 Replies
688 Views
Salam sana wana cc wote, Nimekumbuka wimbo wa ...pepe kale... R.I.P unaoitwa ...Shikamoo (Hidaya)...... kuna mahali alisema... Nimepoteza mupenzi wangu kule Tanzania ....... Nimepoteza mkanda wa...
13 Reactions
278 Replies
19K Views
Demiss upo uko wapi?? Mie mzima wa afya njema nimekumiss huku jukwaani huonekani. Kimya ? Au umeolewa?? Tujuzane tukuletee zawadi ya heri. I miss u my dear friend huku tulikuwa tunasaidiana sana...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari, Mara nyingi watu hujifunza na kupata some exposure kutoka kwa mtu fulani na hasahasa mara nyingi watu huvutiwa na mengi kutoka kwa members wa JF, inaweza ikawa sio character halisi ya...
2 Reactions
99 Replies
6K Views
Tupia hapa nasi tuongeze siku kwa kucheka
4 Reactions
492 Replies
54K Views
Hamna kitu inaumaa unarudu kwa Mangi unakutana najamaa wanahadithiana yaaanai leoo nimela.baa sitaa za bk miatan Mwingine Za buku Nimemimina kumi aisee mwenye ukweli hasa wale wa tbvu tujuzanee...
0 Reactions
3 Replies
414 Views
Lengo Ni ili umpate jirani wako mjadili matatizo ya maeneo ya kwenu au kujuzana machimbo au matukio na maafa ya huko kwenu. Naanza Mimi kwa sasa naishi mtaa wa mwenge mkoani singida. Karibuni msiogope
0 Reactions
25 Replies
1K Views
Hata kabla Mwigulu Nchemba hajaachia ngazi Wizara ya Fedha, huko Mbeya , Mafiati Mwanjelwa tayari kuna jamaa kmwita mtoto wake mchanga jina la Mwamala Mwatozo. Nyie watani zangu mna mambo!
2 Reactions
5 Replies
997 Views
Eti uanze kuwawaza wanasiasa asee ndugu yangu utachelewa bure Hapa tuna tafuta Mia Mia tule Sasa wewe jifanye uko serious uone kama utatusua.. hapa Ni kupaa tu na kudana Kama nako hunywi pombe...
0 Reactions
3 Replies
460 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…