JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
A teacher asked her students to use the word "beans" in a sentence. "My father grows beans," said one girl. "My mother cooks beans," said a boy. A third student spoke up, "We are all human beans."
2 Reactions
5 Replies
913 Views
Mi binafsi ningechukua Tsh. 1m, ningeweka fixed halafu ningeenda mbele kama miaka 100 kula faida. Wewe ungefanya nini, kitu gani ungebadilisha?
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini wakuu, poleni na majukumu kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu, hii ndo valentine yangu ya kwanza kua peke angu kutokana na Majukumu hasa kipindi hiki cha uchumi wa kati. Hivyo basi...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Mimi kazi ya jeshi,polisi na ualimu...ni BIG NO Wewe je??
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Wadau natumaini mko poa, kuna hii kauli inazagaa sana kwenye social media hasa humu "jf" utaskia mtu anakoment jambo fulani mwisho anasema "MITANO TENA " kwa nnavyofikir mmi kauli hii kama vile...
2 Reactions
7 Replies
803 Views
Leo tangu asubuhi nimepiga mishe mishe lakini zote zimebuma nimejikuta nakosa hadi hela ya kula mchana Nikaona ngoja nimpigie simu Jimama wangu anaitwa Mama Salima ana Mgahawa huku mtaani ila...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Chama Cha UMOJA wa wanaume bahiri Tanzania(UWABATA) tumekosea kusajiliwa rasmi na kutambukika kisharia kwasababu ya ukosefu wa tsh 20,000 tu. Chama bado kinashughukia hili suala kwa ukaribu zaidi...
8 Reactions
22 Replies
4K Views
Habar wadau nilikuwa nasoma ule uzi wa jinsi ya kupangua mizinga nikajifunza kitu kumbe kuna jamaa hataki kunipa pesa yngu ananikwepa tu sasa nikaona nike na hii thread hasa kwa sisi ambao bado 2...
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Kuna Ka interview fulani inabidi nikafanye ni kazi isiyo na maslahi sana pia kuna position za manual work ila mtaa ulivyoneonesha rangi zakila namna inanibidi tu nijiandae na msuri mnene kama...
4 Reactions
10 Replies
802 Views
Nilijua nitatapika ila kiukweli nimeinjoi Sana nimefurahishwa na ladha yake japo nilimtafuna kwa bahati mbaya nimeridhika na ladha yake.
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Katika ofisi za maboss wakubwa huwez kukosa vinywaji vikali vikali ukifika waiter anakuja utakachoagiza kinaletwa yaani Kama vile upo hotelini..hii Ni kwa sababu ma deal yanayozungumziwa ofisini...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Napenda jinsi majina ya sinema za kitanzania yanavyotoa tukio zima la sinema Utaskia "mwimbaji wa injili aliyepigana na simba alimuoa binamu yake baada ya kurogwa na mjomba wake PART 2" daaah...
1 Reactions
7 Replies
778 Views
Ndugu zangu Inakuwaje mwanaume mzima anaendesha ka baby Walker? Yaani jibaba nene linatumia kigari cha mkewe? Huoni aibu? Si bora hata upande daladala? Hata Bashite alisema wazi vi gari vya IST...
13 Reactions
151 Replies
13K Views
Ukweli mchungu, ila tokea utambulisho wa simu janja(smart phone) kwakweli kuna baadhi ya mambo/vitu vimeanza kukosa ushabiki kwa kasi ya hatari sana. Ni ukweli usiopinginga vitu kama kuasikiliza...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kama kesho jioni ndio mwisho wa Dunia, siku yako utaitumiaje? Dedication : If the World was ending by JP Saxe
1 Reactions
12 Replies
950 Views
Twende kazi leo tujue kama text huwaga zinafananaga angalau kwa watu kadhaa ama kuna watu wanatumiwaga text za kipekee, kila mtu angalau aseme text yake ya mwisho kuingia kwenye simu inasemaje iwe...
2 Reactions
97 Replies
5K Views
ulienigusa kwenye gari nikiwa nimelala nikajua ni konda nikakupa nauli yangu.... Kaa ukijua dar ni ndogo nitakukamata tuuu 🤪🤦🏃
1 Reactions
2 Replies
619 Views
Jamaa mmoja alikuaga akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari castle kili then anatafta meza yenye viti vitatu anakaa nakunywa zile bia moja bada ya nyingine zote tatu nakuondoka. Alirudia hii...
10 Reactions
8 Replies
1K Views
Ngurumo za radi kubwa Dar es Salaam, Wana Dar es Salaam hizo ni radi au makambora maana sisi wana mapambano tunawasiwasi.
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Heri ya mwaka mpya Kuna siku nilijikuta tu nikasema Embu Leo niweke mkeka[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikashindaaaa hadi sasa nimekosa mara mbil tu (hela niliyoiweka ni ndogo lakini...
7 Reactions
102 Replies
6K Views
Back
Top Bottom