JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Weekend iliyopita nilikuwa bar moja ukipita Dar live upande wa kushoto. Saa moja usiku nipo counter, kaja dada mmoja ile kumuangalia tu kosa, kanifata ananinong'oneza chumba 5000 na mimi 5000...
9 Reactions
75 Replies
14K Views
Maisha yanamambo sana..hii kwa moarange ni neno maarufu sana nini maana yake. Kubeti. Usimba na uyanga. Chips. Vinaeleweka. Kwa mparange ni nini?
2 Reactions
2 Replies
784 Views
Habari za humu, it has been a while since my last thread here. Majukumu ya hapa na pale nayo yamenishika, nashindwa kushiriki mara kwa mara humu. Anyways iko hivi mie nimehitimu shule ya msingi...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Ninayoyaona hapa ninapoishi yanahuzunisha sana *Kwamba kuvusha dem n sawa lkn wakikutembelea washikaj hawaruhusiw kuoga. *Mama mwenye nyumba na wanae wanatandika mkeka karibu na choo.Ukizam...
11 Reactions
46 Replies
3K Views
Wakiwa mahakamani katika kesi, wakili wa mashtaka alimwita shahidi wake wa kwanza, bibi, mama mzee mwenye msimamo. Alimfuata na kumuuliza, 'Bi. Jones, unanijua? Bibialijibu, 'Kwa nini, ndio...
3 Reactions
2 Replies
793 Views
Nawasalimu kwa jina la JMT. Nimeandaa uzi huu maalumu kwa ajili ya kukera watu, njoo umkere yoyote yule bila kuogopa. Karibuni tukerane hapa. Matusi mwikooooo. Sent from my SM-G9250 using...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Salamu wadau. Kumekuwa na taarifa kwamba, kuanzia Julai Mosi, bei za bia zingeshuka, zilizokuwa zikiuzwa Tsh. 1,500 zingeuzwa Tsh. 1,000. Zilizokuwa zikiuzwa Tsh. 2,000 zingeuzwa Tsh. 1,500...
2 Reactions
49 Replies
5K Views
Mchumba ulikutana nae kazini. Wazazi walisikia uwepo wako katika maisha ya binti yao. Kilichokupeleka ghafra ni taalifa ya ugonjwa wa mama yake. Mezani mnakuta vyakula vyote na kilichokosa...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Serikali si mmeona kunipa ajira Ni kipengele nikiingia Uzi wa vyakula natamani mamisosi ya kumwaga na mazagaazaga Ila ndo vile Tena Sina mahela.. Sasa Mimi Ni mjanja siwezi kukwama kula matunda...
2 Reactions
3 Replies
528 Views
Mimi nina apps mbili tu Tuu ambazo Ninamiliki kwenye simu yangu nazo ni Twitter na WhatsApp. Facebook niliiacha kitambo kwa sababu ya kuwa na limited number of friends Kule Vichwa vipanga ni...
0 Reactions
5 Replies
837 Views
Ni swali dogo kama la mzaha hivi lakini ukiulizwa kwa haraka haraka unaweza kosa jibu au ukajibu kile unachokiona /waza. Je!ukiulizwa hili swali utajibu nini.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Nimejaribu kutafakari. 99% ya furaha ya mwanaume ni uwepo wa mwanamke Je maisha bila mwanamke yangewezekana? Ni wazo tuu.
1 Reactions
68 Replies
3K Views
Habari Rafiki, Umewahi kupanda usafiri wa uma kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine? Kwa bahati nzuri ukakutana na mtu mkazoeana kweli halafu wakati wa kushuka mkapotezana na hukuweza kupata...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Mi nina swali, hivi Inakuaje watu wanapendana hadi wanavaa sare hadi wanaoana? Seriously mtuibie Siri tunakwama wapi wengine ndo tunazeeka hivo.
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Wakuu hebu tujaribu kupeana maujanja ya kuwaimbisha watoto mpaka waeleweke make kuna watoto wengine wazinguaje unamfata mpaka mara therathini lakini bado kakaza kamba. Kwa walio pitia magumu...
1 Reactions
89 Replies
6K Views
Hivi ukiambiwa uchague Bia na Kitimoto utachagua kipi? Usije kusema vinaendana pamoja 🤗🤗akili za Naantombe Mushi 🤗🤗🤗
6 Reactions
188 Replies
15K Views
Yaani huyu jamaa kachukua salama, akaweka nzi wale wakubwa watatu na kisha akajivisha kwenye mahala pake (akaivaa ..ndom na nzi wakiwemo ndani ya sox kwa mbele. Sasa...... Wale nzi walipo anza...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Mwanaume mmoja aliwatongoza wanawake watatu tofauti na nia yake ni kufanya upembuzi yakinifu ili mmoja wao awe mkewe. Hivyo jamaa aliamua kuwapa jaribio kwa kuwapa Tsh.500,000/= kila mmoja huku...
23 Reactions
60 Replies
4K Views
Ukiachana kushughulika na shida za watu hakika utafanikiwa ndo maana matajiri Wengi Wana roho ngumu.sie wengine tuna huruma Sana hatuwezi kukuona unakufa tukashindwa kukusaidia na huku tuna...
1 Reactions
7 Replies
597 Views
Jaza nafasi iliyo wazi kwa YES or NO Oh_________ I'm an idiot Bila kusahau hii nmeiona mahala flani uko twitter Nika i copy tuje kuchangamshana kidogo Wale waliosoma kwa magari ya njano njooni.
1 Reactions
7 Replies
725 Views
Back
Top Bottom