JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuhusu Uraia wa Don Nalimison na maandalizi ya kitabu chake.
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Huu mtandao tangu nimeujua umenisaidia mno kunielimisha,kupata ushauri na kuniburudisha! Jana nilikua home Sina kazi Kuna nyuzi mbili nilifumua nilipitia post zote kuanzia saa nne asubuhi mpaka...
1 Reactions
4 Replies
457 Views
Ebwanaaa eeh weekend moja kabambe sana ,kila mmoja anaianza kwa aina yake Sisi wasakatonge tunaendelea kuchakarika kama kawaida,,, huku tunachokipata kikiwa ni kidogo kuliko...
0 Reactions
4 Replies
560 Views
Hii inawezekanaje nilipeleka maombi ya kazi taasisi fulani leo napigiwa simu kutoka hiyo ofisi baada ya habari naulizwa “wewe ni mzazi wa mwanafunzi fulani” Kuna mtu kanipiga ndagu nini...
6 Reactions
5 Replies
657 Views
Kwa viwango vyovyote ndugu Don Nalimison ni mtu mwenye akili Sana katika Karne ya Sasa. Huyu mtu namfananisha na Tesla au Albert Einstein. Mambo anayofanya ni ya kijinias kiasi ambacho jamiiforums...
7 Reactions
7 Replies
1K Views
Tukiwa tunauaga mwaka 2020 na kuukaribisha 2021 tuanze kabisa kutuma salamu za heri kwa tuwapendao na hata tunaowachukia.. 1.Salamu zangu za kwanza zimfikie Paula Paul popote ulipo huyu manzi...
5 Reactions
77 Replies
4K Views
Kuna Huyu unamdai hakulipi Halafu bado hajijali anavuka barabara bila kuwa Makini, Mara anapanda bodaboda havai helmet, unaona kama Yupo Tayari kufa na deni lako, inauma Sana!
3 Reactions
7 Replies
529 Views
Habari za wakati huu ndugu zangu? Niende kwenye maada moja kwa moja Swala la kujilinda ni la muhimu sana kwa kila mtu tena ni jambo lililo jema kabisa ila sasa hivi kwanini condom hupenda sana...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
AINA 15 ZA WANAWAKE AMBAO UKIKUTANA NAO UNAPASWA KUVAA CONDOM 1:Kama anatatoo......... Vaa condom 2:Kama anakunywa bia.....Vaa condom 3:Kama anazima simu ukiwa nae....... Vaa condom 4:Kama...
37 Reactions
105 Replies
12K Views
Habari Za Jioni Wakuu, Poleni Na Hongereni kwa Majukumu Ya Siku Nzima Ya Leo. Lengo Kuu la Kuja Hapa Ni Kuwaomba tu Mawazo Yenu Juu ya Hili, Linaweza lisiwe Muhimu Sana Kwa Baadhi Yetu humu Ila...
4 Reactions
17 Replies
925 Views
*Mazungumzo kati ya injinia hersi na tp mazembe*manager Injinia: habari mkuu Tp: salama Injinia:mkuu naomba game ya kirafiki Tp: Wewe ni nan Injinia; mkurugenz wa gsm Tp: gsm ni timu gan...
8 Reactions
10 Replies
2K Views
Binafsi nimewahi kukutana na majibu ya ajabu akijibiwa mtu na mengine nikijibiwa mimi. Leo naomba tushee pamoja baadhi ya hayo na wewe utashea pamoja hapo chini. Kuna siku nilipata kuona sehemu...
9 Reactions
8 Replies
773 Views
Mimi binafsi siwezi kumwita mwanangu Pombe, Albert au Kisamvu. Wewe ni jina gani huwezi kumpa mwanao, awe wa kike au wa kiume?
1 Reactions
33 Replies
4K Views
Leo niko bored na siku nzima Nimeanza kujisikia hivi tangu asubuhi. Kwan jana tulipga mitungi had saa12! Weekend nimeitusua sana jana Sema nimekunywa kila aina ya pombe jana Nifanyaje sasa...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Lawo Lari Mukdoren, tam bar baki diriana ate aqo muk do wak..akh ba uzirie oang king/kung amorta dahh laq dita hot ne tlahhay mese ti khuan way oryo.. Anu ba imboru hhay sulle.. a inslereake...
9 Reactions
159 Replies
14K Views
Watumiaji wa JamiiForums tujifunze kuwapa watu moyo. Katika Afrika Mashariki JamiiForums ni jukwaa ambalo naweza kusema ni moto wa kuotea Mbali na hili jukwaa limefikia hapo lilipo kwa sababu ya...
79 Reactions
80 Replies
5K Views
Kitu gani kinakufanya kuipenda nchi yako na kuiona ni nchi bora zaidi kuliko nyingine yoyote hapa duniani?
2 Reactions
9 Replies
782 Views
Ni Tanzania pekee unamtambulisha rafiki yako kwa rafiki yako mwingine then boom wanakua mabestie kukuzidi alafu wanaanza kukusema wewe na ukoo wako mzima.
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kulikuwaga na mdada mmoja kwa ID ya emmyta ( kwa sasa hayupo kabisa haonekani na hata id yake haipo kabisa tena humu jf) nadiriki kusema alikuwa mdada aliyekuwaga na busara ya hali ya juu sana...
10 Reactions
185 Replies
10K Views
Back
Top Bottom