JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Bila shaka kichwa kimeeleweka. Ni nani humu jf ambae anaweza kujitokeza kutuambia kwa ufasaha radha halisi ya sigara ambayo ilimpelekea yeye ama rafiki yake kushawishika kuifyoza pasinashaka...
0 Reactions
39 Replies
7K Views
Kama kweli Isidingo imeisha, basi hata huyo unaemuita BAE wako hamna muda mrefu
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Habari za mchana wana JF, Kuna siku tulikuwa darasani tunapiga kelele kinoma tena mm ndio nikiwa kiongozi wa hayo makelele tena nikiwa nimekaa dawati la mbele kabisa. Wakati huo nipo kidato cha...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Utarogwa kwa kumpa hela, ili usiwape watu wengine hata wazazi wako, umpe yeye tu. Utarogwa kwa kumnyima hela, atakuendea kwa mganga ili uache ubahili, anahisi unahonga nje. Ataroga ili umpende...
5 Reactions
4 Replies
783 Views
Kwa mara tatu mfululizo kuna paka amekuwa akiingia kwenye stoo yangu nyumbani kupitia dirisha dogo lisilo na shutter na kujisaidia mlangoni Yani siku inafuata ukifungua mlango wa store unakutana...
27 Reactions
55 Replies
3K Views
Jamani hela imepotea hii week kila siku afadhali ya jana.kila sehemu huku kwetu watu wanasema hawana hela hata Hapa kwenye biashara yangu wateja wamepungua.. mjini nako pagumu TRA Wamebana. Sent...
0 Reactions
5 Replies
570 Views
Hili Ni swali kwa wanawake Tu wenye kusoma biblia na qurani wanaoijua habari ya binadamu wa Kwanza Sasa nataka nijue maono gani pale waga mnaonyeshwa na roho ya MUNGU ya kweli maana sote...
4 Reactions
9 Replies
965 Views
Kuna kitu hakiko sawa sijui niseme katika atmosphere maana hali ya hewa imekuwa nzito nzito sio Kama zamani.najua tuko wengi ambao kupumua kwetu kwa sasa Ni kwa shida.nahisi hata Kama sio korona...
0 Reactions
2 Replies
437 Views
Kutokana na pira biriani kuku linalooneshwa na Mnyama pamoja na usajili wa viwango vya SGR, Tunaomba uongozi wa Azam media uhamishie mechi zetu ktk channel ya ESPN1 au ESPN2 Kuendelea kurusha...
12 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari, Vigezo tajwa hapo chini ni muhimu karibu,
0 Reactions
6 Replies
670 Views
Kwa muda sijaona post yoyote kutoka kwa Manengelo, siku hizi yuko wapi ? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
40 Replies
3K Views
Wana JF nisaidieni. Pia wataalamu au wanojua mnifahamishe. Kwamba form Four wamemaliza mitihani na form Six wanamaliza mitihani yao mwezi wa pili mwaka kesho 2012. Lakini wote hao wangeoa, kuolewa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Katika kutafuta tafuta station, nimejikuta niko cloudsfm. Kipindi kinaitwa ala za roho. Kitambo kidogo, nilikua nasikiliza kipindi kiss fm chini ya Toby the splash. Yule presenter alikua na...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Dada kanifurahisha sana!😄😄🚶
0 Reactions
2 Replies
487 Views
OOH HAPPY DAY ..lalalalalalalalalalaaaa lalalalalaaaa Siku imeanza vizuri sana Thank you Jesus kwako kila goti litapigwa,nakula double kicks za kutosha huku nikiangalia movie ya UNDERCOVER BROTHER...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini natumai wote mu wazima hapa nimeusukuma huu uzi ili tujuzane kipi bora kwako kati ya blue mode katika jf na dark mode kiupande wangu dark mode ni bomba sana kila secta katika simu yangu...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
!!! Tuambie hapa I I I I I I comment...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Kutokaana na mabadiliko ya dunia yanayoendelea na janga la homa kalini wakati muafaka wanandoa mnapochagua dada wakazi awe sio tu kazi za nyumbani awe msaidiizi pia wa mama wa nyumban pale...
1 Reactions
6 Replies
700 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…