Hivi ni kwly?
Inasemekana wadada wanatabia tofauti katika mapenzi kulingana maumbo ya miili yao
(1): WASICHANA wafupi wanaongoza kwa WIVU wa MAPENZI na kuwajali wapenzi wao''
(2):WASICHANA...
Habari wakuu nawasalimia kwa jina la jamhuri😂😂😂😂
Sasa bhana iko hivi katika dunia ya sasa kuna sehemu naona kuna tofauti fulani ambayo na ngumu kuikuta mahali pengine tofauti na humu jamvini...
Utafiti wangu usio rasmi nimekuja gundua kwa miaka inavyozidi kwenda watanzania wamekuwa watu wa kughadhibika sana. Jambo dogo tu hata lisilohitaji kutumia hasira mtu anaweza kukuwakia ukikaa...
Ukimuona bodaboda amening'iniza kamguu pembeni na visendo Halafu amekalia tako moja usipande!!
Halafu anakuwa amevaa kipensi cha jeans , tunywele amesuka rasta huku bodaboda inapiga mziki wa...
Si niwe tu mtu wa MUNGU serious niwe naongea mambo ya MUNGU ili niombe neema nipate uwezo wa kutoa maono Kisha nyie member muwe mnakuja mnanitembelea kuja kunisikiliza maarifa ya Siri au nikija...
Habari.
Binafsi mdada akivaa wigi namshusha viwango. Sometimes nafika mbali, namuona kama mtu asiyejiamini, asiyejielewa na mwenye tatizo.
Vitu artificial viko vingi ila kwa mawigi hapo mmezidi.
Wakuuu baada ya mishe mishe tukiwa tumejipoza Jf tujaribu kutaniana kidogo.
Utani Unaweza kua wa;
Mtu na mtu, kabila, kanda, dini, Rangi, Kimo na hata elimu.
Ila kuchukia haitakiwi.
Kijana Ukisikia hii kauli toka nduki. Mzinga ndo unafuata....kina Dada mmezidi asee. Fanyeni kazi, "supa wuman" Ni pamoja na kufanya kazi halali sio huu uharamia mnaofanya sasa. Full mizinga...
Mbona kuwa tajiri Ni kazi rahisi sana yaani Tanzania nzima nashindwa nini kuwaomba Wananchi laki moja tu kwa wastani kila mkoa niombe watu 3000.
Wengine unawafanyia kazi ndogo wakikupa tu hela...
Kama wewe ni muumini wa minyanduano na mzururaji mzuri katika lodge na guest house mbalimbali ndani ya Tanzania kama nilivyokua mim tokea miaka ya 2000 mwanzoni mpaka Sasa sidhani Kama kuna...
A brand new year gifted to you by God,
Packed with lots of love & sent to you from heaven above.
All the angels of heaven sing the birthday song,
For today is the day, when on earth, a star was...
Salam wakuu,
Hivi mnawakumbuka hawa jamaa? Hawakuna watu walikua wanajifanya wajuaji muda wa msosi shuleni kama mafud memba. Yaan hata kama darasani hamna kitu ila ukifika muda wa tea au msosi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.