JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hello JF, Shemeji angu(mke wa mshikaji angu)kaja kunishtakia kuwa jamaa angu ana tabia mbaya sana inayomkera,tabia yenyewe ni kwamba jamaa ana tabia ya kudokoa mboga jikoni. Kesi kama hii...
1 Reactions
15 Replies
994 Views
Izi ni tetesi tetesi tu kwamba asilimia kubwa ya wadada humu ni kutoka uswazini yaani akina mwajuma ndalandefu na chausiku. Eti kwamba wadada wa ushuani wao ni insta na twitter ukimwambia Jf...
4 Reactions
62 Replies
40K Views
Hili suala Serikali iingilie kati ili kuokoa madhara ambayo yanaweza kuja tokeo siku za uson. Kumeanzishwa harakati za kutupaka matope,kutupaka choo,kutuua kimaneno,kutudhalilisha na kututweza...
0 Reactions
0 Replies
685 Views
[emoji1][emoji1][emoji1]
1 Reactions
0 Replies
541 Views
Hebu vuta kumbukumbu zako ilikua mwaka gani ukiwa katika ubora wako? WAHENGA WENZANGU NJOONI TUKUMBUKENI YA ZAMANI. Hawa wa INTERNATIONAL SCHOOL TUACHENI KWANZA.
1 Reactions
7 Replies
648 Views
Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?
7 Reactions
215 Replies
553K Views
Asikudanganye mtu wala kukutia moyo, kama wewe huna gari hata kama ni mkweche unahesabika ni fukara tu hata kama una nyumba 50, tafuta gari upate amani ya moyo na heshima kwa wakwe hata kama huna...
9 Reactions
129 Replies
8K Views
dah bad day siku mbaya Asubuhi nimegombana na mpenzi ,nimeenda kazini nimegika getting nikagombana na mlinzi , nimeanza kazi nikagombana na boss nikatoka nikaenda bar nikagombana na wahudumu ...
0 Reactions
8 Replies
467 Views
Mambo vipi?Jamiiforum ndo mahali great thinkers wapo wataalamu wote tupo huku na si tunaipenda Sana hi brand jf ndo inayotukuza tunaiamini Sasa kwanini tusiwe tuna weka pesa tunachangia hata buku...
1 Reactions
4 Replies
335 Views
Kila mtu anapambana na life lake kwa sasa.usiogope Sana kuhusu taarifa za vifo maisha bado yapo Sana Cha msingi simamia Lile unalofanya shikamana nalo Kama una biashara au kazi endelea kuumiza...
0 Reactions
4 Replies
436 Views
Moja kati ya vitu vinavyonivutia Duniani Ni pamoja na mziki wa hip-hop.nimehudhuria Mara nyingi mno katika vilinge vya tamaduni Muzik pale msasani B club na pia pale micasa ya Riverside katika rap...
4 Reactions
12 Replies
979 Views
Eti hapa wamezimia baada ya kusikia kuwa Chato nako hela zinapigwa kama kawaida![emoji38][emoji38][emoji38]
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kila mtu Ana NDOTO zake lakini sijui Ni kwasababu muda mdogo au tatizo tunakosa utayari mpaka tunashindwa kuyatimiza tunayotaka lakini kiuhalisia mengi yapo ndani ya uwezo wetu. Tusaidiane jamani...
5 Reactions
47 Replies
3K Views
Viseversa is true
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Uliza swali ambalo hukuwahi kupata majibu au kupatiwa majibu katika maisha yako yote, Leo utapatiwa majibu ya maswali yako yote. Karibuni sana
0 Reactions
79 Replies
7K Views
I'll prolly die anonymous I'll prolly die with promises I'll prolly die walkin' back home from the candy house I'll prolly die 'cause these colors are standin' out I'll prolly die because I ain't...
0 Reactions
0 Replies
310 Views
A guy in a bar, trying a new pick-up line, says to a girl, "Do you like raisins?" She says, "No, sorry." He then says, "Do you like nuts?" She says, "No, sorry." Finally he says, "How about a...
1 Reactions
1 Replies
650 Views
Mimi nawazaga Sana hivi unakuaje inafikia mpaka point macho yanafumba na husikii Tena na moyo kufungwa acheni jamani kifo Ni fumbo kubwa sana. Wale wanaosema kuwa kufa Ni Kama usingizi wa ghafla...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Wife hapa home kamleta dogo mmoja kutoka Mwanza kwa Maelezo yake wife ni kwamba mahali alipokuwa amepanga alikuwa na rafiki yake ambae huyu dogo ndo mwanae...kwa hiyo kaomba aje akae hapa...
16 Reactions
77 Replies
6K Views
Asalaam aleikum. Kila siku kuna watumiaj wapya wa mitandao mbalimbali ya kijamii na internet kwa ujumla. Nichukue ukurasa huu tusaidiane kujua mitandao yenye faida kwa kila mpenda habar, maono...
0 Reactions
9 Replies
758 Views
Back
Top Bottom