Na clear interest kwanza me nawakubali kinyama wote Hawa ndugu zangu recycle Bin na ndugu Kichwa Kichafu au mnaonaje si tuwape madini na connection Hawa vijana Ili Wapate kusumbua kidogo huko...
Wana jf makaka na masister mambo vipi? Poleni na Siku za wiki za mikiki mikiki, leo weekend siku ya kuchangamsha ubongo, na kwenye meza pachangamke alooo,
Kidogo machozi ya Simba, mishikaki...
VICHWA VYA HABARI MIAKA KUMI IJAYO NA KUENDELEA ..
TBC HABARI 2030: Ndugu Tundu Lisu aapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwa rais wa kwanza kuongoza nchi hii kutoka chama...
Habari za wana jf naona ni vema
Tukiwa wanafunzi tuliamini kwamba labda kijana Fulani kutokana na usmartness wake atakuwa kiongozi Fulani wizarani, au anaweza kuwa kiongozi mkubwa baadae,
Kwa...
Ni miaka ya 2006 kushuka chini nilikuwa naletewa Sana haya majarida na mjomba wangu .Haya majarida to be honestly yalikuwa yanafundisha kujikinga na ukimwi lkn kwa upande wangu mm ilikuwa tofauti...
Wakuu Maisha yanabadilika sana.
Wale wakazi wa Masaki na O'bay leo hii wao wako kwenye hadhi ya manispaa na wakati huo huo wanangu wa malapa, kwa mnyamani hadi chanika na kigogo fresh ndio jiji...
1.Pombe-sitakubali mke wangu anikute na harufu ya pombe kitandani.
2.Magoma-ndo maana mademu zangu nawaambia kabisa me na mchumba nayetarajia kuishi naye hivyo wawe wapole
Natokea UWABATA ila...
Hii inatukutanisha sisi mabingwa wa kauli,,, kauli Udambwi udambwi
Kauli mantanshanta ,kauli muunganiko
Ingekuwa kwenye hip hop basi ungweweka kina Msodoki au Stamina na Vijikauli vya
Yaani...
Wasaaalam wana jf
Kuna siku n asubuhi na mapema niliamka nikaenda kuchukua malanda, haya ni yale mauchafu mafundi selemala wanayapata wanapofanya shughuli zao za kulanda mbao.
Siku hiyo...
(1)Kutoka kwingi na hupati faida yoyote.
ina maana gani kuhudhuria kila sherehe hata zile ambazo hujaalikwa? Kama una utaratibu wa hivyo acha mara moja fanya vitu vingine.
2.Kuwa na mahusiano...
Nawasalimia wana Jf kwa tabasamu [emoji4] ohhho kumbe nimevaa barakoa 🤣
Anyways miaka ile ya black and white wahenga sisi tulikuwa tukitoka maskuli hasa tuliokuwa tumebahatika kutoka bush kuja...
Ni kwasababu watu wengi wanaamini dini.
Dini zote zinasema kuna uchawi.
Asilimia 84 ya watu duniani wanaamini katika dini tofauti tofauti, by law of association (not to be confused with the...
Habari wakuu,
Za asubuhi. Happy sabbath day kwa wasabato but all in all we thank the almighty kwa weekend nyingine tena. Nimecreate thread hii spesheli kwaajil ya kupeana codes za sehemu...
Samahani nimekuibia siriya Usalama wa Taifa, Eti Bi Kidude ameacha watoto wawili tu, Pinda na Wasira!! tafadhari usimwambie mtu. Watakung'oa kucha bila ganzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.